Mwamba rinyungu
Senior Member
- Nov 4, 2022
- 191
- 522
Hongera sana mwambaAlhamdulillah nami nimekula asali ya utumishi wa umma leo
Hongera sana mwambaAlhamdulillah nami nimekula asali ya utumishi wa umma leo
Tangu mwezi wa pilinimiez mingapi tangu upige oral?
jukwaa la kupeana faraja hilii
Hongera kiongozi ukawe mtumishi mwemaAlhamdulillah nami nimekula asali ya utumishi wa umma leo
Sitanimiez mingapi tangu upige oral?
jukwaa la kupeana faraja hilii
Noted champTangu mwezi wa pili
Hongera sanaAlhamdulillah nami nimekula asali ya utumishi wa umma leo
Ahsante sanaaHongera sana
inaonekn kuna asali nzito..Mungu awajaalie waliopata huko wawe watumishi wema.Ni shirika la kijeshi ambalo ndani yake Kuna kambi ya kijeshi na wafanyakazi wa kiraia,wanajihusisha na kuendesha miradi mbalimbali,lipo morogoro,KM 7 kutoka SUA
😆😆 eti asali nzito.inaonekn kuna asali nzito..Mungu awajaalie waliopata huko wawe watumishi wema.
Nani kakuambia halmashauri kuna njaa? Inategemea uko idara gani!! Idara nyingi za halmashauri huwa zina miradi sana na huko safari na posho zipo kibao!! Kwa mfano muda huu vijana wengi (kuna wengine nawafahamu personally) huko wapo kwenye maonesho ya nanenane morogoro wanakula per diem ya manispaa 150,000/= per day!! Idara kama mifugo, kilimo, uvuvi, nyuki, misitu siyo wenzio hao!! kuna projects kibao!!😆😆 eti asali nzito.
Mkuu nina wakuu wapo pael wana njaa tu kama halmashauri.
Watu walishakaririshwa kwamba mashirika ya serikali kuna mpunga mwingi pale, haya na atwambie SIDO pale kuna kipi cha maana?Nani kakuambia halmashauri kuna njaa? Inategemea uko idara gani!! Idara nyingi za halmashauri huwa zina miradi sana na huko safari na posho zipo kibao!! Kwa mfano muda huu vijana wengi (kuna wengine nawafahamu personally) huko wapo kwenye maonesho ya nanenane morogoro wanakula per diem ya manispaa 150,000/= per day!! Idara kama mifugo, kilimo, uvuvi, nyuki, misitu siyo wenzio hao!! kuna projects kibao!!
Vimulimuli vimezima viwili ko tutarajie mapdf ya maanaKimulimuli kimoja kimezima,inaonekana IT bado anashuguli nyingi sehemu ya placement
Kesho unaeza kutoka mkeka mwingina panapomajaliwaVimulimuli vimezima viwili ko tutarajie mapdf ya maana
IT anaweza press button leo tukapata pdf. 😄Kesho unaeza kutoka mkeka mwingina panapomajaliwa
Hahahaha vimulimuli mara nyingi kinakaa siku 7 kinazima chenyeweeVimulimuli vimezima viwili ko tutarajie mapdf ya maana
Inawezekana au yuko likizo kwamaana pdf ya jana imetolewa na kaimu katibuMbona ile picha ya kitenge imetolewa,bosi kabadilishwa nini?