Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,339
Bosi katumbuliwa niniðŸ¤Mikeka angalua Sikuhizi hivi inafuatana inaonekana labda kuna jambo limefanyika Sekretarieti ya Ajira
Bosi katumbuliwa niniðŸ¤Mikeka angalua Sikuhizi hivi inafuatana inaonekana labda kuna jambo limefanyika Sekretarieti ya Ajira
😄😄😄😄Bosi katumbuliwa niniðŸ¤
Yani unaingia church jobless,unatoka mtumishi wa umma,unyama ni mwingisiku izi watu wanalamba asali mpaka siku za ibada
Paper Kafeli Mh.Mhagama aliyotoa !!!Mkandaji mkuu nae kakandwa
USishangae kuambiwa wameshaisha tayri 😒Paper Kafeli Mh.Mhagama aliyotoa !!!
Swali lenyewe sasa"Nitafutie wakandwaji 1700+ data base waliopita(ukicheki IT kafuta majina yote ...)
Tuzidi kuomba Mungu ...Ipo siku atajibu maombi yetu hivi punde Uchungu wa mtoto ajuaye Mama)
Mama(Rais) anahuruma na wanae hawezi kuwalaza njaaView attachment 2710668
...watasema zipo ndani ya placement ile tuliotangaza PSRS 6000+ na zimeisha zote!!!USishangae kuambiwa wameshaisha tayri
Mkuu Tupungeze Ukali wa maneno hakuna mwanadamu mkamilifu...Sekretarieti ya Ajira ,hebu acheni mambo yenu ya kiseng€ hapa
Duh mkuu mbona jazba nyingi...punguza munkari wakti wako ukifika utapata t kaz mkuuSekretarieti ya Ajira ,hebu acheni mambo yenu ya kiseng€ hapa
Itakuwa labda wanataka wamalizane na viporo vya miezi ya nyuma kuaniza january mpaka may ili wakianza june watu watoke fasta mpaka wa july labda wamesikia kilio chetu wanasolve hili tatizo la kuchelewesha kwa placement kwa kuanza kushughulikia viporoKwa hiyo wamegoma kutoa mikeka ya MDA and LGA ya interviews za June au sio ?,
Kitenge kwa sasa hayupo PSRS sijajua kama atakua kastafu au katolewa, ukiangalia kwenye profile kuna moja ya picha utakuta wameandika watumishi wa Sekretariati ya ajira wakiwa na "ALIEKUA" katibu wa sekretariati ambae ni kitenge.Mbona ile picha ya kitenge imetolewa,bosi kabadilishwa nini?
duuhSekretarieti ya Ajira ,hebu acheni mambo yenu ya kiseng€ hapa
Inawezekana kastaafu huyo kwahiyo Kaimu Katibu inabidi aupigwe mwingi ili awe promoted.mwamba atakua amestafu au kachomolewa kimya kimya
angekua amestafu labda wangeandika katibu mstafu, huenda kachomolewa anasubiri kupangiwa kazi nyingineInawezekana kastaafu huyo kwahiyo Kaimu Katibu inabidi aupigwe mwingi ili awe promoted.