Waarabu wa Palestina wangepata watu wenye Hekima, wasingethubutu kushinikiza matakwa yao kwa njia walizotumia

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,559
41,075
Ukitizama mauaji, hasa ya watoto huko Gaza inasikitisha sana. Ukitafakari ule ugaidi wa Hamas dhidi ya yeyote aliyekuwepo Israel, unapata hasira.

Tangu mwaka 1948, Taifa la Israel lilipotangazwa kuwa ni Taifa huru, katika vita zote za waarabu dhidi ya Israel, licha ya ukweli kuwa Israel ilipata hasara ya kupoteza watu wake, lakini ukweli ni kuwa waarabu ndio walipata hasara maradufu. Mpaka leo, kwa wastani, ni kuwa kwa kila muisrael mmoja aliyepoteza maisha, waarabu 10 - 15 walipoteza maisha.

Kwa upande wa diplomasia, baada ya Waarabu wa Palestina kukaribisha makundi ya kigaidi kuwapigania, kwa kiasi kikubwa waarabu wa Palestina wamekosa uungwaji mkono wa kimataifa, hata miongoni mwa mataifa ya kiarabu. Uwepo wa Hamas, Hizibollah na makundi mengine ya kigaidi yanayofadhiliwa na Iran, kumefanya baadhi ya mataifa ya ⁸kiarabu kuwa karibu zaidi na Israel kwa sababu ndiyo Taifa pekee linaloweza kuyadhibiti makundi haya.

Serikali nyingi za nchi za Kiarabu, ukiondoa Iran, zinayaona makundi haya ya kigaidi ni tishio kwa Serikali zao. Baadhi ya mataifa ya kiarabu, mengine kwa uwazi na mengine kwa usiri, miaka ya karibunj yameamua kuwa karibu na Israel kwa sababu ni Israel pekee ndiyo inaonekana ina uwezo wa kuyatikisa makundi haya ya kigaidi yanayofadhiliwa na Iran.

Hii ndiyo sababu, hutasikia Taifa lolote la kiarabu, zaidi ya Iran, linaweza kuwapa msaada Hamas au Hizbollah. Mataifa haya ya kiarabu yapo tayari kuwapa wapalestina chakula lakini siyo kuwapa silaha makundi haya ya kigaidi.

Hata jitihada za Qatar kutaka mashambulio yasimame kwa muda ili mateka waweze kuachiwa, zinaisaidia zaidi Israel kuliko Hamas:

1) Wakati mateka wa Israel na mataifa mengine wakiachiwa na Hamas kwa uwiano wa 1:3; israel imekuwa ikiwaachia wafungwa wapalestina na kisha kuwakamata wengine kwa uwiano wa 1:3. Yaani kwa kila mfungwa mmoja wa Palestina aliyeachiwa, watatu walikamatwa na kufanywa wafungwa. Yaani Israel imewaachia wafungwa 180 wapalestina, lakini katika kipindi hicho hicho amewakamata wapalestina wengine zaidi ya 600 na kuwaweka kwenye magereza yake. Yaani sahizi kuna wafungwa wengi zaidi wapalestina kwenye magereza ya Israel kuliko hata walivyokuwa kabla ya kuanza kuachiwa.

Wayahudi inaonekana hawafanyi kazi kwa hasara.

Mbaya zaidi katika kipindi wanaachiwa mateka, Israel imeutumia zaidi huo muda kuweza kufahamu mateka wanaoshikiliwa na Hamas wako wapi. Na kwa sababu imefahamika kuwa Hamas wamekuwa wakiwamisha hamisha mateka, sasa UK imepeleka ndege za doria zitakazofuatilia uhamishaji wa mateka wa Hamas.

Kwa upande wa wapalestina, wapalestina waliokufa mpaka sasa ni zaidi ya mara 10 ya waisrael, na bado wanaendelea kufa. Ukija kwenye upande wa mateka, Hamas imewaachilia mateka 60, na haina mateka wapya. Israel imewaachilia wafungwa 180, lakini amewachukua wafungwa wapya zaidi ya 600. Kwa uwiano huu, Wapalestina wanavuna nini? Lakini zaidi ya haya, jana tu wapalestina raia na magaidi wa Hamas, zaidi ya 700 wameuawa. Na kuna vifo vingi vya watoto vya kuleta simanzi kubwa.

Ina maana huko Uarabuni, hakuna watu wenye hekima wawashauri Wapalestina wayakane makundi haya ya kigaidi, ili kufanyike mazungumzo ya wenye hekima baina ya waisrael na waarabu wa Palestina kuokoa maisha ya wasio na hatia kwa pande zote? Toka siku nyingi, Israel ilionesha kuwa tayari kuifanya Palestina na Israel kuwa nchi moja yenye jamii tofauti tofauti, lakini tatizo kubwa lipo kwa Iran.

Nchi za kiarabu haziwezi kufanya chochote hata kama Israel ikiamua kuwamaliza waarabu wote wa Wapalestina, hivyo Wapalestina wanastahili kutegemea zaidi busala yao kuliko kuitegemea Iran na hayo makundi ya kigaidi.

Watoto wanaangamia Palestina, lakini bado kuna simanzi kubwa miongoni mwa familia za wayahudi. Chanzo kikubwa ni Haya Makundi ya Kigaidi ya Iran. Kwa nini makundi haya ya kigaidi yasipifwe marufuku kujihusisha na harakati za Wapalestina kutafuta wanachokiona ni haki yao? Siku zote, hata kama ukiwa na haki fulani, lakini huyo unayedhani kumekubania haki zako, ukamtumia jambazi, hakika hutasikilizwa. Kitakachotazamwa ni ule ujambazi wa lile jitu ulilolitumia. Kamwe makundi ya kigaidi hayataweza kuwaletea wapalestina Taifa.
 
Baadhi ya malofa wa hili jukwaa pengine wamepata somo kubwa juu ya vita hii inayoendelea Huko gaza...
Leo msemaji mkuu wa wizara ya afya wa Gaza amesema kuwa Israel wameharibu facilities zote za hospital kama mafuta,vifaa tiba, madawa, chakula na majenera kumbuka hivi vyote vilikuwa msaada baada ya ceasefire.

Sioni faida yeyote HAMAS wanapata
 
Israel walikua Waziri wao mkuu Yitzhak Rabin aliyeingia mapatano na wapalestine ambayo wahafudhina akina netanyahu hawakuyataka,ukizungumzia mpalestina kutumia busara na si nguvu maana yake hujui chochote kuhusu maisha ya wapalestina
 
Wewe ni mwendawazimu sio bure
Wenye akili wote wameandima maoni yao kuhusiana na mada. Bahati mbaya ni wewe tu ndiyo umeamua kuchafua mada ambayo ilikuwa kwaajili ya watu wenye akili timamu.
 
Israel walikua Waziri wao mkuu Yitzhak Rabin aliyeingia mapatano na wapalestine ambayo wahafudhina akina netanyahu hawakuyataka,ukizungumzia mpalestina kutumia busara na si nguvu maana yake hujui chochote kuhusu maisha ya wapalestina
Tuambie hayo maisha ya Wapestina, ambayo unaamini hatuyajui.
 
Ukitizama mauaji, hasa ya watoto huko Gaza inasikitisha sana. Ukitafakari ule ugaidi wa Hamas dhidi ya yeyote aliyekuwepo Israel, unapata hasira.

Tangu mwaka 1948, Taifa la Israel lilipotangazwa kuwa ni Taifa huru, katika vita zote za waarabu dhidi ya Israel, licha ya ukweli kuwa Israel ilipata hasara ya kupoteza watu wake, lakini ukweli ni kuwa waarabu ndio walipata hasara maradufu. Mpaka leo, kwa wastani, ni kuwa kwa kila muisrael mmoja aliyepoteza maisha, waarabu 10 - 15 walipoteza maisha.

Kwa upande wa diplomasia, baada ya Waarabu wa Palestina kukaribisha makundi ya kigaidi kuwapigania, kwa kiasi kikubwa waarabu wa Palestina wamekosa uungwaji mkono wa kimataifa, hata miongoni mwa mataifa ya kiarabu. Uwepo wa Hamas, Hizibollah na makundi mengine ya kigaidi yanayofadhiliwa na Iran, kumefanya baadhi ya mataifa ya ⁸kiarabu kuwa karibu zaidi na Israel kwa sababu ndiyo Taifa pekee linaloweza kuyadhibiti makundi haya.

Serikali nyingi za nchi za Kiarabu, ukiondoa Iran, zinayaona makundi haya ya kigaidi ni tishio kwa Serikali zao. Baadhi ya mataifa ya kiarabu, mengine kwa uwazi na mengine kwa usiri, miaka ya karibunj yameamua kuwa karibu na Israel kwa sababu ni Israel pekee ndiyo inaonekana ina uwezo wa kuyatikisa makundi haya ya kigaidi yanayofadhiliwa na Iran.

Hii ndiyo sababu, hutasikia Taifa lolote la kiarabu, zaidi ya Iran, linaweza kuwapa msaada Hamas au Hizbollah. Mataifa haya ya kiarabu yapo tayari kuwapa wapalestina chakula lakini siyo kuwapa silaha makundi haya ya kigaidi.

Hata jitihada za Qatar kutaka mashambulio yasimame kwa muda ili mateka waweze kuachiwa, zinaisaidia zaidi Israel kuliko Hamas:

1) Wakati mateka wa Israel na mataifa mengine wakiachiwa na Hamas kwa uwiano wa 1:3; israel imekuwa ikiwaachia wafungwa wapalestina na kisha kuwakamata wengine kwa uwiano wa 1:3. Yaani kwa kila mfungwa mmoja wa Palestina aliyeachiwa, watatu walikamatwa na kufanywa wafungwa. Yaani Israel imewaachia wafungwa 180 wapalestina, lakini katika kipindi hicho hicho amewakamata wapalestina wengine zaidi ya 600 na kuwaweka kwenye magereza yake. Yaani sahizi kuna wafungwa wengi zaidi wapalestina kwenye magereza ya Israel kuliko hata walivyokuwa kabla ya kuanza kuachiwa.

Wayahudi inaonekana hawafanyi kazi kwa hasara.

Mbaya zaidi katika kipindi wanaachiwa mateka, Israel imeutumia zaidi huo muda kuweza kufahamu mateka wanaoshikiliwa na Hamas wako wapi. Na kwa sababu imefahamika kuwa Hamas wamekuwa wakiwamisha hamisha mateka, sasa UK imepeleka ndege za doria zitakazofuatilia uhamishaji wa mateka wa Hamas.

Kwa upande wa wapalestina, wapalestina waliokufa mpaka sasa ni zaidi ya mara 10 ya waisrael, na bado wanaendelea kufa. Ukija kwenye upande wa mateka, Hamas imewaachilia mateka 60, na haina mateka wapya. Israel imewaachilia wafungwa 180, lakini amewachukua wafungwa wapya zaidi ya 600. Kwa uwiano huu, Wapalestina wanavuna nini? Lakini zaidi ya haya, jana tu wapalestina raia na magaidi wa Hamas, zaidi ya 700 wameuawa. Na kuna vifo vingi vya watoto vya kuleta simanzi kubwa.

Ina maana huko Uarabuni, hakuna watu wenye hekima wawashauri Wapalestina wayakane makundi haya ya kigaidi, ili kufanyike mazungumzo ya wenye hekima baina ya waisrael na waarabu wa Palestina kuokoa maisha ya wasio na hatia kwa pande zote? Toka siku nyingi, Israel ilionesha kuwa tayari kuifanya Palestina na Israel kuwa nchi moja yenye jamii tofauti tofauti, lakini tatizo kubwa lipo kwa Iran.

Nchi za kiarabu haziwezi kufanya chochote hata kama Israel ikiamua kuwamaliza waarabu wote wa Wapalestina, hivyo Wapalestina wanastahili kutegemea zaidi busala yao kuliko kuitegemea Iran na hayo makundi ya kigaidi.

Watoto wanaangamia Palestina, lakini bado kuna simanzi kubwa miongoni mwa familia za wayahudi. Chanzo kikubwa ni Haya Makundi ya Kigaidi ya Iran. Kwa nini makundi haya ya kigaidi yasipifwe marufuku kujihusisha na harakati za Wapalestina kutafuta wanachokiona ni haki yao? Siku zote, hata kama ukiwa na haki fulani, lakini huyo unayedhani kumekubania haki zako, ukamtumia jambazi, hakika hutasikilizwa. Kitakachotazamwa ni ule ujambazi wa lile jitu ulilolitumia. Kamwe makundi ya kigaidi hayataweza kuwaletea wapalestina Taifa.
Uhaaro mtupu.
 
Ukitizama mauaji, hasa ya watoto huko Gaza inasikitisha sana. Ukitafakari ule ugaidi wa Hamas dhidi ya yeyote aliyekuwepo Israel, unapata hasira.

Tangu mwaka 1948, Taifa la Israel lilipotangazwa kuwa ni Taifa huru, katika vita zote za waarabu dhidi ya Israel, licha ya ukweli kuwa Israel ilipata hasara ya kupoteza watu wake, lakini ukweli ni kuwa waarabu ndio walipata hasara maradufu. Mpaka leo, kwa wastani, ni kuwa kwa kila muisrael mmoja aliyepoteza maisha, waarabu 10 - 15 walipoteza maisha.

Kwa upande wa diplomasia, baada ya Waarabu wa Palestina kukaribisha makundi ya kigaidi kuwapigania, kwa kiasi kikubwa waarabu wa Palestina wamekosa uungwaji mkono wa kimataifa, hata miongoni mwa mataifa ya kiarabu. Uwepo wa Hamas, Hizibollah na makundi mengine ya kigaidi yanayofadhiliwa na Iran, kumefanya baadhi ya mataifa ya ⁸kiarabu kuwa karibu zaidi na Israel kwa sababu ndiyo Taifa pekee linaloweza kuyadhibiti makundi haya.

Serikali nyingi za nchi za Kiarabu, ukiondoa Iran, zinayaona makundi haya ya kigaidi ni tishio kwa Serikali zao. Baadhi ya mataifa ya kiarabu, mengine kwa uwazi na mengine kwa usiri, miaka ya karibunj yameamua kuwa karibu na Israel kwa sababu ni Israel pekee ndiyo inaonekana ina uwezo wa kuyatikisa makundi haya ya kigaidi yanayofadhiliwa na Iran.

Hii ndiyo sababu, hutasikia Taifa lolote la kiarabu, zaidi ya Iran, linaweza kuwapa msaada Hamas au Hizbollah. Mataifa haya ya kiarabu yapo tayari kuwapa wapalestina chakula lakini siyo kuwapa silaha makundi haya ya kigaidi.

Hata jitihada za Qatar kutaka mashambulio yasimame kwa muda ili mateka waweze kuachiwa, zinaisaidia zaidi Israel kuliko Hamas:

1) Wakati mateka wa Israel na mataifa mengine wakiachiwa na Hamas kwa uwiano wa 1:3; israel imekuwa ikiwaachia wafungwa wapalestina na kisha kuwakamata wengine kwa uwiano wa 1:3. Yaani kwa kila mfungwa mmoja wa Palestina aliyeachiwa, watatu walikamatwa na kufanywa wafungwa. Yaani Israel imewaachia wafungwa 180 wapalestina, lakini katika kipindi hicho hicho amewakamata wapalestina wengine zaidi ya 600 na kuwaweka kwenye magereza yake. Yaani sahizi kuna wafungwa wengi zaidi wapalestina kwenye magereza ya Israel kuliko hata walivyokuwa kabla ya kuanza kuachiwa.

Wayahudi inaonekana hawafanyi kazi kwa hasara.

Mbaya zaidi katika kipindi wanaachiwa mateka, Israel imeutumia zaidi huo muda kuweza kufahamu mateka wanaoshikiliwa na Hamas wako wapi. Na kwa sababu imefahamika kuwa Hamas wamekuwa wakiwamisha hamisha mateka, sasa UK imepeleka ndege za doria zitakazofuatilia uhamishaji wa mateka wa Hamas.

Kwa upande wa wapalestina, wapalestina waliokufa mpaka sasa ni zaidi ya mara 10 ya waisrael, na bado wanaendelea kufa. Ukija kwenye upande wa mateka, Hamas imewaachilia mateka 60, na haina mateka wapya. Israel imewaachilia wafungwa 180, lakini amewachukua wafungwa wapya zaidi ya 600. Kwa uwiano huu, Wapalestina wanavuna nini? Lakini zaidi ya haya, jana tu wapalestina raia na magaidi wa Hamas, zaidi ya 700 wameuawa. Na kuna vifo vingi vya watoto vya kuleta simanzi kubwa.

Ina maana huko Uarabuni, hakuna watu wenye hekima wawashauri Wapalestina wayakane makundi haya ya kigaidi, ili kufanyike mazungumzo ya wenye hekima baina ya waisrael na waarabu wa Palestina kuokoa maisha ya wasio na hatia kwa pande zote? Toka siku nyingi, Israel ilionesha kuwa tayari kuifanya Palestina na Israel kuwa nchi moja yenye jamii tofauti tofauti, lakini tatizo kubwa lipo kwa Iran.

Nchi za kiarabu haziwezi kufanya chochote hata kama Israel ikiamua kuwamaliza waarabu wote wa Wapalestina, hivyo Wapalestina wanastahili kutegemea zaidi busala yao kuliko kuitegemea Iran na hayo makundi ya kigaidi.

Watoto wanaangamia Palestina, lakini bado kuna simanzi kubwa miongoni mwa familia za wayahudi. Chanzo kikubwa ni Haya Makundi ya Kigaidi ya Iran. Kwa nini makundi haya ya kigaidi yasipifwe marufuku kujihusisha na harakati za Wapalestina kutafuta wanachokiona ni haki yao? Siku zote, hata kama ukiwa na haki fulani, lakini huyo unayedhani kumekubania haki zako, ukamtumia jambazi, hakika hutasikilizwa. Kitakachotazamwa ni ule ujambazi wa lile jitu ulilolitumia. Kamwe makundi ya kigaidi hayataweza kuwaletea wapalestina Taifa.
wangekuwa na hekima wangefanyaje? Wangelamba miguu ya Wazayuni waliopora nchi yao? Acha porojo
 
Tuambie hayo maisha ya Wapestina, ambayo unaamini hatuyajui.
Nyumba zao kubomolewa kwa ndege Vita za Israel kadei Israel inavyojisikia,masetla wa kiisrael huja na kutimua wapalestine kwenye nyumba zao na kuwaambia kuwa hizo nyumba ni zao,kudhulumiwa na kuporwa mashamba yao ya mizaituni kila uchwao,mengine google tu ukikumbuka kuwa miji ya wapalestina,Gaza na west bank ni magereza ya wazi
 
Issa Shivji

@IssaShivji

Maandamano ya amani kuonyesha mshikamano na watu wa Palestina - marufuku! Mbio za mshikamano - marufuku! Ubebaji wa bendera ya Palestina - marufuku! Sasa pigeni marufuku hisia na fikra zetu za utu na ubinadamu na binadadamu wenzetu!!
 
Ukitizama mauaji, hasa ya watoto huko Gaza inasikitisha sana. Ukitafakari ule ugaidi wa Hamas dhidi ya yeyote aliyekuwepo Israel, unapata hasira.

Tangu mwaka 1948, Taifa la Israel lilipotangazwa kuwa ni Taifa huru, katika vita zote za waarabu dhidi ya Israel, licha ya ukweli kuwa Israel ilipata hasara ya kupoteza watu wake, lakini ukweli ni kuwa waarabu ndio walipata hasara maradufu. Mpaka leo, kwa wastani, ni kuwa kwa kila muisrael mmoja aliyepoteza maisha, waarabu 10 - 15 walipoteza maisha.

Kwa upande wa diplomasia, baada ya Waarabu wa Palestina kukaribisha makundi ya kigaidi kuwapigania, kwa kiasi kikubwa waarabu wa Palestina wamekosa uungwaji mkono wa kimataifa, hata miongoni mwa mataifa ya kiarabu. Uwepo wa Hamas, Hizibollah na makundi mengine ya kigaidi yanayofadhiliwa na Iran, kumefanya baadhi ya mataifa ya ⁸kiarabu kuwa karibu zaidi na Israel kwa sababu ndiyo Taifa pekee linaloweza kuyadhibiti makundi haya.

Serikali nyingi za nchi za Kiarabu, ukiondoa Iran, zinayaona makundi haya ya kigaidi ni tishio kwa Serikali zao. Baadhi ya mataifa ya kiarabu, mengine kwa uwazi na mengine kwa usiri, miaka ya karibunj yameamua kuwa karibu na Israel kwa sababu ni Israel pekee ndiyo inaonekana ina uwezo wa kuyatikisa makundi haya ya kigaidi yanayofadhiliwa na Iran.

Hii ndiyo sababu, hutasikia Taifa lolote la kiarabu, zaidi ya Iran, linaweza kuwapa msaada Hamas au Hizbollah. Mataifa haya ya kiarabu yapo tayari kuwapa wapalestina chakula lakini siyo kuwapa silaha makundi haya ya kigaidi.

Hata jitihada za Qatar kutaka mashambulio yasimame kwa muda ili mateka waweze kuachiwa, zinaisaidia zaidi Israel kuliko Hamas:

1) Wakati mateka wa Israel na mataifa mengine wakiachiwa na Hamas kwa uwiano wa 1:3; israel imekuwa ikiwaachia wafungwa wapalestina na kisha kuwakamata wengine kwa uwiano wa 1:3. Yaani kwa kila mfungwa mmoja wa Palestina aliyeachiwa, watatu walikamatwa na kufanywa wafungwa. Yaani Israel imewaachia wafungwa 180 wapalestina, lakini katika kipindi hicho hicho amewakamata wapalestina wengine zaidi ya 600 na kuwaweka kwenye magereza yake. Yaani sahizi kuna wafungwa wengi zaidi wapalestina kwenye magereza ya Israel kuliko hata walivyokuwa kabla ya kuanza kuachiwa.

Wayahudi inaonekana hawafanyi kazi kwa hasara.

Mbaya zaidi katika kipindi wanaachiwa mateka, Israel imeutumia zaidi huo muda kuweza kufahamu mateka wanaoshikiliwa na Hamas wako wapi. Na kwa sababu imefahamika kuwa Hamas wamekuwa wakiwamisha hamisha mateka, sasa UK imepeleka ndege za doria zitakazofuatilia uhamishaji wa mateka wa Hamas.

Kwa upande wa wapalestina, wapalestina waliokufa mpaka sasa ni zaidi ya mara 10 ya waisrael, na bado wanaendelea kufa. Ukija kwenye upande wa mateka, Hamas imewaachilia mateka 60, na haina mateka wapya. Israel imewaachilia wafungwa 180, lakini amewachukua wafungwa wapya zaidi ya 600. Kwa uwiano huu, Wapalestina wanavuna nini? Lakini zaidi ya haya, jana tu wapalestina raia na magaidi wa Hamas, zaidi ya 700 wameuawa. Na kuna vifo vingi vya watoto vya kuleta simanzi kubwa.

Ina maana huko Uarabuni, hakuna watu wenye hekima wawashauri Wapalestina wayakane makundi haya ya kigaidi, ili kufanyike mazungumzo ya wenye hekima baina ya waisrael na waarabu wa Palestina kuokoa maisha ya wasio na hatia kwa pande zote? Toka siku nyingi, Israel ilionesha kuwa tayari kuifanya Palestina na Israel kuwa nchi moja yenye jamii tofauti tofauti, lakini tatizo kubwa lipo kwa Iran.

Nchi za kiarabu haziwezi kufanya chochote hata kama Israel ikiamua kuwamaliza waarabu wote wa Wapalestina, hivyo Wapalestina wanastahili kutegemea zaidi busala yao kuliko kuitegemea Iran na hayo makundi ya kigaidi.

Watoto wanaangamia Palestina, lakini bado kuna simanzi kubwa miongoni mwa familia za wayahudi. Chanzo kikubwa ni Haya Makundi ya Kigaidi ya Iran. Kwa nini makundi haya ya kigaidi yasipifwe marufuku kujihusisha na harakati za Wapalestina kutafuta wanachokiona ni haki yao? Siku zote, hata kama ukiwa na haki fulani, lakini huyo unayedhani kumekubania haki zako, ukamtumia jambazi, hakika hutasikilizwa. Kitakachotazamwa ni ule ujambazi wa lile jitu ulilolitumia. Kamwe makundi ya kigaidi hayataweza kuwaletea wapalestina Taifa.
Ngoja mimi mpalestina wa huku mchamba wima nije kukupinga nikiwa nmetoka kunywa maji ya sabuni ya omo
 
Uhaaro mtupu.
Nimemsoma jamaa nikiwa sober na kwa kutumia akili. Jamaa ana point. Asikilizwe... Maana nami nimeanza kuchoka naona sisi wapalestine tunapigwa tu siku ziendazo. Nilitegemea tuwamalize kabisa mayahudi ila naona maarabu ndo yanamalizwa... Inaniumiza moyo sana.
 
Nimemsoma jamaa nikiwa sober na kwa kutumia akili. Jamaa ana point. Asikilizwe... Maana nami nimeanza kuchoka naona sisi wapalestine tunapigwa tu siku ziendazo. Nilitegemea tuwamalize kabisa mayahudi ila naona maarabu ndo yanamalizwa... Inaniumiza moyo sana.
Wewe shoga Mwenzake ukimsikiliza si inatosha.
 
Issa Shivji

@IssaShivji

Maandamano ya amani kuonyesha mshikamano na watu wa Palestina - marufuku! Mbio za mshikamano - marufuku! Ubebaji wa bendera ya Palestina - marufuku! Sasa pigeni marufuku hisia na fikra zetu za utu na ubinadamu na binadadamu wenzetu!!
Wewe issa shivji turudishie roho za watanzania wenzetu kwanza ......ndio urete porojo zako za udini mbwa koko wewe......hivi waliokufa watanzania wenzanko kama wangekuwa ni watoto wako ungeendereza hizo fikra zako?? Muhindi wa kwanza msomi lakini taahira nenda kaimbe masongi na akina amitha bachan
 
Back
Top Bottom