Kwanini upange sheria nyumbani kwangu?

Kwanini upange sheria nyumbani kwangu?

Kama ana kanga moja muongezee nyingine awe nazo2,na hao wanachuo si ni watu wazima kunatatizo gani wakijisevia huo mzigo
 
Kama ana kanga moja muongezee nyingine awe nazo2,na hao wanachuo si ni watu wazima kunatatizo gani wakijisevia huo mzigo

Nivijana Sio age Yake fisadi yule mwanamke Jana zogo ndio ilikua mwisho wao....anataka kunifisidia nyumba yangu...
 
Atakua kavaa mzee hahaha..jamani unamoyo kwanza wifi yako sii mstaarabu au kuna kitu. .mwambie amrudishe rafiki yake kwao tabia zake huziwezi unaogopa nini bwana alaaa. ..mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake mwenyewe,pamoja na ushenz wote huo unamvumilia chaaaa kweli wew muoga. ..

Asante nimesha yamaliza...
 
Kuna mdau mmoja amesema ngoja waje wanaume nami nimeamua kuja baada ya kusoma post zenu tokea mwanzo nilichokisoma hapa cha kwanza japo mmetoa hukumu kwa kuusikiliza upande mmoja ni wewe wifi mtu una lako jambo pia haukupenda ujio wa wifi yako na shoga yake full stop hayo mengine naona unaongezea tu ili hoja yako ya kuwafukuza hao wageni kwako ipate mashiko
Ulivyopata ile kondomu sebuleni kama unavyodai ulimwitaa mwenye mji kumwonyesha dharau hiyo ambayo nyie hamjawahi kuifanya? suala la kusema vijana wamechoka huoni kama wewe unaongeza chumvi? iweje mimi niende kujambazia huko usiku kisha asubuhi nichelewe kuamka nikiulizwa niseme nimechoka huoni kama nitakuwa nawasaidia upelelezi wale wanaotaka kujua kwanini mimi nichoke asubuhi nilikuwa wapi usiku.Vijana. hawawezi kumgalagaza wote au ilikuwaje wote wakachoka wote pia haiwezekani mtu akaja kwako wiki moja tu akayafanya hayo kama ni hivyo kuna mwanya mkubwa alioupata hapo kwako hadi akafikia kuyafanya hayo unayoyadai ambayo sisi hatuna uhakika nayo.
 
Amua rafiki asije ifirisi ndoa yako bure...wanaume wenyewe siku hiz vigeu geu kama mnya ya kuku!!...unachelewa kuchukuwa maamuzi ukija kutahamaki mambo yashaenda kombo

Tayari nimesha yamaliza...labda yaendelee vichochoroni...
 
Kuna mdau mmoja amesema ngoja waje wanaume nami nimeamua kuja baada ya kusoma post zenu tokea mwanzo nilichokisoma hapa cha kwanza japo mmetoa hukumu kwa kuusikiliza upande mmoja ni wewe wifi mtu una lako jambo pia haukupenda ujio wa wifi yako na shoga yake full stop hayo mengine naona unaongezea tu ili hoja yako ya kuwafukuza hao wageni kwako ipate mashiko
Ulivyopata ile kondomu sebuleni kama unavyodai ulimwitaa mwenye mji kumwonyesha dharau hiyo ambayo nyie hamjawahi kuifanya? suala la kusema vijana wamechoka huoni kama wewe unaongeza chumvi? iweje mimi niende kujambazia huko usiku kisha asubuhi nichelewe kuamka nikiulizwa niseme nimechoka huoni kama nitakuwa nawasaidia upelelezi wale wanaotaka kujua kwanini mimi nichoke asubuhi nilikuwa wapi usiku.Vijana. hawawezi kumgalagaza wote au ilikuwaje wote wakachoka wote pia haiwezekani mtu akaja kwako wiki moja tu akayafanya hayo kama ni hivyo kuna mwanya mkubwa alioupata hapo kwako hadi akafikia kuyafanya hayo unayoyadai ambayo sisi hatuna uhakika nayo.

Kuamini na kuto kuamini ni Weye na wala sikulazimishi, familia ya mume Wangu hua nawahesabu ni ndugu zangu, na Hao vijana ni shemeji zangu hakuna nilozaliwa nae hata mmoja, huyo wifi unasema nna langu jambo kipindi naolewa niliishi nae akiwa mdogo Mpaka harusi Yake mie ndio nimemfanyia alikata kusoma akaona bora aolewe, na Sio mara ya kwanza yeye kuja kila mwaka hua anakuja, sema safari hii ndio ameleta kituko, nakumuonyesha condom ni sababu yeye mwanamke mwenzangu na pindi ntakapo fanya maamuzi asione nimemuonea sikua na sababu nyengine....kumbuka kua Mimi ndio mama mwenye nyumba mumewangu hawezi kuleta Mgeni hata ndugu Yake bila kunishirikisha....
 
Habari zenu wana
MMU.

Sikuzote napenda kuchangia lakini leo limenikaa kwenye Roho naomba
niliseme yalojiri.

Wifi yangu amekuja kwetu yeye watoto wake na shoga yake kwa ajili ya
likizo mpaka 12jan 14.

Huyu shoga wa wifi yangu namshangaa nyumba ina watoto wa kiume mumewangu
anavaa KANGA moja
mara kaingia chumba cha watoto wa kiume,yani tangu aje ni 10days lakini
nimeshamshibaa.

Jumamosi kaenda Disco karudi saa mbili asubuhi yaani amepita sitting
room nguo alovaa Aibu nimeona mie.

Sasa leo asubuhi nimeamka kutengezeza chai ya Mzee namkuta kalala
sitting room kihasara pembeni kuna Condom.

Nikaenda kumfata wifi yangu akamuamshe, wakati naenda kazini vijana
ndani wanasema hawaendi Chuo sababu wanaumwa, sasa sijui zile condom
zimetumiwa nanani na yaani amekosa adabu anafanya hayo mambo kwenye sofa
jamani hivi nikimwambia wifi yangu shoga yako aondoke nitakua
nimekosea?

Uzuri kuwa mume wangu aliuliza kwanini huyu binti amekuja muda mdogo
hapa lakini kengele kila mara? mie sikujibu wifi akasema ah kaka
siunajua tena friends.

Waungwana mwenzenu hata sijui nifanyeje zaidi linalo nikera lile la
kuvaa kanga moja anamanisha nini?

pole ina nahis nyie waislam utakuta watu nyumba imejaaaa. na kama si waislam bas wasukuma dah akija kwako miez 5. tuelezee vizur hao vijana wa chuo wako???
 
I think its safe to say...Kick them out. Acha watoto peke yake. Mtu mzima anaanzaje kukaa likizo ya zaidi ya mwezi kwa watu? Don't they have a life???

Just get them out
 
pole ina nahis nyie waislam utakuta watu nyumba imejaaaa. na kama si waislam bas wasukuma dah akija kwako miez 5. tuelezee vizur hao vijana wa chuo wako???

sio wangu ni watoto wa shemeji yangu alifariki miaka 10 ilio pita na nikamuomba Mzee tuwachukue sababu hawana mama wala baba na wanapenda sana kusoma ndio tuko nao,watoto wangu ni wa4 tuu wawili wako nje ya nji wanasoma niko na wadogo wawili.....
 
sio wangu ni watoto wa shemeji yangu alifariki miaka 10 ilio pita na nikamuomba Mzee tuwachukue sababu hawana mama wala baba na wanapenda sana kusoma ndio tuko nao,watoto wangu ni wa4 tuu wawili wako nje ya nji wanasoma niko na wadogo wawili.....

Una roho nzuri....jazaka llah kheri....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom