Kwanini upo single?

 
kutokana na hali ya hewa. Dakika kupwa dakika kujaa.... yani mwezi mchanga.... mwezi wa 7 sasa si mchezo.
 
Mwanamke pekee niliyempenda kwa dhati kabisa ya moyo wangu aliniacha akaenda kwa mwingine,so since then sijaonaga tena sababu ya kumpenda mtu..huwa natafuta wa kupiga show tu then kila mmoja anaendelea na mambo yake.
 
Mwanamke pekee niliyempenda kwa dhati kabisa ya moyo wangu aliniacha akaenda kwa mwingine,so since then sijaonaga tena sababu ya kumpenda mtu..huwa natafuta wa kupiga show tu then kila mmoja anaendelea na mambo yake.
Pole sana 😒
Utapata mwingine
 
Kwa nini unauliza "kwa nini upo single?"

Huna uwezo wa kufikiria mada nyingine?

Unatafuta danga?

Unaongozwa na hoja za mahusiano kuliko kitu kingine?

Huna interest ya kujua mada tofauti?

Wewe ni mmbea?

Unapenda kufuatilia maisha ya watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…