Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hao wengine wako jikoni wakati mwalimu yuko Dinning.
Nakupa mifano miwili :

1. Afisa hesabu wa Halmashauri anaesimamia Zahanati na hospital madokezo hotel ya Hela na miradi mbali mbali lazima halite kwake hapa lazima adake chochote akikusanya Zahanati zote sio haba

2. Procurement hawa ndio hawaendi mbinguni kabisa Kila mradi wa Halmashauri lazima wale. Hawa wanaenda sambamba na wahandisi. Mmoja anakagua utaalamu wa vifaa mwingine anakagua bei. Ukisikia Halmashauri imejenga soko Kwa milioni 800 basi ujue gharama halisi ni milioni 450-500, hizi nyingine mgao umetembea bila kumsahau pacha wao Afisa hesabu na mchumi.
Pia Hawa wa Halmashauri makato makuu wana OT wanajilipa.
Mwalimu Hana kitu chochote mkavu kama mkaa Hadi mwisho wa mwaka apate fursa ya mitihani
Vipi kuhusu ma afisa wa idara ya ukaguzi wa ndani Halmashauri nao wapoje upande wa posho?
 
 
Hao wengine wako jikoni wakati mwalimu yuko Dinning.
Nakupa mifano miwili :

1. Afisa hesabu wa Halmashauri anaesimamia Zahanati na hospital madokezo yote ya Hela na miradi mbali mbali lazima yapite kwake hapa lazima adake chochote akikusanya Zahanati zote sio haba

2. Procurement hawa ndio hawaendi mbinguni kabisa Kila mradi wa Halmashauri lazima wale. Hawa wanaenda sambamba na wahandisi. Mmoja anakagua utaalamu wa vifaa mwingine anakagua bei. Ukisikia Halmashauri imejenga soko Kwa milioni 800 basi ujue gharama halisi ni milioni 450-500, hizi nyingine mgao umetembea bila kumsahau pacha wao Afisa hesabu na mchumi.
Pia Hawa wa Halmashauri makao makuu wana OT wanajilipa.
Mwalimu Hana kitu chochote mkavu kama mkaa Hadi mwisho wa mwaka apate fursa ya mitihani
Mawazo kama hayo ndiyo yamewajaa vijana wengi wanaotafuta ajira. Wanatamani ajira zitakazowapa fursa ya kufanya wizi, ufisadi, ubadhirifu na kujihusisha na ulaji rushwa!! Amini usiamini maisha ya furaha, amani na utulivu wa moyo hautokani na kipato kikubwa cha pesa itokanayo na uchafu huo uliotajwa hapo juu. Si lazima ufanye uharibifu huo ili upate maendeleo ya maisha. Mwamini Mungu kuwa atakufanikisha tu kwa kipato halali unachoweza kukitumia kwa furaha!! Ni aibu yako kuendesha "gari kubwa" huku unajua na jamii inajua kuwa ni matokeo ya wizi na rushwa!! Wengine ndiyo watadhani kuwa unafurahia maisha yako mazuri lakini nafsi yako inafahamu sana kuwa huna furaha wala amani yoyote maishani mwako. Biblia inasema' 'HAKUNA AMANI KWA WABAYA ASEMA BWANA-Isaya 42:22" na ndivyo ilivyo, cheka uwezavyo lakini huna amani, vaa uwezavyo lakini huna amani, nk. Sina tatizo na posho halali kwa mujibu wa sheria.
 
Mawazo kama hayo ndiyo yamewajaa vijana wengi wanaotafuta ajira. Wanatamani ajira zitakazowapa fursa ya kufanya wizi, ufisadi, ubadhirifu na kujihusisha na ulaji rushwa!! Amini usiamini maisha ya furaha, amani na utulivu wa moyo hautokani na kipato kikubwa cha pesa itokanayo na uchafu huo uliotajwa hapo juu. Si lazima ufanye uharibifu huo ili upate maendeleo ya maisha. Mwamini Mungu kuwa atakufanikisha tu kwa kipato halali unachoweza kukitumia kwa furaha!! Ni aibu yako kuendesha "gari kubwa" huku unajua na jamii inajua kuwa ni matokeo ya wizi na rushwa!! Wengine ndiyo watadhani kuwa unafurahia maisha yako mazuri lakini nafsi yako inafahamu sana kuwa huna furaha wala amani yoyote maishani mwako. Biblia inasema' 'HAKUNA AMANI KWA WABAYA ASEMA BWANA-Isaya 42:22" na ndivyo ilivyo, cheka uwezavyo lakini huna amani, vaa uwezavyo lakini huna amani, nk.
Amina Mtumishi wa Bwana umenena , tuishi kwa kipato halali, Mungu mwenyewe ndio hutulisha
 
Amina Mtumishi wa Bwana umenena , tuishi kwa kipato halali, Mungu mwenyewe ndio hutulisha
Amina. Baraka ya Mungu hutajirisha!! lakini laana ya uovu hufukarisha hata kama kwa muda utaona kama vile unafanikiwa, lakini mwisho wa siku ni balaa!!
 
Sema hongereni sana mnaomudu gharama za kwenda Dodoma ktk usaili..kiukweli nina maisha magumu mno..Kuafford hizi interview + malazi huko dom ni mtihani..
nimefululiza sana nenda rudi za dodoma nmepoteza almost 500k kwa nauli na malazi..na nimetoka Kapa..Wacha nipumzike tu..

Kila la kheri muendao.
Pole lakini usikate tamaa. Jipange tena. Kutumia pesa kwa ajili nya kuhudhuria interview siyo kupoteza pesa bali ni ni kuwekeza pesa!! Kuna kijana wangu ametumia pesa nyingi sana kuhudhuria interview na nilikuwa namsaidia anapokwama. Alianza kupata mawazo hayo hayo kuwa anapoteza pesa!! Nikamwambia hapana hupotezi pesa na usipochaguliwa si kwamba umetoka kapa, bali umeongeza uzoefu wa kufanya interview na mara nyingine utafanya vizuri zaidi. Tukubaliane kuwa ni wachache sana hufanikiwa kulamba asali kwa interview yao ya kwanza. Marksi alizopata kijana wangu kwenye interview yake ya kwanza zilikuwa ni ndogo sana!! Lakini zikaanza kupanda interview zilizofuata. Leo hii tunapozungumza keshalamba asali, keshapata check number na May hii atalamba mshahara wake wa kwanza!! Kama angekubali kukata tamaa asingefanikiwa. Jitie nguvu, kama leo huna nauli za interview chacharika kesho utakuwa nayo na utahudhuria interview na nafasi yako ipo inakusubiri.​
 
Mawazo kama hayo ndiyo yamewajaa vijana wengi wanaotafuta ajira. Wanatamani ajira zitakazowapa fursa ya kufanya wizi, ufisadi, ubadhirifu na kujihusisha na ulaji rushwa!! Amini usiamini maisha ya furaha, amani na utulivu wa moyo hautokani na kipato kikubwa cha pesa itokanayo na uchafu huo uliotajwa hapo juu. Si lazima ufanye uharibifu huo ili upate maendeleo ya maisha. Mwamini Mungu kuwa atakufanikisha tu kwa kipato halali unachoweza kukitumia kwa furaha!! Ni aibu yako kuendesha "gari kubwa" huku unajua na jamii inajua kuwa ni matokeo ya wizi na rushwa!! Wengine ndiyo watadhani kuwa unafurahia maisha yako mazuri lakini nafsi yako inafahamu sana kuwa huna furaha wala amani yoyote maishani mwako. Biblia inasema' 'HAKUNA AMANI KWA WABAYA ASEMA BWANA-Isaya 42:22" na ndivyo ilivyo, cheka uwezavyo lakini huna amani, vaa uwezavyo lakini huna amani, nk. Sina tatizo na posho halali kwa mujibu wa sheria.
Maneno ya kizalendo sana, hii inasikitisha sana m binafsi naamin katika jitihada, huu ndo uzalendo sasa, 🙏 Amina, Amina mtumishi
 
Back
Top Bottom