Kwanini wagonjwa wanaogopa Mloganzila?

Kwanini wagonjwa wanaogopa Mloganzila?

Mmmh...

Mloganzila ndiyo hospitali kubwa nchini?

Mloganzila ndiyo inapokea wagonjwa walioshindikana kwingineko?

Mloganzila siyo hospitali ya mafunzo?

MNH nayo siyo ya mafunzo?

MUCHS wanafundishia wapi?
Mloganzila inafundisha wanafunzi wa Chuo gani ?
 
Hizi ni mind games tu, Mloga hospitali nzuri sana, sema kuna vitu kadhaa vinachangia haya maneno.

Madaktari wengi bingwa hawapendi kwenda coz ni nje ya mji, wanataka wakitoka MNH chap wanawahi kwenye private clinics zao kupiga pesa. Mloga mbali na mji.

In terms of facilities MNH haiifikii Mloga hata kidogo, na sasa wanawekeza human resources za kutosha, madr wanaenda na tiba ipo poa tu.

Kuna siasa ziliendeshwa sana kuifanya Mloga ionekane haifai, wagonjwa walioko last stages walipelekwa sana huko kutoka private hospitals, wakifa lawama kwa Mloga, hizo ni mbinu chafu za hospital binafsi, referral chap ili akafie huko.
 
Mmmh...

Mloganzila ndiyo hospitali kubwa nchini?

Mloganzila ndiyo inapokea wagonjwa walioshindikana kwingineko?

Mloganzila siyo hospitali ya mafunzo?

MNH nayo siyo ya mafunzo?

MUCHS wanafundishia wapi?
Taja hospital kubwa kuliko
Hospital ya Taifa Muhimbili-Mloganzila
 
Teteeni tu, alikua na misifa kahatarisha maisha ya watu awafurahishe nyie wake zake.....unafungua hospital ukitegemea madr watoke kutibu x wakatibu y
Sidhani kama ilikuwa hivyo, ila kwa vile ni tawi la MNH na baadhi ya wanafunzi walipelekwa kule, ilibidi maDr nao wawe na sessions za Mloga. Nchi hii haina hospitali bora kama Mloganzila, hakuna hata moja, in terms of majengo, facilities hakuna. JK aliweka kitu cha maana sana pale.
 
Sidhani kama ilikuwa hivyo, ila kwa vile ni tawi la MNH na baadhi ya wanafunzi walipelekwa kule, ilibidi maDr nao wawe na sessions za Mloga. Nchi hii haina hospitali bora kama Mloganzila, hakuna hata moja, in terms of majengo, facilities hakuna. JK aliweka kitu cha maana sana pale.
Wakati inafunguliwa hizo facilities(vifaa tiba) zilikuawepo za kutosha?
 
Sidhani kama ilikuwa hivyo, ila kwa vile ni tawi la MNH na baadhi ya wanafunzi walipelekwa kule, ilibidi maDr nao wawe na sessions za Mloga. Nchi hii haina hospitali bora kama Mloganzila, hakuna hata moja, in terms of majengo, facilities hakuna. JK aliweka kitu cha maana sana pale.
Hio ni sababu pia ya masifa ya bwana yule, alienda MLOGANZILA akaona vitanda vipo tupu halafu Upanga kuna wagonjwa shazi, akasema wagonjwa wa upanga wapelekwe MLG,
Upanga wakawa wanachagua soon to be dead patients wanawapeleka mloganzila, (yan wale hata aje nan hawatoboi) kwa hio kilichofuata ni ndugu kwenda kuchukua miili mloganzila na hapo ndo jina na kashfa hii ikaibuka, ila mwendazake alizingua sana
 
Back
Top Bottom