Zionist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 1,830
- 2,882
Waislam kutomwamini yesu umeipata wapi ?Ndio maana ,Wayahud ,hawamuamini Yesu,wanamwita mtoto wa nje ya ndoa.
Waislam kutomwamini yesu umeipata wapi ?Ndio maana ,Wayahud ,hawamuamini Yesu,wanamwita mtoto wa nje ya ndoa.
Usidanganye..labda amini hayo wewe binafsi,kupoteza ndugu jamaa zangu siyo sababu ya mimi kwenda kujiua na watu bwana.hapo hua kuna kitu ingine,tena unaweza kuta hua wanaamisha watu kua wamejilipua na kumbe unakuta kilichoenda kulipua ni midori tu mfano wa mwanadamu na inawezekana kabisa.Ngosha wa Mwanza omba yasikukute, wale wanaokwenda kujiripua kwa mabomu usidhani wanapenda, lakini dhuluma ndiyo inayowafanya kufikia hatua ile, ikiwa baba, mama, kaka wameuliwa na dada zako wamenajisiwa wewe utakuwa na moyo gani? Hiyo IQ unayoizungumzia utaifanyaje? Sisi watanzania tuombe amani usisikie kunako vita.
Fikra ya kijinga kabisa hii km wanayo,Warabu hawauani ila wanachonganishwa.
Haya yote yalikuwa nyakati ganiRejea :-
Mauaji ya Rwanda 1994
Mauaji ya Biafra Nigeria 1970s
Mauaji ya Ethiopia
Mauaji ya Bagsnda Uganda
Mauaji ya leo hii South Sudan
Mauaji ya Somalia
Mauaji ya Zaire / DRC
Mauaji ya Angola
Mauaji ya WW1 vita ya ulimwengu 1 na pili
vita vya Vietnam mk nk
Robert James Masunga
Ona aibuHadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!
Hyo yote yalitokea kabla ya wewekuzailwa... "YAANI hukuwepo duniani"?Haya yote yalikuwa nyakati gani
Aibu nimeona !! baada ya kuelewa kuwa humu wapo wengi ni taahira... Kwa sababu hawajui UARABU ndo unaunganisha UBINAADAMU... billa hicho mataifa mengi ulimwenguni ni kama mbuga za seregenti "Mzungu kumnyanyapaa Mwafrika, na Mchina kumyanyasa muhindi na Mjapani kumkandamiza mkorea na Waafrika kudharauliana" tembea uone !!Ona aibu
wanajitakia wenyewe kukosa elimu ............ elimu unaifwata si inakufwataMkuu, wanakuambia duniani binadamu wenye highque ndogo akitoka muafrika anaingia muarabu,hawa watu ambao wamekosa elimu ya falsafa!! Wana elimu ya dini tu
wewe hata huna ufahamu kwamba hapa unachonganishwa basi wewe zwazwa tuWarabu hawauani ila wanachonganishwa.
kumbe hawana akili na huenda hata mungu wanaye muamini hana nguvu kama Mungu wa wajukuu wa Mfalume Daudi ndo maana wamevurugwaHadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!
Ha ha h ha ha aha haaaaaaa..... eti elimu ? Samahani tuishie hapo.... inatosha !!!! (kuna elimu ya wizi/ufisadi/ubadhirifu/uporaji/nyang'anyi,nk nk) bora tuishie hapa !!ulitakiwa ujiulize kama ni mbao mbona mnashindwa katika kila eneo na hao wanao amini katika yeye...elimu mmeshindwa..afya mmeshindwa...kila kitu
much better 4 u!Ha ha h ha ha aha haaaaaaa..... eti elimu ? Samahani tuishie hapo.... inatosha !!!! (kuna elimu ya wizi/ufisadi/ubadhirifu/uporaji/nyang'anyi,nk nk) bora tuishie hapa !!
Thanks... nashukuru kunipa uhuru!! nafurahi kuona WARAABU hawawezeki, hawatawaliki, hawamuinamii au kumwangukia !! au kujikomba komba... !!much better 4 u!
Wanafikiri mwafrika kutokutengeneza bunduki kwa wingi wanajua ni mjinga. Huwezi tengeneza bunduki halafu irudi ikuue mwenyewe, mwafrika hakutaka ujinga huo.IQ yetu iko juu kaka maana mbongo umpe Bomu akalipue watu hawezi Fanya ujinga huo maana ana uwezo WA kurizoni kwa nn aue na hiyo ndo IQ .sio unaambiwa kalipue unaenda tu kisa umedanganywa na mambo ya dini
Wafafanue zaidi na tamaduni zao.Kuna tofauti kubwa kati ya Waarabu, Waajemi (waPersia), waSyria (Assyrians), waPakistani (Hindi) na Wapalestina.
Kinachofanya watu wawachanganye ni kwa sababu wengi wao ni waislamu.. Uislamu ndio unaowaunganisha kiimani ila ni watu tofauti kitamaduni..
BBC atakwambia ndo hizo za propaganda, hata idhaa ya Sauti ya Kiislam ya Iran inatangaza hivyo.Wewe mkuu kila siku palestina wanajitoa muhanga BBC haipiti wiki 2 bila kusikia Palestina