Kwanini waislamu wanapingana kuhusu uhalali wa Hadithi?

Kwanini waislamu wanapingana kuhusu uhalali wa Hadithi?

Hadith zote ni za uongo ila wanaangalia zile nzuri ndo wanasema sahihi. Quran na Hadith zote ni stori za kitoto sana
Hata ukristoni kuna upuuzi mwingi. Ukisoma kitabu cha mambo ya walawi utaona. Eti adhabu ya kusaliti ndoa ni kifo...
 
Kwa Sasa kwenye mitandao ya kijamii duniani kote, kuna mabishano makubwa sana juu ya uhalali wa kutumia Hadithi kuuhimilisha Uislamu.

Lipo kundi linalosema kuwa Hadithi zimejaza tamaduni za Uarabuni na kuacha misingi ya dini ya kiislamu inayotokana na Quran.

Lakini kundi linalounga mkono matumizi ya Hadithi,linasema kuwa mambo mengi ya msingi ya Uislamu yanategemea kufafanuliwa kupitia Hadithi.

Kundi linalounga mkono matumizi ya Hadithi linasema hata mambo ya sala mara tano Kwa siku yasingejulikana kama kusingekuwepo na hadithi kuhusu idadi ya sala zinazotakiwa kwa siku.

Sasa sijaelewa msingi wa hitilafu hii ni nini hasa!!
Wanao zikataa Hadithi hawana Elimu juu ya Uislamu.
 
20260130_074836.jpg
 
Uislam ni kunyenyekea na kufuata mafundisho ya Mungu/Allah yaliyo andikwa kwenye QURAN na kufikishwa kwetu na mitume wake.
HAKUNA MAHALA POPOTE QURAN IMEANDIKA TUFUATE MAFUNDISHO YA HADITHI
Wapotoshaji ndio hung'ang'ania hadithi hasa zile FEKI kwa ajili ya kuuchafua Uislam!
Utajichangana sana ukiwa "Muislam only Quran" maana hata swala 5 hazipo kwenye Quran bali hadi usome hadithi.
 
Wameanza kupingana karne ya 20 mwishoni baada ya kuona hadithi zinaleta shida kwenye jamii za sasa. Mfano mmojawapo ni hadithi ya Mohamed kumuoa Aisha akiwa na miaka 6 na kuanza kumlala akiwa na miaka 9.

Inakuwa ngumu kumtetea mtume wao,mtume bora kuliko wote kwa kitendo kile . Option pekee inayobaki ni kuja na hesabu zisizo eleweka ili kumuoka Mohamed na ukakasi wa jambo lile.
Wanaobisha walikuwepo? Ila Muddy namkubali kwa upande wa totoz tu, amekula kila rika😁😁😁Hayo mengine nawaachina wenyewe mimi naunga mkono alivyokuwa anapenda mademu.
 
Shytown nimekuelewa Sana... Sasa nani ana mamlaka ya kusema hii ni Hadithi halali ama hii siyo?

Au kigezo gani cha Quran kitatumika kuikataa Hadithi isiyo halali?

Kimsingi kusudio la hadithi lilikuwa kwa ajili ya ufafanuzi tu mfano; ukisoma sura/Aya Kwenye Quran kama hujailewa unaweza kutafuta hadithi/ historia ya hicho kifungu kuwa kiletwa wakati gani na maksudi yake yalikuwa nini na kukufanya uelewe kwa undani. Hiyo ndio ilikuwa kusudio la msingi la hadithi;

LAKINI sasa waliingia mamluki wakaandika mila za kiarabu na waposhoshaji waka andika habari za kudhalilisha na kuzi ita hadithi.....na hata kwa akili ya kawaida ukisoma walicho andika unaona kabisa huna cha kujifunza...
Hivyo zile hadithi zilizo elezea kila sura ilivyokuja na maana iliyokusudiwa ndio sahihi....
 
Napendaga ile hadith mudi alikuwa akinyonya ndimi za wanaume wenzake na kulamba midomo yao akiwa uchi msikitini.

Hii Hadith inawaumizaga kobaz.

Kuna ile shetani anawapulizia matakoni wakiswali. Yani kobaz inamuuma balaaa.

adriz de mbusii
Hv ni kweli au unawakashfu tu kwamba mudi alikuwa akiwalawiti vijna na kuinyonya ndimi zao ni kweli hyo maana mm usilmu hata kushika Quran naogopa sna sitaki hata kuona kitabu kile
 
Napendaga ile hadith mudi alikuwa akinyonya ndimi za wanaume wenzake na kulamba midomo yao akiwa uchi msikitini.

Hii Hadith inawaumizaga kobaz.

Kuna ile shetani anawapulizia matakoni wakiswali. Yani kobaz inamuuma balaaa.

adriz de mbusii
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
HAKUNA MAHALA POPOTE QURAN IMEANDIKA TUFUATE MAFUNDISHO YA HADITHI
Wapotoshaji ndio hung'ang'ania hadithi hasa zile FEKI kwa ajili ya kuuchafua Uislam!
Shekh kma hadithi zipi feki na zinazopotosha?!
 
Back
Top Bottom