Kwanini upange sheria nyumbani kwangu?

Mtama kwa watoto

JF-Expert Member
Mar 31, 2014
394
150
Habari zenu wana MMU.

Sikuzote napenda kuchangia lakini leo limenikaa kwenye Roho naomba niliseme yalojiri.

Wifi yangu amekuja kwetu yeye watoto wake na shoga yake kwa ajili ya likizo mpaka 12jan 14.

Huyu shoga wa wifi yangu namshangaa nyumba ina watoto wa kiume mumewangu anavaa KANGA moja
mara kaingia chumba cha watoto wa kiume,yani tangu aje ni 10days lakini nimeshamshibaa.

Jumamosi kaenda Disco karudi saa mbili asubuhi yaani amepita sitting room nguo alovaa Aibu nimeona mie.

Sasa leo asubuhi nimeamka kutengezeza chai ya Mzee namkuta kalala sitting room kihasara pembeni kuna Condom.

Nikaenda kumfata wifi yangu akamuamshe, wakati naenda kazini vijana ndani wanasema hawaendi Chuo sababu wanaumwa, sasa sijui zile condom zimetumiwa nanani na yaani amekosa adabu anafanya hayo mambo kwenye sofa jamani hivi nikimwambia wifi yangu shoga yako aondoke nitakua nimekosea?

Uzuri kuwa mume wangu aliuliza kwanini huyu binti amekuja muda mdogo hapa lakini kengele kila mara? mie sikujibu wifi akasema ah kaka siunajua tena friends.

Waungwana mwenzenu hata sijui nifanyeje zaidi linalo nikera lile la kuvaa kanga moja anamanisha nini?
 
Habari zenu wana MMU.

Sikuzote napenda kuchangia lakini leo limenikaa kwenye Roho naomba niliseme yalojiri.

Wifi yangu amekuja kwetu yeye watoto wake na shoga yake kwa ajili ya likizo mpaka 12jan 14.

Huyu shoga wa wifi yangu namshangaa nyumba ina watoto wa kiume mumewangu anavaa KANGA moja
mara kaingia chumba cha watoto wa kiume,yani tangu aje ni 10days lakini nimeshamshibaa.

Jumamosi kaenda Disco karudi saa mbili asubuhi yaani amepita sitting room nguo alovaa Aibu nimeona mie.

Sasa leo asubuhi nimeamka kutengezeza chai ya Mzee namkuta kalala sitting room kihasara pembeni kuna Condom.

Nikaenda kumfata wifi yangu akamuamshe, wakati naenda kazini vijana ndani wanasema hawaendi Chuo sababu wanaumwa, sasa sijui zile condom zimetumiwa nanani na yaani amekosa adabu anafanya hayo mambo kwenye sofa jamani hivi nikimwambia wifi yangu shoga yako aondoke nitakua nimekosea?

Uzuri kuwa mume wangu aliuliza kwanini huyu binti amekuja muda mdogo hapa lakini kengele kila mara? mie sikujibu wifi akasema ah kaka siunajua tena friends.

Waungwana mwenzenu hata sijui nifanyeje zaidi linalo nikera lile la kuvaa kanga moja anamanisha nini?

Mamaye zake....
Timua haraka sana....
Tena fungasha virago tupa nje...
 
hahahhahaa acha wivu wewe, acha kabisa aisee ngoja vijana wafaidi

Yaani wifi,mitoto yake na shoga yake firauni wanajazana kwangu.....
Kwanza tuwaulize walikuwa na vero la mchele...
Khaaa kuna watu wanyonyaji sana...
Huyo wifi si mzuri....
Mie ningeanza na wifi kwanza au kamletea kakake mwanamke?
 
....Waungwana mwenzenu hata sijui nifanyeje zaidi linalo nikera lile la kuvaa kanga moja anamanisha nini?

...
are_you_serious_xlarge.jpeg
 
Shoga wa wifi aje kukaa likizo nyumbani kwako kwa mwezi mzima kwasababu zipi za msingi?!Huna ushoga nae, huna undugu nae wala sio ndugu wa mume wako anakuwaje confortable nyumbani kwenu mpaka kuwatupia condom sebleni kwenu??!

Aondoke. Kama wifi yako anampenda sana waongozane!!!!
 
Uwiii! kama umeniona kwenye moyo wangu, Ningeanza na uyo Wifi kwanza, Timua upuuuzi huo,
Yaani wifi,mitoto yake na shoga yake firauni wanajazana kwangu.....
Kwanza tuwaulize walikuwa na vero la mchele...
Khaaa kuna watu wanyonyaji sana...
Huyo wifi si mzuri....
Mie ningeanza na wifi kwanza au kamletea kakake mwanamke?
 
Wifi na shogake, we unaishi mkoa gani na wao wametoka wapi?Njia sahihi ni kumwambia huyo wifi yako kwamba hupendezwi na mwenendo mzima wa rafiki yake kama hawezi kujirekebisha arudi tu alikotoka.
 
Timua wote huyo wifi na shoga yake.. watoto pia .. kwani mbona muda wanaokaa ni mrefu sana? Kwani hawana mahali pa kuishi hawana waume zao au hata michepuko basi. Wakutolee nuksi kwako, hawana lolote hao.
 
Habari zenu wana MMU.

Sikuzote napenda kuchangia lakini leo limenikaa kwenye Roho naomba niliseme yalojiri.

Wifi yangu amekuja kwetu yeye watoto wake na shoga yake kwa ajili ya likizo mpaka 12jan 14.

Huyu shoga wa wifi yangu namshangaa nyumba ina watoto wa kiume mumewangu anavaa KANGA moja
mara kaingia chumba cha watoto wa kiume,yani tangu aje ni 10days lakini nimeshamshibaa.

Jumamosi kaenda Disco karudi saa mbili asubuhi yaani amepita sitting room nguo alovaa Aibu nimeona mie.

Sasa leo asubuhi nimeamka kutengezeza chai ya Mzee namkuta kalala sitting room kihasara pembeni kuna Condom.

Nikaenda kumfata wifi yangu akamuamshe, wakati naenda kazini vijana ndani wanasema hawaendi Chuo sababu wanaumwa, sasa sijui zile condom zimetumiwa nanani na yaani amekosa adabu anafanya hayo mambo kwenye sofa jamani hivi nikimwambia wifi yangu shoga yako aondoke nitakua nimekosea?

Uzuri kuwa mume wangu aliuliza kwanini huyu binti amekuja muda mdogo hapa lakini kengele kila mara? mie sikujibu wifi akasema ah kaka siunajua tena friends.

Waungwana mwenzenu hata sijui nifanyeje zaidi linalo nikera lile la kuvaa kanga moja anamanisha nini?


Usipoziba Ufa utajenga Ukuta, na siku zote usipo kemea ubaya basi Waufurahia weye!. Kabla hujamfukuza mueleze namna ya kuishi hapo kwako then akiendelea na tabia yake, fukuza wala sio dhambi. Au omba ushauri kwa huyo wifi yako "ambae walifika pamoja" kwamba ufanyeje asije akaharibu ndoa.

Usipofanya maamuzi magumu na yaliyo sahihi anaweza Akawaachia maradhi nyumba nzima, siku hizi undugu umebaki kufanan sura tu! mambo mengne changamka mweyewe mama!!!!!
 
Huyo shoga wa wifio asie na maadili ningekuwa mimi siku tatu tu zingetosha kumfangashia mizigo yake
 
Yaani wifi,mitoto yake na shoga yake firauni wanajazana kwangu.....
Kwanza tuwaulize walikuwa na vero la mchele...
Khaaa kuna watu wanyonyaji sana...
Huyo wifi si mzuri....
Mie ningeanza na wifi kwanza au kamletea kakake mwanamke?

Hakuja hata na pini, Na zaidi asivyo kua na haya yeye ana watoto wa4 watoto hawasikii Juzi kuna mmoja amekula Mpaka ametapika, mtoto ameshakula na wenzie 1 na nusu usiku wamecheza Saa 3 wakunywa maziwa na wenzie halafu kulala ndio routine kwangu, huyu mtoto asione mtu anakula anataka mtoto Hata kama kulala anamuamsha...
 
Embu mtimue acha uoga kha! Bora angekua housegrl wake . Shogaa chaaa! Au nyumba kajenga wifi? Mtimue oho ipo cku utamkuta kitandan kwako
 
Hakuja hata na pini, Na zaidi asivyo kua na haya yeye ana watoto wa4 watoto hawasikii Juzi kuna mmoja amekula Mpaka ametapika, mtoto ameshakula na wenzie 1 na nusu usiku wamecheza Saa 3 wakunywa maziwa na wenzie halafu kulala ndio routine kwangu, huyu mtoto asione mtu anakula anataka mtoto Hata kama kulala anamuamsha...






Fukuza wote. Kwanza uyo wifi yako si mwema kwako. Chunguza kuna kitu iweje aje na rafiki yake mwezi mzma.
Then rafiki mwenyewe kicheche asije kukupindua mana awa mawifi nao sazingine ni balaa.
 
Huyo shoga wa wifio asie na maadili ningekuwa mimi siku tatu tu zingetosha kumfangashia mizigo yake

Shosti siunajua sie wake tulivyokua na bahati mbaya Kwa mawifi...ndio mana nimemwambia aka muamshe shogake ili aone hayo mashaka...
 
Nyumbani kwangu kabisa!Ningekuwa mimi hata ushauri nisingekuja kutafuta huku,name hizo Sikh kumi zingekuwa nyingi sana kwa yeye kuendelea kuwepo........


Nasubiri wanaume watupie neno,ni kwa jinsi gani wamelichukulia.
 
Fukuza wote. Kwanza uyo wifi yako si mwema kwako. Chunguza kuna kitu iweje aje na rafiki yake mwezi mzma.
Then rafiki mwenyewe kicheche asije kukupindua mana awa mawifi nao sazingine ni balaa.

Yani hata dadangu kanambia hivyo, Na wifi nae fisadi sanaaaa..
 
Nyumbani kwangu kabisa!Ningekuwa mimi hata ushauri nisingekuja kutafuta huku,name hizo Sikh kumi zingekuwa nyingi sana kwa yeye kuendelea kuwepo........


Nasubiri wanaume watupie neno,ni kwa jinsi gani wamelichukulia.

Niamini Sio kama napenda akae au hanikeri laa hashaa, nahisi labda atakua na haya au wifi yangu atamwambia kua usifanye hivo lakini naona visa vinazidi, halafu mbaya nyumba Ina vijana wa3 wako chuo sasa hao una vaa kanga moja watakuachia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom