Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

Nipo single kwa sababu kila nikitongoza nakataliwa hii inatokana na kuwa sina swaga na pia sura yangu mbaya
hamna mwanamme mbaya, mwanamme kivyote utakavokuwa baridi tyu, ila kuna wanawake wabaya na wanawake mapini so labda utakuwa hujapata anae kupenda, Au tumia hela ifanye kazi yake
 
Niko single coz nliempenda amependwa na weng
Khaaaa wee vipi? unamtaka wa kwako peke ako? Yaani umpende wee peke ako wengine wasimpende? Kwa zama hizi utasubiria sana tu
 
Niko single kwasbabu bado sijampata mwanaume ninaempenda.
 
Hadi mda huu kitu nilichogundua humu ndani:

Faida ya kuwa Single ni

Unapunguza matumizi ya pesa (kwa wanaume).

Unakuwa free kufanya chochote, sehemu yoyote, mda wowote na mtu yeyote bila kuulizwa ulizwa vimaswali.

Unakuwa hauna hofu ya kutendwa au kusalitiwa.

Unakuwa hauna Stress za mapenzi.

Hasara za kuwa Single ni:

Moyo Unatamani ukiona mwenzio kapendwa kwa dhati

Kero ya kuulizwaulizwa vijiswali na ndugu jamaa na marafiki kuhusu shemeji yao au wifi yao yu wapi mbona hawamuoni.

Unakua mtu wa kudate date tuuuuu.
 
Back
Top Bottom