Uchaguzi 2020 Kwanini Wabunge wazoefu wa Upinzani hawajaenguliwa?

Kwani wageni ni wapinzani peke yao, hakuna ccm mgeni uchaguzi huu?!

Mbona hawajaenguliwa ccm hata mmoja?!
Ccm wana utaratibu mzuri wa kusimamia ujazaji fomu wa wagombea wao ili kuepuka dosari.

Ila upinzani wameshindwa kuwasimamia wagombea wao wapya kujaza fomu kwa usahihi.

Kama hata kuwasimamia wagombea wao kujaza fomu kwa usahihi wameshindwa, je wanafaa kweli kuaminiwa na kupewa ruhusa ya kuunda serikali?
 
Ccm wanna utaratibu mzuri wa kusimamia ujazaji fomu wa wagombea wao ili kuepuka dosari.

Ila upinzani wameshindwa kuwasimamia wagombea wao wapya kujaza fomu kwa usahihi.

Kama hata kuwasimamia wagombea wao kujaza fomu kwa usahihi wameshindwa, je wanafaa kweli kuaminiwa na kupewa ruhusa ya kuunda serikali?
Hahaha ccm mijinga, Magufuli, Kabudi, Mpango, Ndalichako na PhD zao wanajaziwa form na mwanasheria?!

Yani ni nini kinahitaji mwanasheria kwenye ile form ya kugombea?!

Kujaza jina lako mgombea, anwaanibyako mgombea, taarifa zako binafsi mgombea, nazo unahitaji mwanasheria au kujaziwa?!

Ndio maana nchi inaongoxwa na wajinga kila siku malalamiko, kumbe hata form za kugombea hujaziwa?!
 
Wewe jamaa ni kilaza kweli sijui una njaa ya muda gani kichwani mwako?

Unaamini kwamba mgombea wa upinzani akijaza form peke yake ndo hajui Sheria.?
Inawezekana umesoma kichwa cha habari pekee na kuchangia au umechangia bila kuelewa ulichokisoma!
 
  • Thanks
Reactions: RMC
Hahaha ccm mijinga, Magufuli, Kabudi, Mpango, Ndalichako na PhD zao wanajaziwa form na mwanasheria?!

Yani ni nini kinahitaji mwanasheria kwenye ile form ya kugombea?!

Kujaza jina lako mgombea, anwaanibyako mgombea, taarifa zako binafsi mgombea, nazo unahitaji mwanasheria au kujaziwa?!

Ndio maana nchi inaongoxwa na wajinga kila siku malalamiko, kumbe hata form za kugombea hujaziwa?!
Mbona sasa wagombea wenu wameshindwa kujaza hizo fomu? Ina maana wajinga wengi wapo upinzani ndio maana wao pekee ndio walioenguliwa.

Wagombea wenu kuenguliwa kwa kukosea kujaza fomu ni aibu kwenu.
 
CCM imeishiwa pumzi.kule pemba wamewaengua wagombea ubunge wote wa ACT sijui wanashindana na nani huko
 
Ccm wana utaratibu mzuri wa kusimamia ujazaji fomu wa wagombea wao ili kuepuka dosari.

Ila upinzani wameshindwa kuwasimamia wagombea wao wapya kujaza fomu kwa usahihi.

Kama hata kuwasimamia wagombea wao kujaza fomu kwa usahihi wameshindwa, je wanafaa kweli kuaminiwa na kupewa ruhusa ya kuunda serikali?
Tatizo la wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii lakini yanapokuja masuala ya muhimu hawaonekani au umakini unakosekana!
 
Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga

Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la kuwaengua kwa sababu kuu moja ambayo ni kujua vizuri taratibu za mchakato wa kuchukua fomu, kujaza kwa usahihi na kurudisha kwa wakati unaotakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.

Baadhi ya Wabunge waliokuwa wa viti maalum pia wameenguliwa kwa sababu nao hawana uzoefu katika mchakato kutokana na kuwa hawakuwahi kujaza fomu za kugombea ubunge bali walipewa ubunge kupitia vyama vyao.

Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao.

Wapinzani wataendelea kulalamika wakati tatizo na ufumbuzi wa tatizo uko ndani ya uwezo wao kama watajipanga vizuri.

Wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii wakati masuala ya muhimu kwenye "ground zero" hawayafanyi kwa umakini.

Uchaguzi Mkuu ni mchakato na sio tukio.

Ikumbukwe kuwa Sheria hazina Siasa.

Kilichobaki kwa sasa ni kuhesabu maumivu!

Hiyo ni calculated move ili kuonesha kuwa wameondolewa kihalali Kwani hufuatilii sababu zinazotamkwa za kuwaondoa na kuona kama siyo sababu za kutengeneza tumeona fomu ya gwajiboy kiapo cha maadili afamefanya tarehe 20/8 badala ya tarehe 25/8 siku ya uteuzi mbona hajaonfolewa. Hoja yako haina mantiki yoyote, kuna fomu ya mgombea wa CCM hajaisaini na hajaonfolewa ilikuwa humu kwenye mitandao. Ukweli unajulikana kwamba kuna nia ya kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko. Mbona Haya mambo hayakuwepo wakati wa Mkapa na Kikwete hii awamu ni Mungu tu asaidie vinginevyo hii nchi itaingia kwenye machafuko sababu ya tume. Wote tuliona yaliyofanyika serikali za mitaa
 
CCM ilisambaza wanasheria nchi nzima kuwasaidia kujaza fomu .Upinzani kila mtu alikuwa akipambana kivyake

Walisambazwa wapi na hizo fomu zina kitu gani cha kuhitaji mwanasheria au hujaziona ukasoma hivi kundika jina lako la kwanza jina la Pili jina la ukoo na kazi yako kunahitaji mwanasheria kufanyanini. Awamu zingine mbona hatukuona haya wakati wa Mkapa na Kikwete. Tusidanganyane ati mwanasheria labda fomu za urahisi lakini siyo udiwani na ubunge
 
Hivi kwa nini wagombea wote wa upinzani katika mkoa mmoja baada ya kuchukua fomu wasikusanyike kwa pamoja na kuelekezwa na mwanasheria pamoja na mbunge mzoefu ndani ya mkoa huo kwa pamoja amvapo wangetumia sample form moja iliyojazwa tayari? Kisha fomu walizojaza zikaguliwe kwa pamoja ndipo kila mmoja airudishe tena kwa kusindikizwa.
Inawezekana kabisa baadhi wanazikosea makusudi kama kule Misungwi. Kama kuna wabunge waluhama vyama je haiwezekani pia wagombea kuhama vyama?
Nafikiri suala la kujaza fomu na kurudisha kila chama kingelifanya ni jukumu la uongozi wa chama ngazi ya jimbo na asiachiwe mgombea.

Itafika mahali watu watakuwa wanapambana ndani ya vyama wateuliwe kugombea kwa lengo la kwenda kuuza fursa ya kugombea kwa mpinzani wake ili mpinzani apite bila kupingwa.

Nawewe unaamini kwamba kuna mbunge amekosea kujaza fomu basi utakuwa huelewi kinachoendelea katika hii nchi inamaana unanaamini kuwa wale wagombea wa serikali za mitaa walikosea kujaza fomu ndo wakaenguliwa karibia wote
 
Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga

Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la kuwaengua kwa sababu kuu moja ambayo ni kujua vizuri taratibu za mchakato wa kuchukua fomu, kujaza kwa usahihi na kurudisha kwa wakati unaotakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.

Baadhi ya Wabunge waliokuwa wa viti maalum pia wameenguliwa kwa sababu nao hawana uzoefu katika mchakato kutokana na kuwa hawakuwahi kujaza fomu za kugombea ubunge bali walipewa ubunge kupitia vyama vyao.

Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao.

Wapinzani wataendelea kulalamika wakati tatizo na ufumbuzi wa tatizo uko ndani ya uwezo wao kama watajipanga vizuri.

Wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii wakati masuala ya muhimu kwenye "ground zero" hawayafanyi kwa umakini.

Uchaguzi Mkuu ni mchakato na sio tukio.

Ikumbukwe kuwa Sheria hazina Siasa.

Kilichobaki kwa sasa ni kuhesabu maumivu!
Na yule mdada wa Morogoro! Si mzoefu?
 
CCM ilisambaza wanasheria nchi nzima kuwasaidia kujaza fomu .Upinzani kila mtu alikuwa akipambana kivyake

Sasa mdau mwenzangu wa Lumumba kama ni hivyo mbona mwenyekiti wetu wanamtuhumu kuweka picha ya pozi la aina yake?

Kama kwa mkubwa ilikuwa hivyo, je huko kwingine itakuwaje?
 
Naomba tume ya uchaguzi wahifadhi fomu za wagombea wote nchini. Itakuwa source ya data nzuri sana kwa ajili ya utafiti hapo baadaye. Bashiru na Kabudi watakuwa wadau wazuri sana ktk huo utafiti maana kwa kipindi kijacho hawatakuwa na majukumu ya kisiasa.
 
Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga

Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la kuwaengua kwa sababu kuu moja ambayo ni kujua vizuri taratibu za mchakato wa kuchukua fomu, kujaza kwa usahihi na kurudisha kwa wakati unaotakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.

Baadhi ya Wabunge waliokuwa wa viti maalum pia wameenguliwa kwa sababu nao hawana uzoefu katika mchakato kutokana na kuwa hawakuwahi kujaza fomu za kugombea ubunge bali walipewa ubunge kupitia vyama vyao.

Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao.

Wapinzani wataendelea kulalamika wakati tatizo na ufumbuzi wa tatizo uko ndani ya uwezo wao kama watajipanga vizuri.

Wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii wakati masuala ya muhimu kwenye "ground zero" hawayafanyi kwa umakini.

Uchaguzi Mkuu ni mchakato na sio tukio.

Ikumbukwe kuwa Sheria hazina Siasa.

Kilichobaki kwa sasa ni kuhesabu maumivu!
Kwahiyo mkuu wagombea wote wa CCM ni wazoefu hakuna mgombea mpya?
Ata kama tunalipwa kuongea ujinga na mapambio basi mengine tue tuna kaa kimya.
 
  • Kicheko
Reactions: RMC
Wamesaidiwa na wanasheria wa Chama kujaza fomu zao, Wakati Chadema ikiendelea na ule mchakato wa kusaka wadhamini, CCM Wao na vikao vya kujaza fomu n.k,

Ule Wakati wamejikalia kimya kumbe ndani yake kilikuwa kishindo, Uchaguzi ni mipango mkuu
Kama inawezekana tungeweka copy ya empty form hapa tuone kuna nini hadi wapinzani tu ndio wanakosea.
 
Back
Top Bottom