Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Kama nimekuelewa zaidi kwa komenti zako 2Sidhani kama ilikuwa hivyo, ila kwa vile ni tawi la MNH na baadhi ya wanafunzi walipelekwa kule, ilibidi maDr nao wawe na sessions za Mloga. Nchi hii haina hospitali bora kama Mloganzila, hakuna hata moja, in terms of majengo, facilities hakuna. JK aliweka kitu cha maana sana pale.
