Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Oral ni "final touch" hivyo hakikisha unapambana kana kwamba hiyo ndio oral yako ya mwisho kwenye maisha yako. Pia ikiwa nafasi unayopambania zipo kuanzia 100+ jitahidi upambanie maksi za juu ili hata kama wataita kwa kufuata ufaulu basi nawe utoke kwenye batch za mwanzoni.

Ni hayo tu wapambanaji wenzangu. BILA KUCHOKA!
 
Oral ni "final touch" hivyo hakikisha unapambana kana kwamba hiyo ndio oral yako ya mwisho kwenye maisha yako. Pia ikiwa nafasi unayopambania zipo kuanzia 100+ jitahidi upambanie maksi za juu ili hata kama wataita kwa kufuata ufaulu basi nawe utoke kwenye batch za mwanzoni.

Ni hayo tu wapambanaji wenzangu. BILA KUCHOKA!
Shukrani sana,,, lakin wezangu huku ku jiandaa mnakokuzungumzia mnafanyaje fanyaje mwenzenu nimeshika tu hilo desa lenye mambo baaadhi ya vitu nilivyosomea naona kichwa kina kuwa kizitoo mpaka usingizi umenichukua hapa nimeamka tena nijaribu kupitia na siku nikicheki naona zimeisha hata sielewi nifanyaje ..
 
Shukrani sana,,, lakin wezangu huku ku jiandaa mnakokuzungumzia mnafanyaje fanyaje mwenzenu nimeshika tu hilo desa lenye mambo baaadhi ya vitu nilivyosomea naona kichwa kina kuwa kizitoo mpaka usingizi umenichukua hapa nimeamka tena nijaribu kupitia na siku nikicheki naona zimeisha hata sielewi nifanyaje ..
Unajiandaa na oral au written?
 
Shukrani sana,,, lakin wezangu huku ku jiandaa mnakokuzungumzia mnafanyaje fanyaje mwenzenu nimeshika tu hilo desa lenye mambo baaadhi ya vitu nilivyosomea naona kichwa kina kuwa kizitoo mpaka usingizi umenichukua hapa nimeamka tena nijaribu kupitia na siku nikicheki naona zimeisha hata sielewi nifanyaje ..
Me naona njia bora ya kujiandaa n kupitia maswali haswa na zile guidelines zinaso kuongoza kwenye kazi yako husika maana utumishi siku izi wana base uko alafu ukiwa unapitia notes soma kwa kuelewa maana multiple choice azitaki mbwembwe ni kuelewa tu concepts. Na ukiwa unapitia ayo madude ya chuo pitia yale ya core subject izo zingine non core weka pemben kwenye hii vita ni hayo tu nayo jua mkuu😎👊🏾
 
Shukrani sana,,, lakin wezangu huku ku jiandaa mnakokuzungumzia mnafanyaje fanyaje mwenzenu nimeshika tu hilo desa lenye mambo baaadhi ya vitu nilivyosomea naona kichwa kina kuwa kizitoo mpaka usingizi umenichukua hapa nimeamka tena nijaribu kupitia na siku nikicheki naona zimeisha hata sielewi nifanyaje ..
Nenda YouTube kacheki jamaa wa careerVidz. Naamini hutajutia.
 
Me naona njia bora ya kujiandaa n kupitia maswali haswa na zile guidelines zinaso kuongoza kwenye kazi yako husika maana utumishi siku izi wana base uko alafu ukiwa unapitia notes soma kwa kuelewa maana multiple choice azitaki mbwembwe ni kuelewa tu concepts. Na ukiwa unapitia ayo madude ya chuo pitia yale ya core subject izo zingine non core weka pemben kwenye hii vita ni hayo tu nayo jua mkuu😎👊🏾
Najiandaa na oral
 
Angalia videos kuhusu body posture na hand movements during interviews, pia practice kuongea ukiwa pekeako utest tone ya sauti itasaidia kidogo kuongeza confidence
Eye contact + Body language ni muhimu sana, hao jamaa hawapimi content pekee bali wanaangalia pia na uwasilishaji. Hata kama umeulizwa swali na hujui jibu usikae kimya, jitahidi kuongea kwa kuzunguka zunguka ila usiende mbali na swali na hakikisha ukiambiwa point 5 unaongea hadi zifike 5 kweli
 
Eye contact + Body language ni muhimu sana, hao jamaa hawapimi content pekee bali wanaangalia pia na uwasilishaji. Hata kama umeulizwa swali na hujui jibu usikae kimya, jitahidi kuongea kwa kuzunguka zunguka ila usiende mbali na swali na hakikisha ukiambiwa point 5 unaongea hadi zifike 5 kweli
Mimi niliorodhesha point nne walizozihitaji. Kuna jamaa mmoja akasema bado moja, bwana panel ikaanza kubishana, wengine wanasema zimetimia, huyo mmoja anasema bado. Ili kumaliza ugomvi nikaongeza moja. Na nadhani hiyo ndio ilikuwa point yenye uzito zaidi kuliko nilizoziorodhesha mwanzoni. Sijui hata ilitokea wapi kwani sikuwa nimejiandaa nayo kabisa, na ilinibeba hasa. Ninachoweza kusema, "Mtangulize Mungu kwenye maandalizi yako".
 
Mimi niliorodhesha point nne walizozihitaji. Kuna jamaa mmoja akasema bado moja, bwana panel ikaanza kubishana, wengine wanasema zimetimia, huyo mmoja anasema bado. Ili kumaliza ugomvi nikaongeza moja. Na nadhani hiyo ndio ilikuwa point yenye uzito zaidi kuliko nilizoziorodhesha mwanzoni. Sijui hata ilitokea wapi kwani sikuwa nimejiandaa nayo kabisa, na ilinibeba hasa. Ninachoweza kusema, "Mtangulize Mungu kwenye maandalizi yako".
Hakika mkuu hivi vitu bila Mungu huwezi kufanikiwa
 
Jamani wakuu naomba kuuliza kwenye suala la vetting ajira mpya mimi taarifa zangu sehemu ya kuzaliwa kwenye NIDA na Cheti cha kuzaliwa zinatofautiana vipi haiwezi kuwa shida??
 
Jamani wakuu naomba kuuliza kwenye suala la vetting ajira mpya mimi taarifa zangu sehemu ya kuzaliwa kwenye NIDA na Cheti cha kuzaliwa zinatofautiana vipi haiwezi kuwa shida??
Nenda kapate nyaraka ya kiapo ,halafu angalia jina lako halisi ni lipi ; ikitokea Nida umekosea basi unaweza kurekebisha ila kama ni cheti cha kuzaliwa basi fanya reconciliation ya kukiri yote ni majina yako . Then utatumia hilo la Nida
 
Nenda kapate nyaraka ya kiapo ,halafu angalia jina lako halisi ni lipi ; ikitokea Nida umekosea basi unaweza kurekebisha ila kama ni cheti cha kuzaliwa basi fanya reconciliation ya kukiri yote ni majina yako . Then utatumia hilo la Nida
Mkuu umelielewa swali lake? Sidhani kama anauliza issue ya majina, hapo anauliza issue ya "place of birth"
 
Back
Top Bottom