Upo tayari kufanya kazi sehemu "MBOVU"?HABARI ZENU WANA UZI HUU
Nitangulize wasifu kwanza
Education : degree Of Community Economic Development (CED )
Age: 25
Location : currently Mwanza.
Ndugu zanguni kama mjuavyi hali ni tete, nipo mwanza
Ama hakika kama kuna mtu yeyote ambae anaweza fanya kitu muhimu kupata shughuli ya kupata chochote kitu kupitia taaluma yangu ama vyovyote halali juu yangu. Nitamshukuru sana
MWANZA kwa sasa sina hali
Masaada kwenu