Vipi mkuu wameshakufikia?😄 hata mwaka hujamaliza bado kaziniAsee loan board wako chapu sana
Nawashukuru sana, wakati wa Mungu ni sahihi kabisa, mi nilifanya oral mwezi wa pili mwaka huu zile nafasi za mda na lga, status both selected for oral interview, kitaani tangu mwaka 2009, kwahyo msikate tamaa ndugu zangu, maombi yenu kwa Mungu anayasikia na muda ukifika utapokea kilicho sahihi.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Naam mkuu,mambo mengi sana na muda mchache.Mkuu upo? umeadimika sana, bila shaka unasongesha majukumu ipasavyo
Nimemaliza 2009Mkuu hapo umemaanisha 2009 au ni 2019? Yaani nimekusudia kuuliza umesaka ajira kwa miaka 14 au 4?
😄😄😄 Alafu ukipiga simu kuuliza wanasema hakuna usaili uliokaa miezi tisa bila matokeo ya oral kutoka ukiona watu wameitwa baada ya miezi tisa ujue ni watu wa database. Sasa sijui jamaa wamepoteza matokeo au wameifuta. PSRS tunawakubali lkn kuna vitu wanazingua vya ajabuuuuuuu.DUCE inakatisha tamaa. Tangia January Oral wakati watu wa June wanaitwa
Honger mwamba duh kweli hakuna kukata tamaa
Kama wamefuta watuambie hata kwa sms😄😄😄 Alafu ukipiga simu kuuliza wanasema hakuna usaili uliokaa miezi tisa bila matokeo ya oral kutoka ukiona watu wameitwa baada ya miezi tisa ujue ni watu wa database. Sasa sijui jamaa wamepoteza matokeo au wameifuta. PSRS tunawakubali lkn kuna vitu wanazingua vya ajabuuuuuuu.
Haiwezi kuwa rahisi kuifuta coz hamna sababu ya kupelekea kufuta, itatoka tyuu ila kwa kuchelewa.Kama wamefuta watuambie hata kwa sms
Hongera champNamshukuru Mungu sana, hatimaye namimi leo nimelamba asali, tuendelee kumuomba Mungu.
Nitazidi kuwaombea ndugu zangu na nyie mpate ajira mi baada ya kusubiria kwa mda mrefu sasa ni zamu yangu ya kuingia kwenye kula keki ya taifa.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Duh, hongera sana.. umepambana kweli kweli tangu 2009 sio mchezoNawashukuru sana, wakati wa Mungu ni sahihi kabisa, mi nilifanya oral mwezi wa pili mwaka huu zile nafasi za mda na lga, status both selected for oral interview, kitaani tangu mwaka 2009, kwahyo msikate tamaa ndugu zangu, maombi yenu kwa Mungu anayasikia na muda ukifika utapokea kilicho sahihi.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Nimefurahi sana mkuu, kila la kheri champsNamshukuru Mungu sana, hatimaye namimi leo nimelamba asali, tuendelee kumuomba Mungu.
Nitazidi kuwaombea ndugu zangu na nyie mpate ajira mi baada ya kusubiria kwa mda mrefu sasa ni zamu yangu ya kuingia kwenye kula keki ya taifa.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Namshukuru Mungu sana, hatimaye namimi leo nimelamba asali, tuendelee kumuomba Mungu.
Nitazidi kuwaombea ndugu zangu na nyie mpate ajira mi baada ya kusubiria kwa mda mrefu sasa ni zamu yangu ya kuingia kwenye kula keki ya taifa.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Namshukuru Mungu sana, hatimaye namimi leo nimelamba asali, tuendelee kumuomba Mungu.
Nitazidi kuwaombea ndugu zangu na nyie mpate ajira mi baada ya kusubiria kwa mda mrefu sasa ni zamu yangu ya kuingia kwenye kula keki ya taifa.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Wakuu Kuna ambao Tulofanya Foreign Service January wakaita wachache Kati ya waliofika final Juzi tumeona nafasi mpya la nafasi zile zile zimetangazwa ila wakaondoa Tangazo. Ukiingia status imeandika SELECTED FOR ORAL ya kijani halafu yanayofata n meusi .
Je hapo kuja database au kitaendelea kuturamba...
mtu akiwa na umri gan tutasema ameshasota vya kutosha mtaani mkuukama umezaliwa 98.. siona haja ya kuumia kiasi hicho bado una nafasi nying sana za kutoboa binti. Kikubwa DUA.
Hizi status muda mwingine hazina maana mnamo mwaka 2019 nilifnya interview nikafanikiwa KWENDA oral,nikapiga Pepa nafasi zilikuwa 52 na sikupata,ila status mpaka Leo 2023 imeandika selected for oralMkuu naomba unieleweshe.... mtu amefanya oral na hajapata placement mpaka leo, ila account yake ya ajira portal inasoma "SELECTED FOR ORAL", je huyu anapaswa aendelee kusuburi au ndo imeisha hiyo.?
Nathani ni kwa sababu hakukuwa na mfumo wa database kwa kipindi hichoHizi status muda mwingine hazina maana mnamo mwaka 2019 nilifnya interview nikafanikiwa KWENDA oral,nikapiga Pepa nafasi zilikuwa 52 na sikupata,ila status mpaka Leo 2023 imeandika selected for oral
Hongera sana mkuu, kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaNamshukuru Mungu sana, hatimaye namimi leo nimelamba asali, tuendelee kumuomba Mungu.
Nitazidi kuwaombea ndugu zangu na nyie mpate ajira mi baada ya kusubiria kwa mda mrefu sasa ni zamu yangu ya kuingia kwenye kula keki ya taifa.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Washaanza kulala mbele na chao?Asee loan board wako chapu sana