Mh ndo watoe hadi pichaa?mwamba atakua kachomolewa paleeInawezekana au yuko likizo kwamaana pdf ya jana imetolewa na kaimu katibu
Vingine huzima kwa kupanda mkeka mpyaHahahaha vimulimuli mara nyingi kinakaa siku 7 kinazima chenyewee
Alafu placement ya tar 5 imetolewa na Kaimu Katibu wa SekretarietiMbona ile picha ya kitenge imetolewa,bosi kabadilishwa nini?
sio iyo tu ni pdf mbalimbali kwa sasa pale chini zimeandikwa imetolewa na kaimu katibuInawezekana au yuko likizo kwamaana pdf ya jana imetolewa na kaimu katibu
Basi jamaa kachomolewa pale kimya kimyasio iyo tu ni pdf mbalimbali kwa sasa pale chini zimeandikwa imetolewa na kaimu katibu
Kama ni likizo wasingetoa picha yake kweny web yaosio iyo tu ni pdf mbalimbali kwa sasa pale chini zimeandikwa imetolewa na kaimu katibu
Atakuwa yupo likizo ingekuwa ametolewa basi taarifa ingetolewaBasi jamaa kachomolewa pale kimya kimya
Ndo watoe hadi picha??Atakuwa yupo likizo ingekuwa ametolewa basi taarifa ingetolewa
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Aisee inawezekana kaondolewa kimya kimya ila Wabongo nuksi mmepiga kelele na kilio Chenu mpaka jamaa kaondolewa picha yakeNdo watoe hadi picha??
😅😅😅Aisee inawezekana kaondolewa kimya kimya ila Wabongo nuksi mmepiga kelele na kilio Chenu mpaka jamaa kaondolewa picha yake
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Hongera sana mkuuAlhamdulillah nami nimekula asali ya utumishi wa umma leo
Ndo watoe hadi picha?
Mbona sisi sometimes huwa tunakandwa kwenye oral hata kwa simu tu . Hata pdf hatuoni na inaishaa.Atakuwa yupo likizo ingekuwa ametolewa basi taarifa ingetolewa
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Watu mpo makini sanaAlafu placement ya tar 5 imetolewa na Kaimu Katibu wa Sekretarieti
Uwenda amestaafu au na yeye amekandwa
Bro wizy unacheka mkandaji mkuu kukandwa kimya kimya 😅😅😂😂😂😂