Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

ms.jpg

Mwamba karudi kazini
 
Je unajuaje ni Kitenge? Yawezekana ni katibu mwingine. Ilitia mashaka baada ya picha yake kuondolewa kwenye tovuti!! Ngoja tusubiri picha ya katibu ili tujue kinachoendelea!! Kuna picha moja alionekana kwenye tovuti wakaandika "aliyekuwa katibu wa Sekretarieti.....". Hapo wengi wakaamini Kitenge amekandwa kimyakimya!!
 
Je unajuaje ni Kitenge? Yawezekana ni katibu mwingine. Ilitia mashaka baada ya picha yake kuondolewa kwenye tovuti!! Ngoja tusubiri picha ya katibu ili tujue kinachoendelea!! Kuna picha moja alionekana kwenye tovuti wakaandika "aliyekuwa katibu wa Sekretarieti.....". Hapo wengi wakaamini Kitenge amekandwa kimyakimya!!
Sio kitenge ni kosa tu la kiuandishi yule mwamba katolewa pale
 
Je unajuaje ni Kitenge? Yawezekana ni katibu mwingine. Ilitia mashaka baada ya picha yake kuondolewa kwenye tovuti!! Ngoja tusubiri picha ya katibu ili tujue kinachoendelea!! Kuna picha moja alionekana kwenye tovuti wakaandika "aliyekuwa katibu wa Sekretarieti.....". Hapo wengi wakaamini Kitenge amekandwa kimyakimya!!
Kitenge alishaondoka tayari na sasa ameshapatikana mwingine ila bado kutangazwa public
 
Yaani kifupi nikwamba kwenye huu uzi,kuna jobless walio angukia sekretariet, tume ya maadili,tiss, wizara, halmashauri za mbwinde n.k

na mpaka sasa huu uzi umetazamwa na watu zaidi ya 2million sio mchezo, kilio chetu kinawifikia direct

kwa wageni wa huu uzi, wajue tu hata huyu muanzilishi wa huu uzi alikula ban kabisa ! soon later on sekretarieti wakafungua account hapa JF . kila tunalolisema linafika direct coz watu wa system wapo kila mahala
 
Yaani kifupi nikwamba kwenye huu uzi,kuna jobless walio angukia sekretariet, tume ya maadili,tiss, wizara, halmashauri za mbwinde n.k

na mpaka sasa huu uzi umetazamwa na watu zaidi ya 2million sio mchezo, kilio chetu kinawifikia direct

kwa wageni wa huu uzi, wajue tu hata huyu muanzilishi wa huu uzi alikula ban kabisa ! soon later on sekretarieti wakafungua account hapa JF . kila tunalolisema linafika direct coz watu wa system wapo kila mahala
Itakua vema sana kama watakua wanatoa matokeo ya oral mapema mtu ajue yumo au hayumo mapema kabisa kuepuka sonona zisina na ulazima
 
Back
Top Bottom