Sema wabongo tunajua kujazana hofu,
Mleta mada kaja na maswali na conclusion bila kuwa na uelewa hata wa Mloganzila na Muhimbili zilivyo


Hajui kuwa hata mloganzila na Muhimbili- Upanga ni hospital moja
Hajui kuwa Mloganzila ina death rate ndogo sana kuliko MNH-Upanga,
Hajui kuwa MNH-MLG ilishatolewa chini ya MUHAS toka 2017 huko kipindi cha mwendazake ikawa chini ya MNH hivyo sio hospital ya mafunzo tena,
Kwa kukusaidia, Ile ni hospital ya taifa pale wanaenda watu hoi bin taaban walioshindwa hospital nyingine zooooote nchini hapa,
.halafu nenda japo siku moja MLG kaongee na wagonjwa wa pale na ndugu wakupe maoni yao