Cymon Taylor
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,754
- 3,427
Oral ni "final touch" hivyo hakikisha unapambana kana kwamba hiyo ndio oral yako ya mwisho kwenye maisha yako. Pia ikiwa nafasi unayopambania zipo kuanzia 100+ jitahidi upambanie maksi za juu ili hata kama wataita kwa kufuata ufaulu basi nawe utoke kwenye batch za mwanzoni.
Ni hayo tu wapambanaji wenzangu. BILA KUCHOKA!
Ni hayo tu wapambanaji wenzangu. BILA KUCHOKA!