all the best ila ingekua mimi ningemuondoa kwa njia ngumu sana ambayo asingekaa anisahau maisha yake yote
Mtama kwa watoto we ni noma. Una roho ya wema hadi karibia inazidi uwezo!
Iko hivi, hiyo condom naamini 'haikutumika'. Wanakurusha roho Mtama. Hebu jiulize km kuna lililopungua hadi wifi alete zengwe lote hilo.......
Hii stori imefanana na ya mtu naemjua. Dadaake alimletea kifaa ndani ili kimsumbue njia kuu mpaka ajiondoe kwa hasira. Na aliondoka aisee..... kama vile nakuonea huruma maana ushasetiwa tayari mamaangu. Umemkosea nini mumeo? Maskini Mtama... Pole mama!
Mtama kwa watoto we ni noma. Una roho ya wema hadi karibia inazidi uwezo!
Iko hivi, hiyo condom naamini 'haikutumika'. Wanakurusha roho Mtama. Hebu jiulize km kuna lililopungua hadi wifi alete zengwe lote hilo.......
Hii stori imefanana na ya mtu naemjua. Dadaake alimletea kifaa ndani ili kimsumbue njia kuu mpaka ajiondoe kwa hasira. Na aliondoka aisee..... kama vile nakuonea huruma maana ushasetiwa tayari mamaangu. Umemkosea nini mumeo? Maskini Mtama... Pole mama!
Ungemfanyaje,labda naweza kujikaza ivooo nikamfanyia..
bado yupo au ushatimua kama bado nipe dili la kumtimua hapo
Kwa kweli mtu wa kujiachia mpk kwenye makochi ya familia tena ugenini....hapana kwa kweli....Sioni sababu ya yeye kujizungusha hivyo,amwambie ukweli (black and white) bila kumficha utaratibu wa nyumba yake ni huu,tabia zake hazivumiliki kutokana na anayoyafanya .Hata WiFi yake hana adabu,iweje asijue tabia za shoga.
Yan ww una moyo mkubw!...mpk umekuja kuomba ushauri hapa???...mimi ningemtandika viboko siku 1 yy na mshenzi mwenzie aliemleta ningewatimua kama wezi
Mkuu imetumikaaa... Sasa sielewi alikua amepitiwa na usingizi au amefanya kusudi yani hata sijui kichwa kunauma upande mmoja sanaaaa Kwa mawazo...
Mamaye zake....
Timua haraka sana....
Tena fungasha virago tupa nje...
aafu wewe!!
nitaahirisha kukuwowa!!!
unajuaje ni chakula ya baba mwenye nyumba imeletwa na dada mtu?
yaani dada yangu abebe tu mtu ati shoga yake!!!
nawafukuza wote wajalikizike huko kwao.
hapana usiseme hivyo hata mimi nina weakness hiyo ya kumwambia mtu ukweli juzi kuna dada wa kazi nyumba ya jirani kamtukana mwenzake tusi kubwa mbele ya mwanangu wa miaka mitatu sikupenda ile kitu butimagine niliogopa kumwakia nikamtuma wife ,so fanya hivi ongea na mumeo au WIfi yako wamalizane nao we kaa pembeni sikilizia resultsSorry kwakukukwaza lakini umezubaa sana, Yani upole umepitilizaa au wamekufanya ndondocha? Fukuzilia mbali mbwa huyo au atakufukuza Wewe....
hapana usiseme hivyo hata mimi nina weakness hiyo ya kumwambia mtu ukweli juzi kuna dada wa kazi nyumba ya jirani kamtukana mwenzake tusi kubwa mbele ya mwanangu wa miaka mitatu sikupenda ile kitu butimagine niliogopa kumwakia nikamtuma wife ,so fanya hivi ongea na mumeo au WIfi yako wamalizane nao we kaa pembeni sikilizia results
Hiyo ya condom nimeiona leo asubuhi, yule msichana atakua Kwenye 38yrs na sio mzuri hata mie alivyokuja nae nilidhani H/G ...
Mkuu nimeshindwa, hua mvumilivu sana mie najaribu kumpa mtu fursa Ili aweze kutambua kosa lake, lakini matokeo Yake naonekana mjinga...lakini hua nikisha amua hua ni final..
Usiseme kwa nguvu....uzee mwisho msata..mjini wote vigori....