Hapo mana yake Waschana wapo na Wababa age za Baba zao na wavulana wapo na mijidada na majimama age za mama zaoKibaya 95% wasichana wanasema wanawapenzi, 97% wavulana wapo single, hapa hua panatoa jasho kwelikweli..
Nipo single kwa sababu kila nikitongoza nakataliwa hii inatokana na kuwa sina swaga na pia sura yangu mbaya
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
polee sanaa cha msingi w tafuta pesaa!! Watakuona Handsome wenyewee
tunahitaji jinsia yko plzNiko single sababu ya aibu
Chura je?ipo?Hiyo si ya kuuliza...njoo ujionee

Kuna vitu vitam kuliko dyudyuDyudyu unapata wapi?![]()
Sina la kusema namuachia Muumba tu"🙂
Mimi nakupenda ulivyo,niPMmaskini sina hela
Tafuta hela utapendwa tuNipo single kwa sababu kila nikitongoza nakataliwa hii inatokana na kuwa sina swaga na pia sura yangu mbaya
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mathematically tunasema hesabu za mlinganyo isiyo sahihiKibaya 95% wasichana wanasema wanawapenzi, 97% wavulana wapo single, hapa hua panatoa jasho kwelikweli..
pm yangu mbovu ngoja niirekebisheMimi nakupenda ulivyo,niPM
Unazingua sasa halafu unalalamika hupendwipm yangu mbovu ngoja niirekebishe
Nooooo!!.....Acha kudanganya umma!!.....nitakuitia kadamnasi hapa sasa hivi!Kuna vitu vitam kuliko dyudyu