Mfadhaiko + kukata tamaaHuu ukimya chanzo chake n nn Wana JF?
Mfadhaiko + kukata tamaaHuu ukimya chanzo chake n nn Wana JF?
Huzuni tupuMfadhaiko + kukata tamaa
No please!! your turn is just there around the corner!! God is faithful, just keep believing on Him!!Heart broken
Tatizo sio ajira kutoka tatizo utumishi unafanya usaili unakaa karibia mwaka majibu wanacheleweshaVijana endeleeni kujinoa tu, mwaka 2023/2024 mama kaahidi kumwaga ajira karibia 50,000!! usikubali kukata tamaa, usiwaze kutokuhudhuria usaili!!! Pambana na Mungu atakusaidia!!
Amina sana kwa kweli Mungu wetu ni mwaminifu sana tumtumainie yeye atatenda kwa majira na nyakati zake, imetupasa kumuomba yeye bila kukata tamaa siku zote.We fikiria mtu keshapiga written zaidi ya 10 na kafanikiwa kupenya kwenye oral mara kadhaa ikiwemo hii ya MDA & LGA na bado kila pdf ikitoka ni patupu!! Ni Mungu tu anayeweza kumtia moyo na kumpa matumaini!! Niwakumbushe: Mungu ni mwaminifu endeleeni kumwamini!! Lazima atawashika mkono siku moja!! Hiyo siku moja inaweza kutokea leo au kesho au wiki hii au siku yoyote!
Ondoa shaka mkuu. Upo vizuri. Kama umefuata kila sharti la tangazo la kazi, utaitwa kwenye written interview.Wakuu,nimejaza akaunti yangu kwa profile imefika 91%,nika-apply. Je naweza nkaitwa kwenye written as long as sehemu nyingne zote nmejaza isipokua kwenye working experience?MSAADA tafadhali
Yeap uswazee maana Mimi sijafikisha asilimia hizo na nimefika Hadi oralWakuu,nimejaza akaunti yangu kwa profile imefika 91%,nika-apply. Je naweza nkaitwa kwenye written as long as sehemu nyingne zote nmejaza isipokua kwenye working experience?MSAADA tafadhali
Ni kweli. Naamini baadhi ya wahusika wanapita humu jamvini pia na wanaona malalamiko ya watu. Toka post za MDA & LGA zitangazwe na watu wakaomba ni karibu mwaka umepita. Zilitoka mwaka jana mwezi wa tano na sasa ni mwezi wa tano!! Usaili ulifanyika mwezi wa pili saa hii ni mwezi wa tano!! Tunajua wana changamoto kubwa sana, kazi yao ni ngumu sana!!! Lakini tunawaomba wajitahidi hivyo hivyo kukidhi matarajio ya watanzania!! Ila tukumbuke kuwaombea ili watende haki maana HAKI HUINUA TAIFATatizo sio ajira kutoka tatizo utumishi unafanya usaili unakaa karibia mwaka majibu wanachelewesha
hii sio ramli,huu ni mtizamo coz umeweka options nyingi mno mkuuFriday 60%
Thursday 40%
Wednesday 55%
Today 10%
Vp mkuu kwa upande wako ramli inasomaj wiki hiihii sio ramli,huu ni mtizamo coz umeweka options nyingi mno mkuu
kibuyu kinaona wiki mbichii hii watu watafata barua domu mapemaaVp mkuu kwa upande wako ramli inasomaj wiki hii
Ni kweli ni muhimu kuwakumbuka watumishi wa PSRS katika sala na dua zetu kwa Mungu ili waitende haki ya Mungu kwa watu wake, kwa kuwa nao ni binadamu hivyo wanamapungufu na madhaifu yao.Ni kweli. Naamini baadhi ya wahusika wanapita humu jamvini pia na wanaona malalamiko ya watu. Toka post za MDA & LGA zitangazwe na watu wakaomba ni karibu mwaka umepita. Zilitoka mwaka jana mwezi wa tano na sasa ni mwezi wa tano!! Usaili ulifanyika mwezi wa pili saa hii ni mwezi wa tano!! Tunajua wana changamoto kubwa sana, kazi yao ni ngumu sana!!! Lakini tunawaomba wajitahidi hivyo hivyo kukidhi matarajio ya watanzania!! Ila tukumbuke kuwaombea ili watende haki maana HAKI HUINUA TAIFA
Iko poa sana hapoWakuu,nimejaza akaunti yangu kwa profile imefika 91%,nika-apply. Je naweza nkaitwa kwenye written as long as sehemu nyingne zote nmejaza isipokua kwenye working experience?MSAADA tafadhali
vyovyote vilehii sio ramli,huu ni mtizamo coz umeweka options nyingi mno mkuu
Kule wengi sana watumishi ni mkataba(connection)kuongeza watumishi na vitendea kazi osha
daah msaala mkuu