Je kwa Halmashauri watu gani wana unafuu kdgo wa hizo posho!?Swali zuri, ni hivi, pamoja na mshahara wao kuzidi kwa elfu 10 lkn bado wanaonekana mshahara mdogo sababu niijuayo mimi ni kutokuwa na pesa zaidi ya mshahara tofauti na wengine malupulupu ni mengi kabla mwezi kuisha utakuta una hata ka laki 2 mpaka 3, pia kada nyingine huwa naona ni rahisi kupata muda wa kuzungukia mambo yako kuliko mwalimu anabanwa darasani. Mwalimu the only advantage ni mpaka ateuliwe akasahihishe mitihan au kusimamia ambayo ni nadra.
Lakini ni kazi nzuri wengi wapo vzr kuliko kuto kuwa,