mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
Rudia kusoma utamuelewaKwani wageni ni wapinzani peke yao, hakuna ccm mgeni uchaguzi huu?!
Mbona hawajaenguliwa ccm hata mmoja?!
Rudia kusoma utamuelewaKwani wageni ni wapinzani peke yao, hakuna ccm mgeni uchaguzi huu?!
Mbona hawajaenguliwa ccm hata mmoja?!
Imekuwa ni kichaka cha kuwatoa wapinzani bila sababu za msingiKama inawezekana tungeweka copy ya empty form hapa tuone kuna nini hadi wapinzani tu ndio wanakosea.
Mpuuzi wew naona unatoa shuz tuHoja yako imejibiwa na paragraph hii;
"Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao."
Hahaha na wagombea wa cuf, act na nccr au wao hawagombei msimu huu ni urais tu, kumsherehesha Magufuli?!Mbona sasa wagombea wenu wameshindwa kujaza hizo fomu? Ina maana wajinga wengi wapo upinzani ndio maana wao pekee ndio walioenguliwa.
Wagombea wenu kuenguliwa kwa kukosea kujaza fomu ni aibu kwenu.
You are off the point. It is deliberate disqualification.Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga
Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la kuwaengua kwa sababu kuu moja ambayo ni kujua vizuri taratibu za mchakato wa kuchukua fomu, kujaza kwa usahihi na kurudisha kwa wakati unaotakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.
Baadhi ya Wabunge waliokuwa wa viti maalum pia wameenguliwa kwa sababu nao hawana uzoefu katika mchakato kutokana na kuwa hawakuwahi kujaza fomu za kugombea ubunge bali walipewa ubunge kupitia vyama vyao.
Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao.
Wapinzani wataendelea kulalamika wakati tatizo na ufumbuzi wa tatizo uko ndani ya uwezo wao kama watajipanga vizuri.
Wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii wakati masuala ya muhimu kwenye "ground zero" hawayafanyi kwa umakini.
Uchaguzi Mkuu ni mchakato na sio tukio.
Ikumbukwe kuwa Sheria hazina Siasa.
Kilichobaki kwa sasa ni kuhesabu maumivu!
Upofu wa kufikiri unakufanya ushurutishe watu wenye akili zao wakubaliane nawe. Pole sanaJibu limepatikana kwenye comment #9
Tatizo lako unauliza jibu badala ya kuuliza swali!Nijibu swali langu!! Usilete tantalila
Mmeambiwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na Wanasheria wao...¡¡Kwani wageni ni wapinzani peke yao, hakuna ccm mgeni uchaguzi huu?!
Mbona hawajaenguliwa ccm hata mmoja?!
MsemajiUkweli . Kama kweli hao wapinzani wote wameenguliwa kwa sababu ya kukosea kujaza fomu basi mchakato wetu wa uchaguzi una walakini mkubwa sana. Kujaza fomu za uchaguzi ni tukio linalotakiwa kuwa straight foward na kusiwe kama mtihani kwa wagombea. Nia ya uchaguzi wowote ni kuwapa wananchi fursa ya kuchagua viongozi wenye sifa za ubora wa hali ya juu kutoka kwenye kundi la wagombea bora waliojitokeza. Kama zoezi la kujaza fomu linatoa loophole kwa baadhi ya viongozi kuondolewa kwa sababu tu ya kukosea kujaza na siyo kwa vigezo vya sifa basi tuna shida kubwa. Unajua mimi ni mmoja ya watu walishangazwa sana sana na fomu za rais Magufuli kuwekwa passport picha kama ile iliyotumika. Nimebaki najiuliza hivi hao wasaidizi wa rais walioshoghulikia hizo fomu wana weledi gani? Na ilikuwaje NEC wakubali kupokea fomu zenye picha kama ile? Lakini hata hivyo sidhani itakuwa ni busara Magufuli anyimwe fursa ya kugombea kwa sababu tu ya kosa kama hilo. Tukubali na tufanye mambo kama watu wenye nchi yenye watu wenye akili na makosa ya kumuengua mgombea yawe makosa kama udanganyifu, kukosa sifa eg uraia nk.Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga
Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la kuwaengua kwa sababu kuu moja ambayo ni kujua vizuri taratibu za mchakato wa kuchukua fomu, kujaza kwa usahihi na kurudisha kwa wakati unaotakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.
Baadhi ya Wabunge waliokuwa wa viti maalum pia wameenguliwa kwa sababu nao hawana uzoefu katika mchakato kutokana na kuwa hawakuwahi kujaza fomu za kugombea ubunge bali walipewa ubunge kupitia vyama vyao.
Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao.
Wapinzani wataendelea kulalamika wakati tatizo na ufumbuzi wa tatizo uko ndani ya uwezo wao kama watajipanga vizuri.
Wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii wakati masuala ya muhimu kwenye "ground zero" hawayafanyi kwa umakini.
Uchaguzi Mkuu ni mchakato na sio tukio.
Ikumbukwe kuwa Sheria hazina Siasa.
Kilichobaki kwa sasa ni kuhesabu maumivu!
Hoja yako imejibiwa na sentens yangui ya kwanza...Hoja yako imejibiwa ndani ya mada na paragraph hii;
"Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao."
Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga
Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la kuwaengua kwa sababu kuu moja ambayo ni kujua vizuri taratibu za mchakato wa kuchukua fomu, kujaza kwa usahihi na kurudisha kwa wakati unaotakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.
Baadhi ya Wabunge waliokuwa wa viti maalum pia wameenguliwa kwa sababu nao hawana uzoefu katika mchakato kutokana na kuwa hawakuwahi kujaza fomu za kugombea ubunge bali walipewa ubunge kupitia vyama vyao.
Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao.
Wapinzani wataendelea kulalamika wakati tatizo na ufumbuzi wa tatizo uko ndani ya uwezo wao kama watajipanga vizuri.
Wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii wakati masuala ya muhimu kwenye "ground zero" hawayafanyi kwa umakini.
Uchaguzi Mkuu ni mchakato na sio tukio.
Ikumbukwe kuwa Sheria hazina Siasa.
Kilichobaki kwa sasa ni kuhesabu maumivu!
Hoja yako imejibiwa ndani ya mada na paragraph hii;
"Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao."
Hahaha upuuzi huu, sasa form za ubunge na urais mnajaziwa mnaakili kweli?!Mmeambiwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na Wanasheria wao...¡¡
Kulikuwa na somo kubwa sana serikali za mitaa na nakumbuka Polepole alipata kueleza jinsi walivosimamia wagombea wao kujaza fomu lakini Upinzani umekalia maneno, bila kusaidia watu wake au kujifunza kutoka kwa wenzao leo wanakuja kulalamika.
macho_mdilikoMsemajiUkweli . Kama kweli hao wapinzani wote wameenguliwa kwa sababu ya kukosea kujaza fomu basi mchakato wetu wa uchaguzi una walakini mkubwa sana. Kujaza fomu za uchaguzi ni tukio linalotakiwa kuwa straight foward na kusiwe kama mtihani kwa wagombea. Nia ya uchaguzi wowote ni kuwapa wananchi fursa ya kuchagua viongozi wenye sifa za ubora wa hali ya juu kutoka kwenye kundi la wagombea bora waliojitokeza. Kama zoezi la kujaza fomu linatoa loophole kwa baadhi ya viongozi kuondolewa kwa sababu tu ya kukosea kujaza na siyo kwa vigezo vya sifa basi tuna shida kubwa. Unajua mimi ni mmoja ya watu walishangazwa sana sana na fomu za rais Magufuli kuwekwa passport picha kama ile iliyotumika. Nimebaki najiuliza hivi hao wasaidizi wa rais walioshoghulikia hizo fomu wana weledi gani? Na ilikuwaje NEC wakubali kupokea fomu zenye picha kama ile? Lakini hata hivyo sidhani itakuwa ni busara Magufuli anyimwe fursa ya kugombea kwa sababu tu ya kosa kama hilo. Tukubali na tufanye mambo kama watu wenye nchi yenye watu wenye akili na makosa ya kumuengua mgombea yawe makosa kama udanganyifu, kukosa sifa eg uraia nk.
Siyo kweli. Hakuna rocket science katika kujaza fomu hizo. Usifumbie macho uhuni wa wazi wa wakala wa Tume, Wakurugenzi. Baadhi yao umewasikia katika video Kibamba, Moshi, n.k. Wewe nahisi ni mtu wa haki, ungana na wapenda haki ukatae huo uhuni. Ni aibu kwa Taifa!Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga
Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la kuwaengua kwa sababu kuu moja ambayo ni kujua vizuri taratibu za mchakato wa kuchukua fomu, kujaza kwa usahihi na kurudisha kwa wakati unaotakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.
Baadhi ya Wabunge waliokuwa wa viti maalum pia wameenguliwa kwa sababu nao hawana uzoefu katika mchakato kutokana na kuwa hawakuwahi kujaza fomu za kugombea ubunge bali walipewa ubunge kupitia vyama vyao.
Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao.
Wapinzani wataendelea kulalamika wakati tatizo na ufumbuzi wa tatizo uko ndani ya uwezo wao kama watajipanga vizuri.
Wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii wakati masuala ya muhimu kwenye "ground zero" hawayafanyi kwa umakini.
Uchaguzi Mkuu ni mchakato na sio tukio.
Ikumbukwe kuwa Sheria hazina Siasa.
Kilichobaki kwa sasa ni kuhesabu maumivu!
Si kweli. Na Magufuli je, mbona hakujua kufuata sheria kuwa fomu zinahakikiwa na Tume siku ya uteuzi? Na ana uzoefu wa kugombea toka 1985 akipambana na Kabuye. Ondokana na kubariki dhulumaHoja yako imejibiwa na paragraph hii;
"Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao."