Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Binafsi nimekata tamaa,nilikuwa na group la washkaji zangu watano baada tunadiscuss pamoja hasa inapokuja suala la hizi interview hata saa 2 usiku tulikuwa tunakutana na kudiscuss pamoja na kupeana moyo japo kila mmoja ana mishe inayomuingizia mia mia za kusukuma maisha,bad enough watano wenzangu wote wamelamba asali na mm peke yangu kubaki,baadhi wanasema ukweli walijibu kwa ufasaha maswali matatu na kati yao hakuna aliyejibu yote kwa ufasaha (naamini maneno yao japo sina uhakika),mimi upande wangu nikakomaa na manne moja nikababatiza lkn mwisho wa siku MDA &LGA imeniachia huzuni tu,kibaya kutegemea huko kumefanya nikae na mawazo,rasmi nimetupa taulo acha niendelee na harakati zangu huenda ndio nimepangiwa maana interview zinamaliza hela,zinatupa mawazo na zinakatisha tamaa kabisa kwa kuona kama vile sehemu nilipo hakuna maisha.
Sijui shida ni PSRS,sijui ni UTUMISHI (kama wizara),au ni katibu mkuu kiongozi ila yote kwa yote hata utoaji wa majina nusunusu nao unawaacha wengi na depression maana bora utoe mara moja mtu kakosa amekosa maisha yaendelee.
Pole mkuu ni ngumu na mateso jipe muda pumzika kwanza ukae sawa ndio uende tena kwenye interview
 
Mkuu hiyo hali wengi wamepitia ila ilipofika siku rasmi wakawa hawaamini macho yao.

Zamu yako itafika na hautaamini, kilichopo ni kuendelea kuwa na subira na kupambana kwa lolote unalokutana nalo mbele.

Usishushe silaha chini ingali haujashida vita huku vita ikiendelea kushika kasi.

Ipo siku utasahau yote hayo, utaona kama hakuna lolote ulilowahi kupitia(hii situation ya kusahau yaliyopita, Muumba aliiweka kwa nina njema kabisa kwani inatuweka katika situation nzuri zaidi baada ya kuvuka vigingi vingi).
Shukrani mkuu kwa kunipa moyo japo maumivu hayaishi hasa haya ta kuishi kwa matumaini kuwa huenda kesho ikawa yangu kila siku..ujue kuna watu tupo private na sometimes tunapata tu vizuri lkn hatuna assurance ya kesho yetu tofauti na mtu aliyepo gavoo ndio maana tunatamani sana.
 
Binafsi nimekata tamaa,nilikuwa na group la washkaji zangu watano baada tunadiscuss pamoja hasa inapokuja suala la hizi interview hata saa 2 usiku tulikuwa tunakutana na kudiscuss pamoja na kupeana moyo japo kila mmoja ana mishe inayomuingizia mia mia za kusukuma maisha,bad enough watano wenzangu wote wamelamba asali na mm peke yangu kubaki,baadhi wanasema ukweli walijibu kwa ufasaha maswali matatu na kati yao hakuna aliyejibu yote kwa ufasaha (naamini maneno yao japo sina uhakika),mimi upande wangu nikakomaa na manne moja nikababatiza lkn mwisho wa siku MDA &LGA imeniachia huzuni tu,kibaya kutegemea huko kumefanya nikae na mawazo,rasmi nimetupa taulo acha niendelee na harakati zangu huenda ndio nimepangiwa maana interview zinamaliza hela,zinatupa mawazo na zinakatisha tamaa kabisa kwa kuona kama vile sehemu nilipo hakuna maisha.
Sijui shida ni PSRS,sijui ni UTUMISHI (kama wizara),au ni katibu mkuu kiongozi ila yote kwa yote hata utoaji wa majina nusunusu nao unawaacha wengi na depression maana bora utoe mara moja mtu kakosa amekosa maisha yaendelee.
Mkuu usikate tamaaa kikubwa endelea na kazi zao lkn u3ndelee pia kufanya interview za utumishi utafanikiwa na wewe kwa wakati wako.Kukata tamaa maana yake hakuna siku utakuja kufanikiwa ,ni ngumu pia kusubiria kitu lakini waswahili wanasema subira yavuta heri usichoke kusubiri utapata tu huko MDA endelea na maombi .
 
Shukrani mkuu kwa kunipa moyo japo maumivu hayaishi hasa haya ta kuishi kwa matumaini kuwa huenda kesho ikawa yangu kila siku..ujue kuna watu tupo private na sometimes tunapata tu vizuri lkn hatuna assurance ya kesho yetu tofauti na mtu aliyepo gavoo ndio maana tunatamani sana.
Mshukuru Mungu hata wewe upo Private, kuna wengine hawapo hata private wapo wapo tuu!..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikua mchangiaji sana humu , ila nilikuwa nikija maramoja moja kusoma comments za wadau.Hakika kuna mda nilikata tamaa nikijua kuwa kazi nilishakoza kwasababu idadi iliokuwa inatakiwa ilishakamilika. Namshukuru mwenyezi nami nimepata kazi.Msikate tamaa wengi mpo database!
 
Sikua mchangiaji sana humu , ila nilikuwa nikija maramoja moja kusoma comments za wadau.Hakika kuna mda nilikata tamaa nikijua kuwa kazi nilishakoza kwasababu idadi iliokuwa inatakiwa ilishakamilika. Namshukuru mwenyezi nami nimepata kazi.Msikate tamaa wengi mpo database!
Hongera sana mkuu,,,,,
 
Sikua mchangiaji sana humu , ila nilikuwa nikija maramoja moja kusoma comments za wadau.Hakika kuna mda nilikata tamaa nikijua kuwa kazi nilishakoza kwasababu idadi iliokuwa inatakiwa ilishakamilika. Namshukuru mwenyezi nami nimepata kazi.Msikate tamaa wengi mpo database!
Hongera
 
Back
Top Bottom