nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
IT YUKO FIRE
Upande wa INTERVIEW UMECHACHA
Upande wa INTERVIEW UMECHACHA
Interview zitakuja labda wanataka wamalize kwanza Placement ndio waanze kutangaza na kuita kwa kasi ya 4G
Mimi ni mkubwa kwenu nimeajiriwa halmashauri tangia 2013. Kipindi naanza kazi TGD ilikuwa laki 5.3
Mwaka wa 10 kazini nimetimiza June 2023. Niko kwenye huu Uzi kwasababu nataka kwenda kwenye asali zaidi sioni future huku halmashauri nilipo.
TANROADS inaonekana ni dude kubwa kumbe ukiwa nje! Hawa jamaa mishahara ni ya kawaida sana..Miradi ya halmashauri haimnufaishi moja kwa moja afisa wa kawaida. Hao uliotaja hapa fani zao zinawawezesha kupata hela nje ya ofisi kupitia wateja wao. Wanaonufaika na miradi ni Engineers, Procurement, Accountant na kidogo wachumi kupitia 10%.
Perdiem nanenane
Hapa unakuta mko maafisa kilimo 20 wilaya nzima wanatakiwa wanne waende nanenane hii huwezi kuiita asali sababu ni chance. Lakini kwenye baadhi ya taasisi utakuta Transport allowance 10%, housing allowance 13%, sikukuu mnadaka bonance. Watumishi mnakuwa level moja bila kujali huyu HR au huyu dereva.
Kwan TANROADS wanalipa mshahara kiasi gani kwa degree holder?TANROADS inaonekana ni dude kubwa kumbe ukiwa nje! Hawa jamaa mishahara ni ya kawaida sana..
Hongera sana Mkongwe Mwenzangu!Mimi ni mkubwa kwenu nimeajiriwa halmashauri tangia 2013. Kipindi naanza kazi TGD ilikuwa laki 5.3
Mwaka wa 10 kazini nimetimiza June 2023. Niko kwenye huu Uzi kwasababu nataka kwenda kwenye asali zaidi sioni future huku halmashauri nilipo.
True Mafungu ndo kwanza yameachiwa...Shuhuda wakuu huu mwezi utakuwa mzuri sana, jobless wengi tutalamba asali
Kawaida unamaanisha nini?TANROADS inaonekana ni dude kubwa kumbe ukiwa nje! Hawa jamaa mishahara ni ya kawaida sana..
Inategemea Mkuu, Malipo ya Engineering degree tofauti na ya Non-Engineering degree, otherwise uwe na CPA au Adv. Lakini mishahara ya kawaida sana si kama inavyofikiriwa njeKwan TANROADS wanalipa mshahara kiasi gani kwa degree holder?
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Ukicompare na Taasisi nyingine zenye mrengo huo..Kawaida unamaanisha nini?
Duh kumbe kachomolewa kitamboKitenge kwa sasa hayupo PSRS sijajua kama atakua kastafu au katolewa, ukiangalia kwenye profile kuna moja ya picha utakuta wameandika watumishi wa Sekretariati ya ajira wakiwa na "ALIEKUA" katibu wa sekretariati ambae ni kitenge.
TANROADS inaonekana ni dude kubwa kumbe ukiwa nje! Hawa jamaa mishahara ni ya kawaida sana..
Hahahaaaa bado napiga piga Mactym hapaMzee wa tamisemi vp ulipangiwa wapi?
Tamisem huko watu pesa za kujikimu hawajapataMzee wa tamisemi vp ulipangiwa wapi?
Poa poa nakumbuka kipindi kile unakiwashaHahahaaaa bado napiga piga Mactym hapa
Pole Sana kwao ila bola wapo kwa system kitaa just Kali sanaTamisem huko watu pesa za kujikimu hawajapata
Amina.Mungu ni wa wote muda utafikaDaaah wana humu wanazidi kulamba tu sisi tupo kama tulivo Ee Mungu wa Mbinguni tuangalie
Hongera sanaAlhamdulillah nami nimekula asali ya utumishi wa umma leo