Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wadau kuna jamaa amepata placement lakini amechelewa kuona tangazo la kuitwa kazini.
Tangazo lilitoka tarehe 29/3
Taarifa amepata leo

Na ndani ya siku 14 anatakiwa awe ameripoti

je mnamshauri afanyaje ili asiikose nafasi?

Sent from my PDBM00 using JamiiForums mobile app
Yupo ndani ya muda.Aende kwenye Sanduku la Posta akaangalie Barua yake kama ishatumwa.Na kama Bado aende DODOMA Chapu....
Siku 7 huwa za kuchukua Barua.
Baada ya Hapo Ndani ya siku 14 kuripoti Kwa Mwajiri...

Achangamke.Muulize lile Sanduku la posta aliloandika au kama alibadirisha siku ya Usaili Adili nalo Hilo.
 
Yupo ndani ya muda.Aende kwenye Sanduku la Posta akaangalie Barua yake kama ishatumwa.Na kama Bado aende DODOMA Chapu....
Siku 7 huwa za kuchukua Barua.
Baada ya Hapo Ndani ya siku 14 kuripoti Kwa Mwajiri...

Achangamke.Muulize lile Sanduku la posta aliloandika au kama alibadirisha siku ya Usaili Adili nalo Hilo.
Ameshawasiliana na mmiliki wa sanduku Alilotumia amemwambia aende jumanne

Sent from my PDBM00 using JamiiForums mobile app
 
1681046549057.png
 
Back
Top Bottom