Serikali kujenga uwanja wa mpira Arusha wa kuchukua watu 30,000 ni kukosa maono

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Nimemsikia Katibu Wizara ya Michezo kwamba serikali inajenga uwanja wa mpira wa kuchukua watu 30,000 na wataupa jina la Rais Samia.

Moja sio sawa kuweka jina la Rais kwenye vitu vidogo kama hivi.

Pili ni kupoteza pesa za umma kwa sababu kujenga uwanja wa watu 60,000 ni pesa kidogo sana zitaongezeka.

Kenya wanajenga uwanja mpya wa kuchukua watu 80,000 ili kujiandaa na AFCON 2027.

Tanzania tunakwama wapi?
 
Haya mambo tusipoangalia hata hosting ya hii kitu itakuwa ni kupoteza pesa tu; Hususan hili taifa lisilo na Wazalendo wala Accountability....

Kwa ufahamu kidogo naomba pitia hii article ya Mashindano ambayo Ghana ana-host na kama ni worth it...


Na hii hapa ni extract....

Will Ghana's economy be boosted?​

Having to commit so much to improve infrastructure has led to an alarmingly high spend on staging the Games, according to Lord Mensah, a professor of economics at the University of Ghana.
"If your economy is not doing well, like Ghana, you will be in trouble," Prof Mensah told BBC Sport Africa.
"If you don't have much infrastructure to absorb the number of people coming in you will end up starting from scratch, which costs a lot of money."
Mustapha Ussif, the country's minister of youth and sport, said "there is no perfect time" to host the Games, but that it could provide a boost to the country.
"What we spent went through all the rigorous procurement process, got cabinet approval and parliament did their scrutiny," he said.
"It is even during these difficult times that sport can be used to relieve the stress experienced during (the) Covid [pandemic]."
 
Nimemsikia Katibu Wizara ya Michezo kwamba serikali inajenga uwanja wa mpira wa kuchukua watu 30,000 na wataupa jina la Rais Samia.

Moja sio sawa kuweka jina la Rais kwenye vitu vidogo kama hivi.

Pili ni kupoteza pesa za umma kwa sababu kujenga uwanja wa watu 60,000 ni pesa kidogo sana zitaongezeka.

Kenya wanajenga uwanja mpya wa kuchukua watu 80,000 ili kujiandaa na AFCON 2027.

Tanzania tunakwama wapi?
Most of the Black people have the Short-sighted mind.
 
Nimemsikia Katibu Wizara ya Michezo kwamba serikali inajenga uwanja wa mpira wa kuchukua watu 30,000 na wataupa jina la Rais Samia.

Moja sio sawa kuweka jina la Rais kwenye vitu vidogo kama hivi.

Pili ni kupoteza pesa za umma kwa sababu kujenga uwanja wa watu 60,000 ni pesa kidogo sana zitaongezeka.

Kenya wanajenga uwanja mpya wa kuchukua watu 80,000 ili kujiandaa na AFCON 2027.

Tanzania tunakwama wapi?
Kwa Arusha unatosha population ya watazamaji ndogo ukilinganisha na Dar
Hata kenya uwanja mkubwa ni Nairobi mikoani vidogo
 
Nimemsikia Katibu Wizara ya Michezo kwamba serikali inajenga uwanja wa mpira wa kuchukua watu 30,000 na wataupa jina la Rais Samia.

Moja sio sawa kuweka jina la Rais kwenye vitu vidogo kama hivi.

Pili ni kupoteza pesa za umma kwa sababu kujenga uwanja wa watu 60,000 ni pesa kidogo sana zitaongezeka.

Kenya wanajenga uwanja mpya wa kuchukua watu 80,000 ili kujiandaa na AFCON 2027.

Tanzania tunakwama wapi?
viwanja vya kutosha vijengwe mahali tofauti tofauti nchini bila kujali wingi wa watu watakao ingia kama washabiki, ili kutia hamasa ya Michezo maeneo tofauti nchini 🐒
 
Back
Top Bottom