Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

"Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako. Akajibu, akawaambia, kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona. Kwani kama vile Yona alivyokuwa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo mwana wa Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa nchi. (Mt. 12:38-40) (Rejea Yona 1:15 –2:1).

Sasa unakaaje kaburini ka hujafa? Ubongo wa kuku ni shida sana.
 
Tatizio kubwa kichwani mwako ni kutokuwa na elimu ya ufahamu wa vita zilizo wahi kutokea na zanazotokea ulimwenguni sehemu mbaliambali mataifa na makabila. mbali mbali, kwa zama mbalimbali,
kwanza ungejiuliza kabla ya waarabu kuuwana, duniani kulikuwa hakuna vita vya watu kupigana wao kwa wao,? povu ulilo uliza hapa laonyesha kuwa waarabu ndio taifa la kwanza kuuwana wenyewe kwa wenyewe kama ungekuwa na elimu au ufahamu huo usingejipinda na kupoteza MB bure kwa kuuliza upuuzi kama huu,
Lakushangaza pia wamepatikana zezeta wa fikra wengi wakichangia eti oh UISLAAM, amakweli nimeamini uzezeta wa fikra MZIGO, wale WAKURYA wa Mara ( musoma ) kila kunapo kucha wanachinjana na mtu hatosheki kuchinja ukoo mzima mpaka ngo'mbe na mbuzi na panya wa ukoo ule anachinja, hawo nao pia ni WAISLAAM ? mbona wamesheheni UGALATIA
wale wa Ireland kaskazini wameuwana wao kwa wao hawakutosheka mpaka wamechomeana majumba na mashamba nao ni WAISLAM ? mbona wamesheheni UGALATIA,
ZAIRE, RWANDA, na sehemu zingine ulimwenguni, huko kote MBUZKATO hamuwoni mmeona kwa WAARABU tu.
Indonesia takriban 90% ni waislam mbona halijatokea hilo kama kigezo ni Uislaam
Uko kote ulikukoja hawakutumia dini kuharalisha mauaje lakini waraabu wanatumia vifungu vya dini kuharalisha umwagaji damu
 
Uko kote ulikukoja hawakutumia dini kuharalisha mauaje lakini waraabu wanatumia vifungu vya dini kuharalisha umwagaji damu
Wapo wengi wabaotumia vifungu vya dini,ukisngalia Askofu Kibwetere,alivyoua maelfu,ndani ya kanisa,alitumia vifungu vya dini.
Waprotestant na wakatoliki,wanauwana kwa kutumia vifungu vya dini.
Lord Resistant Army,wanaua kwa kutumia vifungu vya dini. Nk
 
Wapo wengi wabaotumia vifungu vya dini,ukisngalia Askofu Kibwetere,alivyoua maelfu,ndani ya kanisa,alitumia vifungu vya dini.
Waprotestant na wakatoliki,wanauwana kwa kutumia vifungu vya dini.
Lord Resistant Army,wanaua kwa kutumia vifungu vya dini. Nk
Jiulize karne ipi waliuwana na waarabu wanauana karne ipi utajua maana kustarabika na kujutambua kama ulikisea
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Waarabu, Waajemi (waPersia), waSyria (Assyrians), waPakistani (Hindi) na Wapalestina.

Kinachofanya watu wawachanganye ni kwa sababu wengi wao ni waislamu.. Uislamu ndio unaowaunganisha kiimani ila ni watu tofauti kitamaduni..

Syria na Palestine ni waarabu soma hii. "The Arab World consists of 22 countries in the Middle East and North Africa: Algeria, Bahrain, the Comoros Islands, Djibouti, Egypt, Iraq, Jordan, Kuwait, Lebanon, Libya, Morocco, Mauritania, Oman, Palestine, Qatar, Saudi Arabia, Somalia, Sudan, Syria, Tunisia, the United Arab Emirates, and Yemen."
 
Syria na Palestine ni waarabu soma hii. "The Arab World consists of 22 countries in the Middle East and North Africa: Algeria, Bahrain, the Comoros Islands, Djibouti, Egypt, Iraq, Jordan, Kuwait, Lebanon, Libya, Morocco, Mauritania, Oman, Palestine, Qatar, Saudi Arabia, Somalia, Sudan, Syria, Tunisia, the United Arab Emirates, and Yemen."



Soma zaidi huko ndani ya syria na Palestine na baadhi ya nchi hizo ulizoziandika, kuna watu aina ngapi , ingia google ???

Wewe labda unaangalia lugha
 
Syria na Palestine ni waarabu soma hii. "The Arab World consists of 22 countries in the Middle East and North Africa: Algeria, Bahrain, the Comoros Islands, Djibouti, Egypt, Iraq, Jordan, Kuwait, Lebanon, Libya, Morocco, Mauritania, Oman, Palestine, Qatar, Saudi Arabia, Somalia, Sudan, Syria, Tunisia, the United Arab Emirates, and Yemen."
Usichanganye lugha inayowaunganisha na "ethnicity" yao..

Ni sawasawa kusema Wazambia, Wamalawi na Wajamaica ni waingereza kwa kuwa wanaongea kiingereza.

Lugha ya kiarabu ina lahaja (dialects) nyingi na vilevile lugha nyingi huwa pia zinaandikwa kwa herufi za kiarabu (hata Kiswahili kabla hakijaandikwa kwa herufi za kilatini kiliandikwa kwa kiarabu). Hivyo watu wengi huchanganya na kwa kutaka urahisi huwajumuisha wote kuwa ni waarabu.

Ingawaje waTunisia wanajiita ni waarabu lakini kiasili sio, hata waMisri ingawaje wapo katibu sana na saudia hawataki waitwe waarabu.
 
Usichanganye lugha inayowaunganisha na "ethnicity" yao..

Ni sawasawa kusema Wazambia, Wamalawi na Wajamaica ni waingereza kwa kuwa wanaongea kiingereza.

Lugha ya kiarabu ina lahaja (dialects) nyingi na vilevile lugha nyingi huwa pia zinaandikwa kwa herufi za kiarabu (hata Kiswahili kabla hakijaandikwa kwa herufi za kilatini kiliandikwa kwa kiarabu). Hivyo watu wengi huchanganya na kwa kutaka urahisi huwajumuisha wote kuwa ni waarabu.

Ingawaje waTunisia wanajiita ni waarabu lakini kiasili sio, hata waMisri ingawaje wapo katibu sana na saudia hawataki waitwe waarabu.

Sawa kama Misri na Tunisia sio waarabu , naomba unielimishe waarabu ni watu gani?
 
Soma zaidi huko ndani ya syria na Palestine na baadhi ya nchi hizo ulizoziandika, kuna watu aina ngapi , ingia google ???

Wewe labda unaangalia lugha
Ingia wewe google uone jibu utakalopata ndio uliweke hapa?
 
Rejea :-
Mauaji ya Rwanda 1994
Mauaji ya Biafra Nigeria 1970s
Mauaji ya Ethiopia
Mauaji ya Bagsnda Uganda
Mauaji ya leo hii South Sudan
Mauaji ya Somalia
Mauaji ya Zaire / DRC
Mauaji ya Angola
Mauaji ya WW1 vita ya ulimwengu 1 na pili
vita vya Vietnam mk nk
Robert James Masunga
Ni kweli...mauaji yanatokea sehem nyingi sana hapa duniani....issue ni nani anareport na kwa interest gan?!

Mashariki ya kati hadi siku mbadala wa mafuta utakapopatikana....they will kno no peace!
 
Syria na Palestine ni waarabu soma hii. "The Arab World consists of 22 countries in the Middle East and North Africa: Algeria, Bahrain, the Comoros Islands, Djibouti, Egypt, Iraq, Jordan, Kuwait, Lebanon, Libya, Morocco, Mauritania, Oman, Palestine, Qatar, Saudi Arabia, Somalia, Sudan, Syria, Tunisia, the United Arab Emirates, and Yemen."

Djibouti and Somalia are Cushitics and not Arabs. They are the same as Ethiopian and those of Eritrea. Can you tell us the criterion used to term these two countries as Arabs Countries? Also why the Comoros are grouped among the Arab Countries and not otherwise?
 
Back
Top Bottom