Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Swali zuri, ni hivi, pamoja na mshahara wao kuzidi kwa elfu 10 lkn bado wanaonekana mshahara mdogo sababu niijuayo mimi ni kutokuwa na pesa zaidi ya mshahara tofauti na wengine malupulupu ni mengi kabla mwezi kuisha utakuta una hata ka laki 2 mpaka 3, pia kada nyingine huwa naona ni rahisi kupata muda wa kuzungukia mambo yako kuliko mwalimu anabanwa darasani. Mwalimu the only advantage ni mpaka ateuliwe akasahihishe mitihan au kusimamia ambayo ni nadra.
Lakini ni kazi nzuri wengi wapo vzr kuliko kuto kuwa,
Je kwa Halmashauri watu gani wana unafuu kdgo wa hizo posho!?
 
Sikua mchangiaji sana humu , ila nilikuwa nikija maramoja moja kusoma comments za wadau.Hakika kuna mda nilikata tamaa nikijua kuwa kazi nilishakoza kwasababu idadi iliokuwa inatakiwa ilishakamilika. Namshukuru mwenyezi nami nimepata kazi.Msikate tamaa wengi mpo database!
Hongera sana chief.
 
Sikua mchangiaji sana humu , ila nilikuwa nikija maramoja moja kusoma comments za wadau.Hakika kuna mda nilikata tamaa nikijua kuwa kazi nilishakoza kwasababu idadi iliokuwa inatakiwa ilishakamilika. Namshukuru mwenyezi nami nimepata kazi.Msikate tamaa wengi mpo database!
Hongera
 
Sikua mchangiaji sana humu , ila nilikuwa nikija maramoja moja kusoma comments za wadau.Hakika kuna mda nilikata tamaa nikijua kuwa kazi nilishakoza kwasababu idadi iliokuwa inatakiwa ilishakamilika. Namshukuru mwenyezi nami nimepata kazi.Msikate tamaa wengi mpo database!
Hongera sana mkuu, kila la kheri.

Ukawe mtumishi mwema
 
Nimeota hivi karibuni PSRS itakuwa chombo cha kutenda haki, maboresho yote tunayodai ikiwapo uwazi wa Data base yatafanyiwa kazi hii ni baada ya msaka ajira mmoja, kwenda jimwagia petrol na kujichoma moto hadharani mbele ya ofisi ya PSRS, hali iliyozua hasira na ghadhabu kubwa toka kwa jamii ikiambatana na maandamo makubwa ya kudai mabadiliko kamili pia taasisi zote za serikali ajira zake zipitie utumishi.
 
Hongereni sana wote mlioona majina yenu kwenye pdf ya jana. Mmojawapo ni madam ambaye tulisoma Chuo kimoja ingawa yeye alikuwa chini yangu.

Kibinadamu mapigo ya moyo yalienda mbio baada ya kutoona jina langu na nikasema "hatimaye nainua mikono juu kuashiria safari yangu ya ajira kupitia PSRS imefikia mwisho na sijui kama itatokea". Baadaye nilimtafuta na kumpata madam alopangiwa huku.
Madam, nimewasiliana nae, tumeongea mengi na kama upo humu jua tu nimefurahi sana kwa ujio wako hapa. Tupo ofisi moja, cheo kimoja ingawa mwenzangu ni mwajiriwa ili hali mimi ni volunteer. Kwa kipindi chote nitakachokuwepo hapa kabla ya kutandika daruga na kwenda kutafuta riziki kwa namna nyingine, nitakupa ushirikiano mzuri sana kwani nina miaka miwili hapa ofisini.

Kada yangu ni mtumishi mmoja alikuwa amebaki ili kukamilisha idadi ilohitajika lakini wameitwa wawili. Hii inaashiria huenda wakaita tena.
Nawatakia kila la kheri katika Utumishi wenu. Sisi wengine bado tunasubiri wakati sahihi wa Mungu.
 
Nimeota hivi karibuni PSRS itakuwa chombo cha kutenda haki, maboresho yote tunayodai ikiwapo uwazi wa Data base yatafanyiwa kazi hii ni baada ya msaka ajira mmoja, kwenda jimwagia petrol na kujichoma moto hadharani mbele ya ofisi ya PSRS, hali iliyozua hasira na ghadhabu kubwa toka kwa jamii ikiambatana na maandamo makubwa ya kudai mabadiliko kamili pia taasisi zote za serikali ajira zake zipitie utumishi.
Aisee.!
 
Je kwa Halmashauri watu gani wana unafuu kdgo wa hizo posho!?
Mfano afisa mifugo, uvuvi, kilimo, ma IT, ngoja nikuelezee ambayo nina uzoefu nayo kidogo.
Afisa uvuvi na mifugo huwa wanatengewa bajeti kwa ngazi ya idara au wanaandikia fedha ya kwenda field ikijumuisha na posho ya siku ambayo kwa sasa nasikia imefika elfu 80 mpaka laki 1.
Jambo la pili afisa mifugo anaweza akafika ofisini akasaini na kwenda ku attend mifugo migonjwa baada ya hapo akabakiza muda wa kufanya majukumu mengineyo.
Lakini pia huwa wana issue za chanjo ambyo kuna percent inaingia kwa mtaalamu.
 
Back
Top Bottom