Kwa hiyo wanapigania haki zao ehh![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
MADAWA YA KULEVYA LICHA YA KWAMBA YANAPOTEZA NGUVU KAZI, PIA YANASABABISHA VIFO NA HIVYO KUATHIRI FAMILIA NA NDUGU WA MAREHEMU WANAOMTEGEMEA.Kwanini ukatae madawa then uukubali ushoga. Yote yanapelekea kufa/kupungua nguvu kazi ya taifa.
Sababu ya Pili mahususi kwa huyo shoga aliyeanzisha Uzi, anaclaim madawa ya kulevya ni sawa yapigwe vita kwa kuwa yanaharibu nguvu kazi ya taifa; Nikampa hiyo punch.Mimi nimekuelewa. Point yako ya kwanza imekaa kiafya zaidi na si lazima nifate ushauri wa daktari.
Point yako ya pili mimi sipo responsible na hili taifa yaani silazimishwi kuongeza ama kupunguza nguvu kazi ya taifa. Ni amue mwenyewe tu.
Na nikiamua kukaa tu nisifanye kazi ni uamuzi wangu ilimradi simpi kero mtu mwingine.




jibu murua
Kama chakula kitakubali kupita masikioni na akashiba ni sawa tu make kuna watu wanakula kupitia puani kwa mirija na wanaishi
Yaani hilo swali hukutakiwa kujiuliza hapa, ungemuita baba yako ukamuinamia tu.
HUNA HOJA.Rudia tena...mada zako hazina mashiko...at a km una dini...utamua uwepo dini?jevujui km mungu yupo ndio aliokupa kibri hko?
Jadili ushoga acha kumjadiri mtoa mada.Lazima jamaa atakuwa shoga,ni ngumu sana kumuelezea mtu jambo baya ambae hana dini kama alivyothibitisha mwenyewe.
hahaaYaani hilo swali hukutakiwa kujiuliza hapa, ungemuita baba yako ukamuinamia tu.
Hii point nadhani ndio ina mashiko nadhani ndipo serikali huenda inapopatia nguvu.Kupitia ushoga ni dhahiri miaka ya mbele kidogo hakutakuwa na ongezeko la watu na zaidi sana watu watakuwa wachache na pengine kuisha kabisa, maana uzao utapungua sana.
KWANI NILIOMBA KUZALIWA?Nimekwambia mfano baba ako angekuwa shoga na hivyo akashindwa kuwa familia kwa sababu akajiona ni sawa na mwanamke,unafikiri wewe leo ungekuwepo kuongeza nguvu kazi ya taifa?
Na nimekwambia kuhusu madawa ya kulevya kuna watu wanayatumia na bado ni wachapa kazi wazuri tu pengine kuliko wewe unayepiga vita madawa hayo.
Kuna mambo mengi ya kutetea ila ajabu watu wanatumia nguvu kutetea mwanaume kufanya mapenzi na mwanaume mwenzake,wakati unajiuliza kwanini watu wanapinga ushoga jiulize na hao wengine kwanini wanatumia nguvu kutetea ushoga kiasi kwamba et wanaweza kukunyima msaada wa kimaendeleo kisa ushoga!
Hili ni shoga lililokubuhu lisiwaumize kichwa!!.USHOGA HAUNA MADHARA YOYOTE KWA MTU WA TATU.
HIYO NDIYO FALSAFA KUU YA UTETEZI KUHUSU USHOGA.
HAUNA MADHARA KABISA KWA MTU WA TATU.
HAKUNA MADHARA KABISA KABISA KWA NAMNA YOYOTE .
Cc demiMADAWA YA KULEVYA LICHA YA KWAMBA YANAPOTEZA NGUVU KAZI, PIA YANASABABISHA VIFO NA HIVYO KUATHIRI FAMILIA NA NDUGU WA MAREHEMU WANAOMTEGEMEA.
ZAIDI YA YOTE YANAHARIBU UCHUMI WA NCHI KWA KUSABABISHA FEDHA CHAFU NA UZALISHAJI DUNI WA BIDHAA HALISI.
FALSAFA RAHISI KABISA KUELEWA.
Hapo ndo unapokosea, Kwa Mfano serikali inasema Haina dini Sasa iweje ianze kuhangaika na mashoga?Rudia tena...mada zako hazina mashiko...at a km una dini...utamua uwepo dini?jevujui km mungu yupo ndio aliokupa kibri hko?
HAIWEZEKANI WANAUME WOTE WAWE MASHOGA.Kwa huko mbeleni ikitokea wote wakawa mashoga labda.Kwa hiyo hapa kinga ni Bora kuliko tiba.Atleast jamaa katoa sababu yenye mashiko
Hebu tukumbushe ni lini mashoga hapa tz waliandamana kudai haki zao? Zaidi ya makonda kuingilia faragha zao na kulazimisha watu wafute video kwny simu zaoTatizo lao mashoga wanataka uhalali wa kisheria kuhusu upumbavu wao. Kwani wakifirana faraghani nani anawaingilia? Shida ni pale wanapoandamana kudai haki zao! Wapumbavu kabisa
Sigara sio katazo la kisheria katika nchi mkuu,na ndio maana unaandikiwa neno "onyo"
Unajichanganya mwenyewe, angalia sababu unazotumia kuhalalisha ushoga na kupiga matumizi ya dawa za kulevya.KWANI NILIOMBA KUZALIWA?