Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

Zinamfanya sana ukiwa na pesa mwanamke ukweli ni ngumu kumpata the one me nimechoka manake kila anayekuja hata kama anauwezo anaanza kuwaza kumiliki ulivyo navyo na hawafichi ukweli ni kwamba hata wanaume wanatamani sana wenye mali i wish i could fly somewhere sometimes niishi low nipate mtu atakayenipenda nikiwa low 'hitimisho nipo singel coz kila mwanaume anayekuja anaonyesha kutamani nilivyo na si mimi despite of my beauty


Uza gari...
tumia daladala na bajaj na taxi

nyumba pangisha
pesa zako invest kwa siri kwingine huku ukiishhi low hivi kwa mda hadi umpate unaemtaka
 
Hii ni kwa wale walio single kama mimi, nadhani kila aliye single ana sababu zake za msingi zinazompelekea awe single. Kuna wanaopenda kuwa hivyo na wasiopenda.

Kwa kila aliye single aeleze sababu zinazompelekea yeye kuwa hivyo na yawezekana ukapata suluhisho hapa.

Tukianza na mimi
Nipo single sababu sijampata msichana sahihi anayenifaa
Nipo singo coz sina hela ya albam
 
Hahahha tatizo sifa unazooo? Napenda mwanaume kibonge alie na kitambi flan hv
umegusa mule mule, nina kitambi ambacho kila nikikomaa kipungue najikuta nashindwa, so nimeamua kuendelea kubaki nacho tu six pack siziwezi.
 
Uza gari...
tumia daladala na bajaj na taxi

nyumba pangisha
pesa zako invest kwa siri kwingine huku ukiishhi low hivi kwa mda hadi umpate unaemtaka
Nashukuru kwa ushauri natamani ningeandika zaidi lakini some people will easily spot me kwa nature ya kazi na biashara nifanyazo .laiti lingekuwa gari tu kwa sasa siishi kwenye nyumba yangu wala sijaipangisha japo nimepanga nina panda boda daladala etc na magari nilipark kwa hasira coz the last guy ambaye nilihisi we can match tulikuwa tukiongea kwa simu anaulizia hbr ya magari nikambwaga its a year now sijasogelea mwanaume nimeamua sometimes we have to leave the nature ichukue mkondo wake
 
Back
Top Bottom