Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

Hadi mda huu kitu nilichogundua humu ndani:

Faida ya kuwa Single ni

Unapunguza matumizi ya pesa (kwa wanaume).

Unakuwa free kufanya chochote, sehemu yoyote, mda wowote na mtu yeyote bila kuulizwa ulizwa vimaswali.

Unakuwa hauna hofu ya kutendwa au kusalitiwa.

Unakuwa hauna Stress za mapenzi.

Hasara za kuwa Single ni:

Moyo Unatamani ukiona mwenzio kapendwa kwa dhati

Kero ya kuulizwaulizwa vijiswali na ndugu jamaa na marafiki kuhusu shemeji yao au wifi yao yu wapi mbona hawamuoni.

Unakua mtu wa kudate date tuuuuu.
kweli mkuu af iyo ya mashakaji kuuliza uliza ndo huwa najitenga nao sam time
 
Mwanamke pesa hazimfanyi kua single

Zinamfanya sana ukiwa na pesa mwanamke ukweli ni ngumu kumpata the one me nimechoka manake kila anayekuja hata kama anauwezo anaanza kuwaza kumiliki ulivyo navyo na hawafichi ukweli ni kwamba hata wanaume wanatamani sana wenye mali i wish i could fly somewhere sometimes niishi low nipate mtu atakayenipenda nikiwa low 'hitimisho nipo singel coz kila mwanaume anayekuja anaonyesha kutamani nilivyo na si mimi despite of my beauty
 
Zinamfanya sana ukiwa na pesa mwanamke ukweli ni ngumu kumpata the one me nimechoka manake kila anayekuja hata kama anauwezo anaanza kuwaza kumiliki ulivyo navyo na hawafichi ukweli ni kwamba hata wanaume wanatamani sana wenye mali i wish i could fly somewhere sometimes niishi low nipate mtu atakayenipenda nikiwa low 'hitimisho nipo singel coz kila mwanaume anayekuja anaonyesha kutamani nilivyo na si mimi despite of my beauty
mkuu kama vipi uzwa vyote (bakiza uzuri tu) afu uje kwangu
 
Zinamfanya sana ukiwa na pesa mwanamke ukweli ni ngumu kumpata the one me nimechoka manake kila anayekuja hata kama anauwezo anaanza kuwaza kumiliki ulivyo navyo na hawafichi ukweli ni kwamba hata wanaume wanatamani sana wenye mali i wish i could fly somewhere sometimes niishi low nipate mtu atakayenipenda nikiwa low 'hitimisho nipo singel coz kila mwanaume anayekuja anaonyesha kutamani nilivyo na si mimi despite of my beauty
Tatizo lako unawaonyesha kuwa unazo.
 
Niko single sababu niko biz sana kias kwamba hata sifikirii mapenz
 
Zinamfanya sana ukiwa na pesa mwanamke ukweli ni ngumu kumpata the one me nimechoka manake kila anayekuja hata kama anauwezo anaanza kuwaza kumiliki ulivyo navyo na hawafichi ukweli ni kwamba hata wanaume wanatamani sana wenye mali i wish i could fly somewhere sometimes niishi low nipate mtu atakayenipenda nikiwa low 'hitimisho nipo singel coz kila mwanaume anayekuja anaonyesha kutamani nilivyo na si mimi despite of my beauty
Njoo kwangu nikuone mbuni yako usinishirikishe
 
Back
Top Bottom