Kwani kinachokufanya kulalamika humu ni nini? ndo sindano yenyewe hiyoSINDANO GANI?
Kwani kinachokufanya kulalamika humu ni nini? ndo sindano yenyewe hiyoSINDANO GANI?
Kwani kinachokufanya kulalamika humu ni nini? ndo sindano yenyewe hiyo
Sasa una uwabudu vipi huo mti wakati hujui? Basi hata hiki unachokizungumzia HUKIJUI bali UNAKISHABIKIA na KULETA OYA OYA KWA VITU USIVYOVIJUA au NAWE NI MUHUSIKA?SIJUI.
Sasa una uwabudu vipi huo mti wakati hujui? Basi hata hiki unachokizungumzia HUKIJUI bali UNAKISHABIKIA na KULETA OYA OYA KWA VITU USIVYOVIJUA au NAWE NI MUHUSIKA?
Hakuna sheria ambayo ipo juu ya sheria za Mungu. Hizo unazoita hoja zinazotokana na hekima ya kibinadamu ndo upuuziHOJA ZA DINI HAZIWEZI KUFUA DAFU HAPA.
TAFUTA HOJA ZINGINE TOFAUTI NA HIZO UCHWARA UCHWARA ZA GOMORA.
WEWE NI KICHWA NGUMU.Hakuna sheria ambayo ipo juu ya sheria za Mungu. Hizo unazoita hoja zinazotokana na hekima ya kibinadamu ndo upuuzi
Unajifanya kipofu inamaana hata ulichokiandika hukijui,kwa taarifa yako nimesoma comment yako ya kwanza mpaka ya mwisho.
Badilika dada yangu si ujanja kutetea hivi vitu kwani nikunyume na asili yako,timiza wajibu wako kama mzazi kwa watoto wako na kama mlezi kwa watoto wa majirani zako,pigana kizazi hiki kisipotee ,kwani sio kwa kila anachofanya mtu mweupe basi ukione cha maan vingine ni upuuzi,Hili swala ukiacha laana hata kwa upande wa kiafya lina madhara.
Mtu asijejua kitu husika lkn bado anakishabikia kama wewe,yaani kwa kifupi unafuata mkumbo."OYA OYA" NDIO NINI?
HEKAYA TU HIZI... BLAH BLAH BLAH BLAH BLAHSubiri siku ugongewe hodi mwanao John kaja kutolewa pesa aolewe uje ufungue uzi wa pongezi..... hivi wewe babako angefirana waziwazi ungetembea kifua mbele?
ANZA KUNISOMA UPYA.Mtu asijejua kitu husika lkn bado anakishabikia kama wewe,yaani kwa kifupi unafuata mkumbo.
Hii mada ishajibiwa muda mrefu, kinachoendelea sasa ni kuchangamsha genge tukisubiri ile Melo ametupatia alert ya JF malware testing.
Kuwa makini, usifikiri ni rahisi kupotosha watu wanaojielewa fanya ushoga kwa uharibifu wa nafsi yako mwenyeweWEWE NAONA NI KICHWA NGUMU.
MSALIMIE NABII TITO.
MANGI.......SIO KILA MTU ANAAMINI KWENYE HUYO MUNGU WAKO.Hata Mungu anauchukia sana usodoma!
Ushoga ni ugonjwa unaosababisha MTU kumtamani MTU wa jinsia yake, ni nguvu mbaya inamvaa mtu akiwa Mdogo, inadaiwa single parent kids wanaadhiriwa sana na hilo, kwa kawaida ugonjwa unatakiwa utibiwe na sio ushabikiwe, sijawahi kusikia wanyama wakifanya hilo,
Kuna aina za majini yanayopiga watu na nguvu ya ushoga, unajikuta unasisimuliwa na mtu wa jinsia yako. Suluhisho ni matibabu ya kimwili au kiroho.
Nirudi kwenye swali lako: watanzania wanashabikia sana ngono kwa kujifanya kuwa wanaichukia, mf kwenye ushoga wanamsema yule anaeingiliwa, huyo ndio shoga, lakini muingiliaji anasifiwa, utashangaa amber Ruty ndie anaepelekwa mahakamani, ila yule mfiraji anasifiwa.
Mawazo ya watz ni ufiraji tu, mtu akipelekwa polisi, akitekwa, akipotea, akiuawa, cha kwanza kuuliza ni kama aliingiliwa kinyume au la, na hapo huanza kusisimkwa...na tamaa!!!????
Umesoma comments zangu lakini hujanielewa na si lazima unielewe. Ushoga sio kitu kizuri lakini hakuna binadamu atakayeweza kuutokomeza. Hata mpige makelele kiasi gani haitakuja kufanikiwa.
Maadili nayajua na watoto wangu nitawafundisha.
Lakini sitakuja kumhukumu Shoga hata siku moja kwasababu sijui kwanini amekuwa hivyo ni Mungu mwenyewe anajua.
Ni muda sasa umefika taifa lifanye mambo ya msingi zaidi kuliko kupeleka mashoga jela au kuwanyooshea kidogo.
Na kama unaijua dini vizuri..who are u to judge?o
Tekeleza wajibu wako wa kuwafundisha watoto wako yaliyo mema, huku ukiomba Mungu hilo janga liwapitie mbali.
Siwezi kutumia nguvu zangu kupinga kitu ambacho siwezi kubadili.
.
.
Shoga ni binadamu kama wewe, wengine ni watu wazuri tu kwenye jamii iweje kinyeo chake ndo kitupelekeshe weee tushindwe kufanya mambo mengine? Let us ignore them na maisha yaendelee.
Njoo nikupe wa kutifua huo mtaro wako if you think it's funny...HEKAYA TU HIZI... BLAH BLAH BLAH BLAH BLAH