Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

HUNA HOJA.
Ukiwa kwenye nchi yoyote mwili wako unakuwa mali ya serikali ya hiyo nchi,hakuna eti mazali mwili wako basi uvute bangi,ulawitiwe,ujiue mazali roho na mwili ni vya kwako,umchinje mwanao mazali umemzaa wewe n.k kulawiti na kulawitiwa ni kosa kwa mujibu wa sheria za nchi yetu.
Wanaotetea wengi ni mashoga au wafiraji.
 
M'BANDIKA TANGAZO AUKO SAWA.
hakuna chochote kifanika chini ya jua na dunia pasipo uwezo wa kiumbaji.sasa ukisema tusishilikishe lolote kuhusu uwepo weko,ni sawa kuulizwa (kabla kuubwa ulikua wapi?)je unajua ulipo kua tuponi kwa mama yako ulikua je?ni maswali,au hoja utopata majibu.UKITAKA TUPE UHURU WA KUONGE KUTOKANA NA UUBAJI WA MOLA WETU MLEZI.
asante.
SIKUELEWI.
 
Asili ipi ya uumbaji na kwa mujibu wa nani?
Jiulize kwanza mboo imeumbwa kwa ajili gani (asili ya maumbile)
Kama ni kutumia mwili upendavyo hii Kitu si watapelekewa watoto wachanga, ng'ombe mbuzi nk?
Hivi kwa vile ni yako mpelekee mama Wako mzazi. Si hutaki kupangiwa Matumizi yake?
 
Nguvukazi itatokea wapi ikiwa wanaume na wanaume wanakulana. Au mzee mama huelewi unachozungumza.
Nadhani hii ndiyo point anayoitaka mleta mada.Nami hapo nakubaliana nawe kuwa ushoga utasababisha watu kutozaliana na hivyo nguvu kazi ya badaye kupotea.
 
Mkuu wanaojadili hapa sidhani kama wanaelezea hisia zao hapa Ila wana jaribu kufikiria hii kitu ushoga kwanini nguvu kubwa inatumika kupambana na ushoga.
Huo ndo ukweli mkuu,Tatizo hii nchi imejaa majuha sana hawajielewi.
 
Lazima jamaa atakuwa shoga,ni ngumu sana kumuelezea mtu jambo baya ambae hana dini kama alivyothibitisha mwenyewe.
 
Mkuu wanaojadili hapa sidhani kama wanaelezea hisia zao hapa Ila wana jaribu kufikiria hii kitu ushoga kwanini nguvu kubwa inatumika kupambana na ushoga.
Kupitia ushoga ni dhahiri miaka ya mbele kidogo hakutakuwa na ongezeko la watu na zaidi sana watu watakuwa wachache na pengine kuisha kabisa, maana uzao utapungua sana.
 
Sigara unaiongeleaje? Mbona serikali inaruhusu tupate madhara, tunakufa wanatuangalia
Ukiwa kwenye nchi yoyote mwili wako unakuwa mali ya serikali ya hiyo nchi,hakuna eti mazali mwili wako basi uvute bangi,ulawitiwe,ujiue mazali roho na mwili ni vya kwako,umchinje mwanao mazali umemzaa wewe n.k kulawiti na kulawitiwa ni kosa kwa mujibu wa sheria za nchi yetu.
Wanaotetea wengi ni mashoga au wafiraji.
 
Nadhani hii ndiyo point anayoitaka mleta mada.Nami hapo nakubaliana nawe kuwa ushoga utasababisha watu kutozaliana na hivyo nguvu kazi ya badaye kupotea.
USHOGA NI TENDO LA HIARI BAINA YA BINADAMU WAWILI WENYE AKILI TIMAMU.

PERIOD.
 
MADAWA YA KULEVYA YANAPOTEZA NGUVU KAZI YA TAIFA, NA HIYO NDIO FALSAFA SAHIHI YA KUZUIA MADAWA YA KULEVYA. PERIOD.

FALSAFA YA VITA DHIDI YA USHOGA NI IPI TOFAUTI NA HADITHI ZA GOMORA!?
Nimekwambia mfano baba ako angekuwa shoga na hivyo akashindwa kuwa familia kwa sababu akajiona ni sawa na mwanamke,unafikiri wewe leo ungekuwepo kuongeza nguvu kazi ya taifa?

Na nimekwambia kuhusu madawa ya kulevya kuna watu wanayatumia na bado ni wachapa kazi wazuri tu pengine kuliko wewe unayepiga vita madawa hayo.

Kuna mambo mengi ya kutetea ila ajabu watu wanatumia nguvu kutetea mwanaume kufanya mapenzi na mwanaume mwenzake,wakati unajiuliza kwanini watu wanapinga ushoga jiulize na hao wengine kwanini wanatumia nguvu kutetea ushoga kiasi kwamba et wanaweza kukunyima msaada wa kimaendeleo kisa ushoga!
 
Hoja kuu ni moja tu.

Hiyo sehemu kazi yake ni kutolea haja kubwa.

Hoja ingine ni inapunguza nguvu kazi ya taifa kupitia "depopulation"

Mimi nimekuelewa. Point yako ya kwanza imekaa kiafya zaidi na si lazima nifate ushauri wa daktari.
Point yako ya pili mimi sipo responsible na hili taifa yaani silazimishwi kuongeza ama kupunguza nguvu kazi ya taifa. Ni amue mwenyewe tu.
Na nikiamua kukaa tu nisifanye kazi ni uamuzi wangu ilimradi simpi kero mtu mwingine.
 
Back
Top Bottom