GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,127
Najua mtachukia ni nani kanipa Taarifa hii GENTAMYCINE, ila kamlaumuni Rais wa TFF Karia ambaye akifanyiwa Exclusive Interview na Azam Tv lilimchoropoka na akaliropoka hili na kama Kawaida yangu Bingwa na Mzee wa Kunyaka ya Muhimu tu Nikalinyaka na leo naliwasilisha.
GENTAMYCINE naomba kujua ni kwanini Plan ya Awali ya Hayati Magufuli ilikuwa ni Kujenga Uwanja mkubwa wa Michezo wa Kuchukua Watu (Watazamaji) Laki Moja (100,000) na leo Awamu ya Rais Samia (ambaye wakati wa Makubaliano ya awali alikuwepo kama Makamu wa Rais) tunaambiwa kuwa sasa utajengwa wa kubeba / kuchukua Watazamaji (Watu) Elfu Thelasini (30,000) tu?
Nasubiria sasa Majibu yenu hapa JF.
GENTAMYCINE naomba kujua ni kwanini Plan ya Awali ya Hayati Magufuli ilikuwa ni Kujenga Uwanja mkubwa wa Michezo wa Kuchukua Watu (Watazamaji) Laki Moja (100,000) na leo Awamu ya Rais Samia (ambaye wakati wa Makubaliano ya awali alikuwepo kama Makamu wa Rais) tunaambiwa kuwa sasa utajengwa wa kubeba / kuchukua Watazamaji (Watu) Elfu Thelasini (30,000) tu?
Nasubiria sasa Majibu yenu hapa JF.