Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,760
Ila kuna watu wana tabia ngumu! Yaani mwezi mzima mtu baki anaenda kukaa kwa watu? Khaa
hahaha ana moyo wa chuma
Ila kuna watu wana tabia ngumu! Yaani mwezi mzima mtu baki anaenda kukaa kwa watu? Khaa
Watoto ni wa wifi yangu yeye ndio shoga wa wifi, yani miguu yangu naona nakosa nguvu kila nikisoma comments zenu .....
wacha weeee sasa udada unaanzia miaka mingapi dear maana 38 anaitwa msichana etiii
Mjini Dada ni yule uliyezaliwa nae tuu...wengine wrote ni ma aunt......!
Umuite mwenzio Dada kakukosea nini? umwamkie unataka kumnyima nini? Kosa lake kuwahi kuzaliwa au?
Mjini raha bwana.....
Niamini Sio kama napenda akae au hanikeri laa hashaa, nahisi labda atakua na haya au wifi yangu atamwambia kua usifanye hivo lakini naona visa vinazidi, halafu mbaya nyumba Ina vijana wa3 wako chuo sasa hao una vaa kanga moja watakuachia?
YAANI KIPELE UMPATA ASIE NA KUCHA manina walahi yaani ningemtimua bila kuwaza mpaka umekuja kuandika hapa aiseee kuna watu mna mioyo ya uvumilivu mweeeeeeeeee
mimi angeisoma namba aiseee tena angeisoma fresh weeee
sipend ussssng wa kiboya boya mimi ungekua wewe shoga angu ninhekusaidia hilo timbwili man.....na
Habari zenu wana MMU.
Sikuzote napenda kuchangia lakini leo limenikaa kwenye Roho naomba niliseme yalojiri.
Wifi yangu amekuja kwetu yeye watoto wake na shoga yake kwa ajili ya likizo mpaka 12jan 14.
Huyu shoga wa wifi yangu namshangaa nyumba ina watoto wa kiume mumewangu anavaa KANGA moja
mara kaingia chumba cha watoto wa kiume,yani tangu aje ni 10days lakini nimeshamshibaa.
Jumamosi kaenda Disco karudi saa mbili asubuhi yaani amepita sitting room nguo alovaa Aibu nimeona mie.
Sasa leo asubuhi nimeamka kutengezeza chai ya Mzee namkuta kalala sitting room kihasara pembeni kuna Condom.
Nikaenda kumfata wifi yangu akamuamshe, wakati naenda kazini vijana ndani wanasema hawaendi Chuo sababu wanaumwa, sasa sijui zile condom zimetumiwa nanani na yaani amekosa adabu anafanya hayo mambo kwenye sofa jamani hivi nikimwambia wifi yangu shoga yako aondoke nitakua nimekosea?
Uzuri kuwa mume wangu aliuliza kwanini huyu binti amekuja muda mdogo hapa lakini kengele kila mara? mie sikujibu wifi akasema ah kaka siunajua tena friends.
Waungwana mwenzenu hata sijui nifanyeje zaidi linalo nikera lile la kuvaa kanga moja anamanisha nini?
Yani Mpaka sasa sija changanyaa, najiuliza zile condom kavaa Nani? Ndani kuna vijana wa3 mlinzi, gardener na driver wa Mzee na Mzee..
Ila kuna watu wana tabia ngumu! Yaani mwezi mzima mtu baki anaenda kukaa kwa watu? Khaa
Mbona unachanganya story??? Na wale waliopo chuo?
Hivi bado kuna watu wanawaita waume zao wazee...mi ulivyosema mzee nikajua baba yako...imechukua muda kukusoma...
Uzee mwisho msata...hata Machache anaitwa baby...
hahaha wazenji wanaopenda u mwinyi mume ukimwita mzee anajisikiaaje raha
Aiseeeee
Habari zenu wana MMU.
Sikuzote napenda kuchangia lakini leo limenikaa kwenye Roho naomba niliseme yalojiri.
Wifi yangu amekuja kwetu yeye watoto wake na shoga yake kwa ajili ya likizo mpaka 12jan 14.
Huyu shoga wa wifi yangu namshangaa nyumba ina watoto wa kiume mumewangu anavaa KANGA moja
mara kaingia chumba cha watoto wa kiume,yani tangu aje ni 10days lakini nimeshamshibaa.
Jumamosi kaenda Disco karudi saa mbili asubuhi yaani amepita sitting room nguo alovaa Aibu nimeona mie.
Sasa leo asubuhi nimeamka kutengezeza chai ya Mzee namkuta kalala sitting room kihasara pembeni kuna Condom.
Nikaenda kumfata wifi yangu akamuamshe, wakati naenda kazini vijana ndani wanasema hawaendi Chuo sababu wanaumwa, sasa sijui zile condom zimetumiwa nanani na yaani amekosa adabu anafanya hayo mambo kwenye sofa jamani hivi nikimwambia wifi yangu shoga yako aondoke nitakua nimekosea?
Uzuri kuwa mume wangu aliuliza kwanini huyu binti amekuja muda mdogo hapa lakini kengele kila mara? mie sikujibu wifi akasema ah kaka siunajua tena friends.
Waungwana mwenzenu hata sijui nifanyeje zaidi linalo nikera lile la kuvaa kanga moja anamanisha nini?
Yani Mpaka sasa sija changanyaa, najiuliza zile condom kavaa Nani? Ndani kuna vijana wa3 mlinzi, gardener na driver wa Mzee na Mzee..