Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Haina haja hiyo mzee naongea hivyo kulingana na experience yangu, maana nina majina mawili kwenye vyeti vyangu vyote vya taaluma ila matatu kwa Nida + cheti Cha kuzaliwa.
Tangu 2019 nafanya interview bila shida yoyote
Ni kweli busara inaonesha kuwa hapo hakuna shida yoyote. Lakini katika jamii si kila siku utakutana na watu wanaofuata busara!! Kuna mtu mwingine atakuambia kuwa katika kazi tunafuata sheria kwanza kabla ya busara!! Kisheria, Ahmed Mugisha ni mtu tofauti kabisa na Ahmed John Mugisha. Kisheria kinachoweza kufanya hao awe mtu yule yule ni deed poll na si vinginevyo. Japo busara inaweza kuonesha kuwa kama cheti cha kuzaliwa kina majina yote matatu ie Ahmed John Mugisha basi ni mtu yule yule, japo anayefuata sheria anaweza kusema hiyo ni coincedence tu au anaweza kusema hicho cheti cha kuzaliwa kimechezewa!!. Sasa kama mko wawili mnagombania nafasi moja, mmoja hana kabisa utata na majina, na mwingine kisheria kuna utata japo ki-busara hana utata, nadhani watamchukua yule ambaye hana utata kabisa!! Katika mazingira ya kusaka asali yenye ushindani mkubwa ni busara kuondokana na hata na harufu tu ya utata!!​
 
Ungekuwa hutaki usingekuwepo hapa na zaidi usingepata muda wa kulinganisha orodha ya interview na placement
Aliyekwambia nimesoma orodha nani kwanza sijui Una upofu wa macho rudia kusoma uone aliyeleta taarifa nani na pia mm nipo since huu Uzi umeanza sema tu nilibadili 🆔 so kufatilia ni haki yangu na hakuna wa kunizuia kusema chochote
 
Aliyeleta taarifa sio mimi, and nimechangia Tu
Alisema kwamba placement za brela zimetoka na hamna majina ya waliofanya usahili
Sasa kosa langu lipo wapi
Kumbe sio wewe...samahani kwa hilo.
Haya tuambie sasa wewe hiyo taarifa ya kwamba waliofanya interview kwenye placement hawapo umeitoa wapi?
 
Ni kweli busara inaonesha kuwa hapo hakuna shida yoyote. Lakini katika jamii si kila siku utakutana na watu wanaofuata busara!! Kuna mtu mwingine atakuambia kuwa katika kazi tunafuata sheria kwanza kabla ya busara!! Kisheria, Ahmed Mugisha ni mtu tofauti kabisa na Ahmed John Mugisha. Kisheria kinachoweza kufanya hao awe mtu yule yule ni deed poll na si vinginevyo. Japo busara inaweza kuonesha kuwa kama cheti cha kuzaliwa kina majina yote matatu ie Ahmed John Mugisha basi ni mtu yule yule, japo anayefuata sheria anaweza kusema hiyo ni coincedence tu au anaweza kusema hicho cheti cha kuzaliwa kimechezewa!!. Sasa kama mko wawili mnagombania nafasi moja, mmoja hana kabisa utata na majina, na mwingine kisheria kuna utata japo ki-busara hana utata, nadhani watamchukua yule ambaye hana utata kabisa!! Katika mazingira ya kusaka asali yenye ushindani mkubwa ni busara kuondokana na hata na harufu tu ya utata!!​
Duuh mbona balaa hili. Btw mkuu huo mfano uliotumia nimeupenda umenikumbusha mbali...kumbe yule jamaa jina la tatu ni Mugisha [emoji1787][emoji1787] au huu nao ni mfano wa coincidence inayozungumziwa hapa
 
Majina ya kuitwa kazini yametoka BRELA. But what's shocking ni baadhi ya majina yaliyopo kwenye placement hayakuwepo kwenye call for interview
Angalia tangazo limeelekeza waliofanya interview tar ngapi sidhani kama walofanya juzi zile za temporary wameitwa
 
Angalia tangazo limeelekeza waliofanya interview tar ngapi sidhani kama walofanya juzi zile za temporary wameitwa
Mtatumia nguvu kubwa kuelimishana watu awasomi review thread za nyuma na Tangazo lenyewe....
Kuna kauli N/waziri Kikwete" ' kuna mkandwaji humu kwenye thread aliituma ninanukuu kipande cha mwisho cha Mh.."Kuna mabadiliko Utumishi tunayafanya"
Cha zaidi tunakumbushia PDF la Mama Mhagama IT popote ulipo PSRS shusha faraja hiyo Kitaa sio poa
 
Ni kweli busara inaonesha kuwa hapo hakuna shida yoyote. Lakini katika jamii si kila siku utakutana na watu wanaofuata busara!! Kuna mtu mwingine atakuambia kuwa katika kazi tunafuata sheria kwanza kabla ya busara!! Kisheria, Ahmed Mugisha ni mtu tofauti kabisa na Ahmed John Mugisha. Kisheria kinachoweza kufanya hao awe mtu yule yule ni deed poll na si vinginevyo. Japo busara inaweza kuonesha kuwa kama cheti cha kuzaliwa kina majina yote matatu ie Ahmed John Mugisha basi ni mtu yule yule, japo anayefuata sheria anaweza kusema hiyo ni coincedence tu au anaweza kusema hicho cheti cha kuzaliwa kimechezewa!!. Sasa kama mko wawili mnagombania nafasi moja, mmoja hana kabisa utata na majina, na mwingine kisheria kuna utata japo ki-busara hana utata, nadhani watamchukua yule ambaye hana utata kabisa!! Katika mazingira ya kusaka asali yenye ushindani mkubwa ni busara kuondokana na hata na harufu tu ya utata!!​
Kweli kabisa Ahmed Mugisha na Ahmed John Mugisha ni watu wawili tofauti na unahitaji Deedpool
ILA
Ahmed John na Ahmed John Mugisha huyo ni mtu mmoja na ndio point yangu ya msingi.

MAJINA MAWILI YA KWENYE VYETI(AHMED JOHN) NA MATATU KTK CHETI CHA KUZALIWA/NIDA(AHMED JOHN MUGISHA) HAYANA SHIDA YOYOTE
 
Kweli kabisa Ahmed Mugisha na Ahmed John Mugisha ni watu wawili tofauti na unahitaji Deedpool
ILA
Ahmed John na Ahmed John Mugisha huyo ni mtu mmoja na ndio point yangu ya msingi.

MAJINA MAWILI YA KWENYE VYETI(AHMED JOHN) NA MATATU KTK CHETI CHA KUZALIWA/NIDA(AHMED JOHN MUGISHA) HAYANA SHIDA YOYOTE
Vip kuhusu hii.
Majina kwenye vyeti vya taaluma ni Ahmed J Mugisha. Lakin nida na cha kuzaliwa n ahmed John Mugisha. Kuna shida pia sio?
 
Back
Top Bottom