min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,623
Unalaumu wanaume tuna kufanya kilokole ndio maana unachepuka , sasa hapo unachepuka na viumbe gani?Mkuu 😆 kwann sokwe lakini asante nimecheka
Unalaumu wanaume tuna kufanya kilokole ndio maana unachepuka , sasa hapo unachepuka na viumbe gani?Mkuu 😆 kwann sokwe lakini asante nimecheka
Mwenyekiti wao akiamka atawakuta hoi taabani watupmzishe ebooNimefurahi sana leo mlivyokuja kwa pamoja tushambulie huu mzizi wa fitina, sijui m/kiti wao bado kalala😃
😂😂😂😂😂Utasikia linasema,
"Njoo, si unataka Iphone 17".
ImagineSasa mtu kisa kamuoa mwanamke anajifanya kamzoea anakazi ya kupachika kama utambi wakati zamani alimzoesha michezo 😆 wanaume wanakazana ooh mwanamke usimzoee mumeo 🤨 hata sisi hatutaki mazoea NB siungi mkono kuchepka ila ikibidi🫢
Mimi sichepki ila haya yapo sanaUnalaumu wanaume tuna kufanya kilokole ndio maana unachepuka , sasa hapo unachepuka na viumbe gani?
Jamani ila mambo haya, nyie acheni tyuuh.Utaanza kutamani uione hata ya mlinzi au shamba boy ikoje kwanza! Utapita na viumbe vya ajabu mpaka huyo mume aseme! Ukiingia mitandao ya kijamii wanasifia umbo fulani afu huyu wa kuotwa mme mwema hana🤗View attachment 3555325imagine ukutane na story kama hii, si itakuletea nightmares za kutosha! Imagine ss ushaonja hizi zote ata mada ikiletwa mezani unaelewa nini wanaongelea, unawazoom tu ushamaliza zako semester🤸🏽♀️😂
Ndo ukweli mi unafiki siwezi😂😂😂 mama mtumishii. Mbona.......
Uwiiii🤣🤣🤣Jamani ila mambo haya, nyie acheni tyuuh.
Nina kisanga ki1, kile kinanifanya niamini yule muhusika atachapiwa hata amuoe bikra, sio kwa ufuto ule.
😂😂😂
😂😂😂Ndo ukweli mi unafiki siwezi
Mwanaume kubembeleza hawezi
Fore play hawezi sijui hataki masna ht sielewi😆
Ss inakuaje jmn si ndo kuumizana kwann mtu asitoke nje??
Ndo maana wapaka rangi, na boda na house boy ndo wanagonga wake za watu
😂😂😂Ndo ukweli mi unafiki siwezi
Mwanaume kubembeleza hawezi
Fore play hawezi sijui hataki masna ht sielewi😆
Ss inakuaje jmn si ndo kuumizana kwann mtu asitoke nje??
Ndo maana wapaka rangi, na boda na house boy ndo wanagonga wake za watu
Nawe Oa utajua unafanya au kuongea ni uupuziNauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?
Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka
With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote nimekuja kugundua ni wake za watu na wote wamekubali na 5 nimetoka nao na 3 wananisumbua
Nauliza kwanini wake za watu ndio wanagawa sana kuliko wasichana wa kawaida
Ndoa zipo salama kweli nawaza Sana tunaelekea wapi?
Anae chepuka na wewe ambae una ona ana kutosheleza nae mke wake anaona kama hamtoshelezi , nyie vijana wa sasa hamjui kuwa ndoa inahitaji uvumilivu na kubeba tatizo la mwenzako kama la kwako?Mimi sichepki ila haya yapo sana
kwann utwange kama kisamvu jamani🫢
Mtu siku akipata kishawishi akajaribu akakutana na rumba ndoa imeisha
Mama mtumishi acha tyuuh, 😂😂😂Uwiiii🤣🤣🤣
Lete hicho kisanga mamtu🤸🏽♀️Jamani ila mambo haya, nyie acheni tyuuh.
Nina kisanga ki1, kile kinanifanya niamini yule muhusika atachapiwa hata amuoe bikra, sio kwa ufuto ule.
😂😂😂
😂😂😂 msinichekeshe, huo ujasiri wanapata wapiii? LolKwa upande wa pili nasikia et wanaume wanaopenda kuchepka
Wanaoongoza ni wale wenye vidude kama kidole cha mwisho yaan unaambiwa huyo hatulii nyumbani mpka ahakikishe ana mdhalilisha mke wake 😆 mke kakukubari ulivyo hajasema popote wewe tena kiguu na njia kujizalilisha🙌
Mkuu mimi nikiolewa nitacheza na mume wangu nimekatazwa kula kwa watu ni vibayaAnae chepuka na wewe ambae una ona ana kutosheleza nae mke wake anaona kama hamtoshelezi , nyie vijana wa sasa hamjui kuwa ndoa inahitaji uvumilivu na kubeba tatizo la mwenzako kama la kwako?
Mkuu kwani ukiichapa unaondoka nayooo !!?Chochote baba ata rozirozi🫴🏾
Mahi, kijana wa above 18yrs, ana kijojoro km mtoto wa chekechea, najiuliza au ana tatizo na hasemi.Lete hicho kisanga mamtu🤸🏽♀️
Yaan ujasiri wa hali ya juu 🤣😂😂😂 msinichekeshe, huo ujasiri wanapata wapiii? Lol
Aaah wee!! 😂😂😂Yaan ujasiri wa hali ya juu 🤣