everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,037
nimesha fanya maamuzi Mkuu jana na am sure hawaja penda ila itakua somo kwa wengine.......
Duh!! Embu dadavua ilikuwaje kuwaje, tunajifunza somo hapa......
nimesha fanya maamuzi Mkuu jana na am sure hawaja penda ila itakua somo kwa wengine.......
Jana ndio ilikua mwisho wao kwangu na kama wifi yangu anaakili sidhani kama atarudi tena kwangu........Uwiii,Pole sana mwaya,ila if i were you,ningemtolea uvvu huyo wifi yangu
Halafu sio kama ametuambia anakuja na mtu sisi tulikua tuna mtegemea yeye na watoto wake wa4,sio na shoga au sawa akae sikua na tatizo lakini na ujuwaji juu....Unaendaje nyumbani kwa mtu na shoga yako... loh mfukuze mapema huyo
Aisee extended family ni shida..... rfk wa wifi aje kwako likizo mwezi mzima??????? kabila gani hilo??? fukuza tu.
Halafu sio kama ametuambia anakuja na mtu sisi tulikua tuna mtegemea yeye na watoto wake wa4,sio na shoga au sawa akae sikua na tatizo lakini na ujuwaji juu....
Weeeeee...
Ukute wifi yako kamleta shoga yako kwenye misheni ya kumfanya yeye mama mwenye nyumba. Ndo kashaanza kazi hivyo, atafanya vituko mpaka kieleweke.
- Yani nimeshaanza kuwaangalia binadamu na jicho la3, na wifi yangu amenifanya nimshibe jana.....
yalikua hivi.Duh!! Embu dadavua ilikuwaje kuwaje, tunajifunza somo hapa......
mlimuendekeza toka mwanzoni
Kama utaniamini nikweli na ukiona ni uzushi sawa,naona hujasoma vizuri hakuna alobaki yeye na shoga yake wote wameishia........Mleta Uzi hii story ya shigongo au kweli imekutokea? WiFi, wanae na shoga! Shoga vituko na wifi anamwangalia tu. Mwenye nyuma nae anaona saw a tu. Km ingekuwa kweli hata huyo dadangu nae nafukuza. Inawezekana lao moja. Nitawabakisha wanawe tu.
Kama utaniamini nikweli na ukiona ni uzushi sawa,naona hujasoma vizuri hakuna alobaki yeye na shoga yake wote wameishia........
yalikua hivi.
Mzee alipofika kama kawaida amemaliza kula nilishamwambia kua nataka kuongea nae kasema poa,basi tukaenda chumbani nikamweleza mwanzo wa mambo mpaka mwisho,alichojibu yeye ni kua wewe ndio mama mweney nyumba kwanini mpaka umuite yeye aje aone ndio upate uthibitisho? kwanini usinambie hiyo asubuhi wakati umeona umesubiri mpaka jioni? nilishasema mwanzo anaetaka kuka kwangu afate sheria zangu la hawezi ajipange,sasa staki bunge wala vikao,akatoka kumuita mdogo wake,akamwambia kumetokea nini na huyo rafiki yako?
Kasema naona wifi kafanya BIG ISSUE kuona nanihi! kamuliza tena BIG ISSUE kitu gani?
kaona Condom ndio ka mind, hataki mimi nikae hapa mbona kawakumbatia hawa watoto na wala hawana haki yoyote humu ndani mie mwenye haki ananibania,nikamuliza wewe una haki gani humu ndani?
nikamwambia wacha nikujibu kabla huja endelea mbele kuhusu hawa watoto ni yatima hawana baba wala mama na sio watoto wa mtu baki ni watoto wa kaka yenu mkubwa sio watoto wa kakangu wala wa dada wala kheir yangu isiwe ni shari kwenu, nikamwambia mume wangu mie kubishana wala zogo staki sio kama siwezi ila kwetu hatuna hayo mambo,
sasa basi kuanzia sasa wachukuane waendezao watakakokujua wao sijui na staki kukujua ni wapi..
tena sio kesho sasaivi na staki kuzungumzia tena swala hili kafungasheni virago vyenu mwende, wale watoto walikua wanasikia alivyokua akiongea kua nimewakumbatia nikawafata kwenye room yao walikua wamejiinamia nikaenda kuongea nao nimewambia as long as niko Hai watakaa hapa nyumbani wazidi ku focus na masomo na dini na waniombe niwe na afya njema lakini wao ni watoto wangu na nna wapendaa...
nimerudi juu nawakuta watoto wake wana malizia kuondoka....... hapo ni saa 6 usiku nimemwambia driver awapeleke wanako taka,wamejua kujigawa wengine wamelala kiembe samaki,wengine wamelala mwana kwereke.... hayo ndio yalojiri
yani sasa nanuka ubaya ...