Mtama kwa watoto
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 394
- 150
Habari zenu wana MMU.
Sikuzote napenda kuchangia lakini leo limenikaa kwenye Roho naomba niliseme yalojiri.
Wifi yangu amekuja kwetu yeye watoto wake na shoga yake kwa ajili ya likizo mpaka 12jan 14.
Huyu shoga wa wifi yangu namshangaa nyumba ina watoto wa kiume mumewangu anavaa KANGA moja
mara kaingia chumba cha watoto wa kiume,yani tangu aje ni 10days lakini nimeshamshibaa.
Jumamosi kaenda Disco karudi saa mbili asubuhi yaani amepita sitting room nguo alovaa Aibu nimeona mie.
Sasa leo asubuhi nimeamka kutengezeza chai ya Mzee namkuta kalala sitting room kihasara pembeni kuna Condom.
Nikaenda kumfata wifi yangu akamuamshe, wakati naenda kazini vijana ndani wanasema hawaendi Chuo sababu wanaumwa, sasa sijui zile condom zimetumiwa nanani na yaani amekosa adabu anafanya hayo mambo kwenye sofa jamani hivi nikimwambia wifi yangu shoga yako aondoke nitakua nimekosea?
Uzuri kuwa mume wangu aliuliza kwanini huyu binti amekuja muda mdogo hapa lakini kengele kila mara? mie sikujibu wifi akasema ah kaka siunajua tena friends.
Waungwana mwenzenu hata sijui nifanyeje zaidi linalo nikera lile la kuvaa kanga moja anamanisha nini?
Sikuzote napenda kuchangia lakini leo limenikaa kwenye Roho naomba niliseme yalojiri.
Wifi yangu amekuja kwetu yeye watoto wake na shoga yake kwa ajili ya likizo mpaka 12jan 14.
Huyu shoga wa wifi yangu namshangaa nyumba ina watoto wa kiume mumewangu anavaa KANGA moja
mara kaingia chumba cha watoto wa kiume,yani tangu aje ni 10days lakini nimeshamshibaa.
Jumamosi kaenda Disco karudi saa mbili asubuhi yaani amepita sitting room nguo alovaa Aibu nimeona mie.
Sasa leo asubuhi nimeamka kutengezeza chai ya Mzee namkuta kalala sitting room kihasara pembeni kuna Condom.
Nikaenda kumfata wifi yangu akamuamshe, wakati naenda kazini vijana ndani wanasema hawaendi Chuo sababu wanaumwa, sasa sijui zile condom zimetumiwa nanani na yaani amekosa adabu anafanya hayo mambo kwenye sofa jamani hivi nikimwambia wifi yangu shoga yako aondoke nitakua nimekosea?
Uzuri kuwa mume wangu aliuliza kwanini huyu binti amekuja muda mdogo hapa lakini kengele kila mara? mie sikujibu wifi akasema ah kaka siunajua tena friends.
Waungwana mwenzenu hata sijui nifanyeje zaidi linalo nikera lile la kuvaa kanga moja anamanisha nini?