Kwanini upange sheria nyumbani kwangu?

Kwanini upange sheria nyumbani kwangu?

Loh!!! Kokoko!!! Ulijitahidi kuvaa sura ya kazi,hongera sana sasa hapo poa lazima maza house ajulikane ni nani!!

Wifi huyo si mtu mzuri anathubutu kusema watoto wa kaka yake mkubwa hawana haki? Mama yangu hii ni mupya!! Anataka yeye aolewe na kaka yake!! Hivi ana mume kweli? Acha tu ubaya uwe ubaya mpuuze tu dua la kuku halimpati mwewe.

Ila sasa wameacha kitendawili hapo ndani hiyo ndom shoga katumia na nani???Jaribu kufanya kauchunguzi mbane kijana mmoja baada ya mwingine,sasa walivyoondoka utayapata mengi jitahidi uwe na moyo wa chuma.
hilo Mzee nilimsikia jana usiku akilisema chumbani lakini sikulitilia chumvi sababu nilikua nna mengi kichwani ila leo asubuhi ame wambia vijana kuna anataka kuongea nao sababu wakubwa ni wawili wenye uwezo wakutumia mwengine ni 11years na malezi tulio walea hawa watoto am sure hawatosema uwongo na hasa wako karibu sana na mimi kuliko Baba yao...
 
Swb sikusoma hadi mwisho so nikaamua nichangie. Km wamesepa hapo swafi. Ila watoto was WiFi waache wale bata hadi 14 jan 2015.
Apana basi,am not proud kwa maamuzi nilofanya lakini sikua na choice,na nimeona mwisho wake watakuja kunitilia sumu..
mpaka sasa alinipigia cm ni mkwe wa kike nikamwelezea yote kasema kwanini sikumshirikisha wakati amekuja na mwenzie kuanzia sasa kila mmoja akitaka kuja znz afikie hotel,sikujua anamaanisha nini na sikutaka kujua sababu naona mparaganyo tuu..
 
Apana basi,am not proud kwa maamuzi nilofanya lakini sikua na choice,na nimeona mwisho wake watakuja kunitilia sumu..
mpaka sasa alinipigia cm ni mkwe wa kike nikamwelezea yote kasema kwanini sikumshirikisha wakati amekuja na mwenzie kuanzia sasa kila mmoja akitaka kuja znz afikie hotel,sikujua anamaanisha nini na sikutaka kujua sababu naona mparaganyo tuu..

Pole sana ndo maana nimekwambia kuanzia sasa ujitahidi kuwa na moyo wa chuma,utasemwa sana,yataongelewa mengi utanyanyapaliwa wee lakini wewe yote uyapuuze tu watachoka wenyewe.

Tena wakifikia hotelini si ndiyo poa zaidi maana watakuwa wamekupunguzia mashuzi. Mpe kila mmoja heshima yake stahiki wewe shika yako na nyumba yako.
 
Inakuwaje mnajibeba mama na watoto 4 plus another stranger to somebody's house for a month!!! Aisee nimeamini kuna watu hawana aibu!! Mimi kukaa kwa MTU 24 hours tu Shida Leo hii mwezi mzima! Uyo wifi na shogake hawana waume?? Aisee Dawa yao kuwatimua tu bila kufikiria mara mbili!
 
Apana basi,am not proud kwa maamuzi nilofanya lakini sikua na choice,na nimeona mwisho wake watakuja kunitilia sumu..
mpaka sasa alinipigia cm ni mkwe wa kike nikamwelezea yote kasema kwanini sikumshirikisha wakati amekuja na mwenzie kuanzia sasa kila mmoja akitaka kuja znz afikie hotel,sikujua anamaanisha nini na sikutaka kujua sababu naona mparaganyo tuu..

ndugu wa mume wana shida sana na mtihani kweli
funga roho yatakwisha
omba sana dua zitajibiwa
 
Mgh!!! Mimi hapo ntamlaumu kichwa cha nyumba,ndo anatakiwa aweke order nyumbani mwake na aweze kuwatawala vizuri.

Ila huyo shoga ake wifiiii Mghhh??
 
Inakuwaje mnajibeba mama na watoto 4 plus another stranger to somebody's house for a month!!! Aisee nimeamini kuna watu hawana aibu!! Mimi kukaa kwa MTU 24 hours tu Shida Leo hii mwezi mzima! Uyo wifi na shogake hawana waume?? Aisee Dawa yao kuwatimua tu bila kufikiria mara mbili!
Wallah amini haijanikera yeye kuja nyumbani ni kwa kaka yake lakini kuniletea mtu mwengine bila kunambia sawa pia nimekubali,hilo lakunitembelea na kanga moja kwangu siwezi kulikubali asilani,na kanichokoa roho zaidi aliposema kua hawa watoto mnawakumbatia nini wanamsada gani na nyie mnadhani watawasaidia hata mkiumwa,na sio watoto wa mtu baki bali ni watoto wa Brother wake wa damu,sasa wale anataka watimuliwe watoto wangu mie atawafanyaje? ndio nikasema sasa basi tena imefika mahala pake.........
 
Loh!!! Kokoko!!! Ulijitahidi kuvaa sura ya kazi,hongera sana sasa hapo poa lazima maza house ajulikane ni nani!!

Wifi huyo si mtu mzuri anathubutu kusema watoto wa kaka yake mkubwa hawana haki? Mama yangu hii ni mupya!! Anataka yeye aolewe na kaka yake!! Hivi ana mume kweli? Acha tu ubaya uwe ubaya mpuuze tu dua la kuku halimpati mwewe.

Ila sasa wameacha kitendawili hapo ndani hiyo ndom shoga katumia na nani???Jaribu kufanya kauchunguzi mbane kijana mmoja baada ya mwingine,sasa walivyoondoka utayapata mengi jitahidi uwe na moyo wa chuma.

Nimerudi hii jioni kutoka kazini hawa vijana wako 3 wakubwa 2 na mdogo ana 10yrs sasa huyu wa 10yrs nimemuona hana raha nikamuliza unaumwa kasema no nikamwita nikamuliza kwanini huna furaha? kasema Aunty kanambia mimi sio mtoto wake nikamuliza lini amekwambia akasema leo alikuja kuchukua mizigo yake mengine akanambia nyie pia mtafukuzwa...
Nikamuliza kaka Wael kanambia mulize Mama,nilichoka na sikutaka nim stress mtoto nikamwambia unaona nakupenda tofauti na bothers wako wadogo? kasema no sasa aunty alikua anakutania hakuna mama atamfukuza mtoto wake unless atakua mtoto mbaya lakini wewe ni my prince na hakuna atakae chukua nafasi yako kwenye moyo wangu....
yani alipo ni HUG nimelia najiuliza nimemkosa nini? lakini sasa hapa kwangu atapaona kituo cha police .....
 
Nimerudi hii jioni kutoka kazini hawa vijana wako 3 wakubwa 2 na mdogo ana 10yrs sasa huyu wa 10yrs nimemuona hana raha nikamuliza unaumwa kasema no nikamwita nikamuliza kwanini huna furaha? kasema Aunty kanambia mimi sio mtoto wake nikamuliza lini amekwambia akasema leo alikuja kuchukua mizigo yake mengine akanambia nyie pia mtafukuzwa...
Nikamuliza kaka Wael kanambia mulize Mama,nilichoka na sikutaka nim stress mtoto nikamwambia unaona nakupenda tofauti na bothers wako wadogo? kasema no sasa aunty alikua anakutania hakuna mama atamfukuza mtoto wake unless atakua mtoto mbaya lakini wewe ni my prince na hakuna atakae chukua nafasi yako kwenye moyo wangu....
yani alipo ni HUG nimelia najiuliza nimemkosa nini? lakini sasa hapa kwangu atapaona kituo cha police .....

Loh! Jamani pole sana Mungu akutie nguvu hata nami nimejiskia vibaya,kama nilivyokuambia utayaona na utasikia mengi kikubwa kuwa na moyo wa chuma.Mwenyezi Mungu awalinde maana naona huyu wifi anaweza fanya mambo siyo mazuri hana wema tena nawe. Kama nyumba ina ulinzi tafadhali imarisha ulinzi na siku nyingine asiruhusiwe kuingia ndani kabisa.

Pia haina haja ya kuficha waambie tu ukweli kuhusu shangazi yao ila wafundishe wasimchukie wapende na wamuombee yamkini ajitambue naamini umenielewa nachomaanisha,inshort waambie ukweli ila usipande mbegu ya chuki, usipowaambia shangazi ataendelea kuwaharibu sana kisaikolojia.
 
Mkuu si kipaji na wala sufurahi ila vizuri na wifi yangu pia akaona Asije kusema siwapendi..lakini ndio basi tena nimesha choka...


Kheri lawana kuliko fedheha unachosubiri nini hasa? Huu muda wa kuomba ushauri ndio ulikua wa kufanya maamuzi mwambie wifi yako sipendi tabia za shoga ako na naomba aondoke haraka akimtetea nae mwambie aende unafugaje ujinga? Una moyo sana mie hata lisaa limoja siwezi kuvumilia ujinga kama huo
 
Inakuwaje mnajibeba mama na watoto 4 plus another stranger to somebody's house for a month!!! Aisee nimeamini kuna watu hawana aibu!! Mimi kukaa kwa MTU 24 hours tu Shida Leo hii mwezi mzima! Uyo wifi na shogake hawana waume?? Aisee Dawa yao kuwatimua tu bila kufikiria mara mbili!

Mi apo.pia ndo nimeshangaa...pamoja na kumpongza mtama kwa watoto.kwa uamuzi wake.lakini tamaduni nyingine sio za kuzendekeza kabisa.....
 
Watu wa pwani sijui Zenji hiyo ni tamaduni...unakuta nyumba imejaa watu mpaka unajiuliza wanalalaje...
Na kama yeye pia ni wa huko no problem...
Tatizo naloona ni huo ufuska...

Afu nadhani kuna umuhimu sana kuoa kwenu kama mna desturi za kijamaa...else ndoa inaweza kumshinda mtu au ndugu na wazazi kukutenga...

Mimi sijawai kuona watu wa pwani wenyewe kwa wenyewe wanalalamikia extended family...tatzio ku mix makabila...
Mi apo.pia ndo nimeshangaa...pamoja na kumpongza mtama kwa watoto.kwa uamuzi wake.lakini tamaduni nyingine sio za kuzendekeza kabisa.....
 
Ndugu kama mnajijua mna maisha tofauti na wenyeji fikieni hotelini.

Na ndugu mnaokwazwa kusema maneno jino pembe ni kufuga mambo msiyoyapenda yaendelee.

Ukweli na uwazi utawale zaidi.
 
Kheri lawana kuliko fedheha unachosubiri nini hasa? Huu muda wa kuomba ushauri ndio ulikua wa kufanya maamuzi mwambie wifi yako sipendi tabia za shoga ako na naomba aondoke haraka akimtetea nae mwambie aende unafugaje ujinga? Una moyo sana mie hata lisaa limoja siwezi kuvumilia ujinga kama huo

Ustahmilivu umenishinda nimewaeleza na wamesha enda na nnahakika wataondoka mmoja mmoja Kwenda zao comoro mana nauli si mchezo....
 
Watu wa pwani sijui Zenji hiyo ni tamaduni...unakuta nyumba imejaa watu mpaka unajiuliza wanalalaje...
Na kama yeye pia ni wa huko no problem...
Tatizo naloona ni huo ufuska...

Afu nadhani kuna umuhimu sana kuoa kwenu kama mna desturi za kijamaa...else ndoa inaweza kumshinda mtu au ndugu na wazazi kukutenga...

Mimi sijawai kuona watu wa pwani wenyewe kwa wenyewe wanalalamikia extended family...tatzio ku mix makabila...

Wallah kwangu kawaida tuko 9 watoto 7 mie na Mzee watoto wawili wako nje ya nchi nimebaki na 5 boys, yule wifi kaja na watoto4 yeye na shoga yani zogo lakini ndio ndugu tena...
 
Loh! Jamani pole sana Mungu akutie nguvu hata nami nimejiskia vibaya,kama nilivyokuambia utayaona na utasikia mengi kikubwa kuwa na moyo wa chuma.Mwenyezi Mungu awalinde maana naona huyu wifi anaweza fanya mambo siyo mazuri hana wema tena nawe. Kama nyumba ina ulinzi tafadhali imarisha ulinzi na siku nyingine asiruhusiwe kuingia ndani kabisa.

Pia haina haja ya kuficha waambie tu ukweli kuhusu shangazi yao ila wafundishe wasimchukie wapende na wamuombee yamkini ajitambue naamini umenielewa nachomaanisha,inshort waambie ukweli ila usipande mbegu ya chuki, usipowaambia shangazi ataendelea kuwaharibu sana kisaikolojia.

Wakubwa wanamuelewa vizuri tuuuu, Na chuki yote hiyo alitaka asomeshewe watoto wake japo wawili Mimi nikasema NO, watoto wako na baba yao wajipange, Sasa chuki Kwa hawa, anawambia mme nenepeana watoto mnakula kuliko mwenye nyumba....
 
Shida sijajua mume wako alivyo (maana sisi nasi sometimes tunajijua wenyewe), lakini binafsi naona cha kwanza ni kumfahamisha yeye (kama hajui). Mnalala room moja, na huwa unaweka kichwa chako kifuani kwake; malizia na kuliongea hili sasa. Nimeanza kwa kusema sijui mumeo alivyo, hivyo lifikishe hili kwa staha afahamu kuwa huna chuki binafsi kwa huo ugeni. Mara nyingi akina ninyi huwa mnahitaji kupewa nguvu, na mtu wa kwanza kumjaza nguvu mwanamke ni "partner" wake. Naamini ukipewa "support" kiduchu tu na Mr hatopona mtu hapo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom