Kwanini upange sheria nyumbani kwangu?

Kwanini upange sheria nyumbani kwangu?

Hata wewe mwebye nyumba una tatizo

Wageni wanapofika nyumbani kwako unapaswa kuwapo do na don't s

Pia nyumba yako sio gesti house.....chochote kitokeacho ambacho hakifai lazima ukikemee on the spot. Mfano ulivyomuona kavaa kanga moja ungemwambia hapo hapo

Kiufupi hata muda wa kuketa uzi humu nisingekua nao maana njngeshamtimua
 
Yaani wifi,mitoto yake na shoga yake firauni wanajazana kwangu.....
Kwanza tuwaulize walikuwa na vero la mchele...
Khaaa kuna watu wanyonyaji sana...
Huyo wifi si mzuri....
Mie ningeanza na wifi kwanza au kamletea kakake mwanamke?

Chezea mawifi wewe....
 
Yaani ninzaidi ya dharau

Hizo guts za kutupa condom sebuleni kazitoa wapi????



Shoga wa wifi aje kukaa likizo nyumbani kwako kwa mwezi mzima kwasababu zipi za msingi?!Huna ushoga nae, huna undugu nae wala sio ndugu wa mume wako anakuwaje confortable nyumbani kwenu mpaka kuwatupia condom sebleni kwenu??!

Aondoke. Kama wifi yako anampenda sana waongozane!!!!
 
Asante Leo ntamweleza, huwezi kuamini nimemweleza Mdogo Wangu eti kanambia mie nna damu ya zeru zeru ndio mana nimezubaaa... Yani nasikia uchungu , haya nasubiri Mzee aje tuliongelee..

Aisee pole sana,fanyia kazi ingekuwa vijineno vyetu sisi wanawake tungesema potezea lakini mtu kukutawala hivyo,condom asubuhi vijana wanasema wamechoka,mhhh!! Yeye kajilaza ukumbini kihasara,mhhh!! Hapana fanya chapu chapu,ukimaliza wabane vijana wakueleze ukweli na ikibidi peleka nyumba nzima kupima hospital. Ila hapo kuna namna ipo,embu niambie ulivyomuonyesha huyo wifi yako vituko vya shogake alikujibu nini,?amechukua action gani?
 
Habari zenu wana MMU.

Sikuzote napenda kuchangia lakini leo limenikaa kwenye Roho naomba niliseme yalojiri.

Wifi yangu amekuja kwetu yeye watoto wake na shoga yake kwa ajili ya likizo mpaka 12jan 14.

Huyu shoga wa wifi yangu namshangaa nyumba ina watoto wa kiume mumewangu anavaa KANGA moja
mara kaingia chumba cha watoto wa kiume,yani tangu aje ni 10days lakini nimeshamshibaa.

Jumamosi kaenda Disco karudi saa mbili asubuhi yaani amepita sitting room nguo alovaa Aibu nimeona mie.

Sasa leo asubuhi nimeamka kutengezeza chai ya Mzee namkuta kalala sitting room kihasara pembeni kuna Condom.

Nikaenda kumfata wifi yangu akamuamshe, wakati naenda kazini vijana ndani wanasema hawaendi Chuo sababu wanaumwa, sasa sijui zile condom zimetumiwa nanani na yaani amekosa adabu anafanya hayo mambo kwenye sofa jamani hivi nikimwambia wifi yangu shoga yako aondoke nitakua nimekosea?

Uzuri kuwa mume wangu aliuliza kwanini huyu binti amekuja muda mdogo hapa lakini kengele kila mara? mie sikujibu wifi akasema ah kaka siunajua tena friends.

Waungwana mwenzenu hata sijui nifanyeje zaidi linalo nikera lile la kuvaa kanga moja anamanisha nini?

Dawa ndogo mpendwa, Mtilie dawa ya kuharisha katika chakula!! au Salamaki katika chai !!
within 12hrs atahama na kutoweka....hukoo!!
 
Nyumbani kwangu kabisa!Ningekuwa mimi hata ushauri nisingekuja kutafuta huku,name hizo Sikh kumi zingekuwa nyingi sana kwa yeye kuendelea kuwepo........


Nasubiri wanaume watupie neno,ni kwa jinsi gani wamelichukulia.

Mhh wewe Baby is Mad.. huyo mwenzio ni muoga kuchukua maamuzi kwa kuwa huyo ni shoga yake wifi yake.. Anajua alikoroga kwa wifi ndoa itakuwa chungu.. Ni wakati muafaka wake kuelewa ya kuwa ameolewa na mwanaume mmoja.. Na huyo mwanaume ametoka kwao na huyu binti ametoka kwao wakatengeneza mji wao nao ukawa ni mmoja.. Hapo anaishi nyumbani kwake na mumewe.. Maamuzi yote yanatakiwa yafanyike kwa ushirikiano kati ya mume na mke..

Amuweke chini mumewe amuambie mumewe.. Shoga ya dada yake aondoke nyumbani.. Na azungumze kama mama mwenye nyumba.. Aache uoga wa kumuogopa wifi yake..
 
Last edited by a moderator:
Aisee pole sana,fanyia kazi ingekuwa vijineno vyetu sisi wanawake tungesema potezea lakini mtu kukutawala hivyo,condom asubuhi vijana wanasema wamechoka,mhhh!! Yeye kajilaza ukumbini kihasara,mhhh!! Hapana fanya chapu chapu,ukimaliza wabane vijana wakueleze ukweli na ikibidi peleka nyumba nzima kupima hospital. Ila hapo kuna namna ipo,embu niambie ulivyomuonyesha huyo wifi yako vituko vya shogake alikujibu nini,?amechukua action gani?

Nimenyonyesha na nikamwambia kaka yako ntamwambia pia, Na sijapenda tabia hii, kajitia ooooh anawazimu huyu nikatoka zangu..
 
Hata wewe mwebye nyumba una tatizo

Wageni wanapofika nyumbani kwako unapaswa kuwapo do na don't s

Pia nyumba yako sio gesti house.....chochote kitokeacho ambacho hakifai lazima ukikemee on the spot. Mfano ulivyomuona kavaa kanga moja ungemwambia hapo hapo

Kiufupi hata muda wa kuketa uzi humu nisingekua nao maana njngeshamtimua

Nilimwambia mwanzoni akasema ntamwambia sasa hata nikisema staki atakua anajua...
 
Mtama @kwa WATOTO wewe mwenyewe ni sehemu ya hilo tatizo aisee yaani eti shogake na wifi yako anavaa kanga moja nyumbani kwako then unakuta kondom iliyotumika sebuleni bado kimya tu!! Unamatatizo aisee ulipaswa kukemea hizi tabia on the spot huku ushahidi ukiwepo unamwita na wifiyo awepo.

Tena bora umtimue kabisa na wifiye akiona vipi aondoke naye tu,kwani anaumri kwa kumkadiria huyo shogake?

Vipi neema Allah anazo lakini?

Utaporwa mmeo hivihivi sister ohooooo.
 
Last edited by a moderator:
Mtama @kwa WATOTO wewe mwenyewe ni sehemu ya hilo tatizo aisee yaani eti shogake na wifi yako anavaa kanga moja nyumbani kwako then unakuta kondom iliyotumika sebuleni bado kimya tu!! Unamatatizo aisee ulipaswa kukemea hizi tabia on the spot huku ushahidi ukiwepo unamwita na wifiyo awepo.

Tena bora umtimue kabisa na wifiye akiona vipi aondoke naye tu,kwani anaumri kwa kumkadiria huyo shogake?

Vipi neema Allah anazo lakini?

Utaporwa mmeo hivihivi sister ohooooo.

Hiyo ya condom nimeiona leo asubuhi, yule msichana atakua Kwenye 38yrs na sio mzuri hata mie alivyokuja nae nilidhani H/G ...
 
Last edited by a moderator:
Sijui amenichukuliaje, hapa nimekaa namsubiri Mzee Kwa Udi na uvumba...

Mzee ndiye mmiliki wa huo mchepuko, na ukichunguza vizuri hata atakuwa kaja kuchukua nafasi yake ya kuwa nyumba kubwa au kaleta watoto kwa baba.

Hapo jiandae kupisha kwenye nyumba mama, tena na ulivyo mpole ni fasta.

Usisahau kuleta mrejesho.
 
YAANI KIPELE UMPATA ASIE NA KUCHA manina walahi yaani ningemtimua bila kuwaza mpaka umekuja kuandika hapa aiseee kuna watu mna mioyo ya uvumilivu mweeeeeeeeee
mimi angeisoma namba aiseee tena angeisoma fresh weeee
sipend ussssng wa kiboya boya mimi ungekua wewe shoga angu ninhekusaidia hilo timbwili man.....na
 
Huyo shoga wa wifio asie na maadili ningekuwa mimi siku tatu tu zingetosha kumfangashia mizigo yake

mi ningemfukuza USIKU
KWANZA NISINGEWAPOKEA KABISAAAAAAA....NINGEWAKODIA GUEST WALALE ASUBUHI WAONDOKE MXIIIIIUUUUU

UNAANZAJE KUOOKEA WATU WENGI KIASI HICHO
 
Niamini Sio kama napenda akae au hanikeri laa hashaa, nahisi labda atakua na haya au wifi yangu atamwambia kua usifanye hivo lakini naona visa vinazidi, halafu mbaya nyumba Ina vijana wa3 wako chuo sasa hao una vaa kanga moja watakuachia?

TIMUAAA MAMAA hivi wewe unashindwa kuwaambia aiseee
nakuonea huruma na huyo moyo wako wala siutaki mimi cant take it
 
YAANI KIPELE UMPATA ASIE NA KUCHA manina walahi yaani ningemtimua bila kuwaza mpaka umekuja kuandika hapa aiseee kuna watu mna mioyo ya uvumilivu mweeeeeeeeee
mimi angeisoma namba aiseee tena angeisoma fresh weeee
sipend ussssng wa kiboya boya mimi ungekua wewe shoga angu ninhekusaidia hilo timbwili man.....na

Shosti mie Sio kama namuogopa yeye wala wifi ila nahisi nivizuri kutumia busara ila sasa uvumilivu umenishindaa...
 
Wifi mcharuko, alafu wageni design ya mpaka anakwenda disco ugenini wakati wenyeji wake hamwendi hawafai maana mgeni hufuata kile mwenyeji wake anachokipenda
 
Shosti mie Sio kama namuogopa yeye wala wifi ila nahisi nivizuri kutumia busara ila sasa uvumilivu umenishindaa...

nikwambie kitu???
ongea na mume wako mwambie kila kitu then mwambie hivi muende somewea this weekend na familiya yako then huyo wifi yako na shoga ake na watoto unawaambia mnaenda mapumzikoni for a week kwa hiyo inabidi warudi walipotoka
LAKINI ORIGINAL IDEA NI KWAMBA MNAENDA KUSPEND ONLY ONE DAY SIKU WATAKAYOONDOKA HAO MNAFUNGA NYUMBA KABISAAAAAAA
TUMIA HIYO NJIA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom