Mtama kwa watoto
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 394
- 150
- Thread starter
- #201
Yaani hili ni la kulalamika au ni kitendo cha kuamka asubuhi unamtimua na kondom zake??
Nadhani niliwapa sana fursa wakaitumia sivyo...
Yaani hili ni la kulalamika au ni kitendo cha kuamka asubuhi unamtimua na kondom zake??
naweza sema humu jamvini story nyingi sana ni za kutunga.
Kwanza hongera kwa uvumilivu,ningekuwa mm yaan hiyo asb ningempa makofi ya uhakika....
Atalalaje ovyo sebuleni kwangu? Na kuacha kondom,my dia ww ni mpole ndio maana.
Unaanzaje kuwatimua, mengine unamezea japo machungu
hii ni kweli kabisa......mgeni lazma ufwate sheria ya nyumba husika.....nakumbuka kipindi fulani nilikuwa nakaa arusha kwa kaka yangu.....kwa ajili ya kusoma....na walikuwa wana utaratibu wa kusali usiku.....mkishamaliza kula....mnaimba nyimbo mnapigaa makofi na kusali.....mkimaliza mnasoma biblia na kuitafakari......nilikuwa sipendi lakini ilinipasa kufanya hivyo mana ndiyo sheria ya hiyo nyumba......
Mwenyezi mungu ananinusuru hili na kila mwenye Husda na Familia yangu, na sio wanangu walio lalanae alikua ni mlinzi na Mlinzi alikubali kua amefanya kosa,sisemi watoto wangu kua hawafanyi makosa lakini kwa hili sio wao na ningeshangaa sana sababu nimejitahidi sana ibaki rehema ya mungu tuu ...........Usimtimue bhana... acha kwanza aonjwe na mumeo.... siku ukimkuta mumeo akilamba sukari yake kitandani kwako ndo umfukuze kwasbb hadi sasa ashaliwa na watt wako bado mzee...