Mtama kwa watoto
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 394
- 150
- Thread starter
- #181
Shida sijajua mume wako alivyo (maana sisi nasi sometimes tunajijua wenyewe), lakini binafsi naona cha kwanza ni kumfahamisha yeye (kama hajui). Mnalala room moja, na huwa unaweka kichwa chako kifuani kwake; malizia na kuliongea hili sasa. Nimeanza kwa kusema sijui mumeo alivyo, hivyo lifikishe hili kwa staha afahamu kuwa huna chuki binafsi kwa huo ugeni. Mara nyingi akina ninyi huwa mnahitaji kupewa nguvu, na mtu wa kwanza kumjaza nguvu mwanamke ni "partner" wake. Naamini ukipewa "support" kiduchu tu na Mr hatopona mtu hapo!
Nilipo toa maamu kua waende zao nikamuliza Na yeye akasema lazima waende...sasa najua watasema nimemtia Kwenye kibuyu ntazowea tuu...