annabrenda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 1,142
- 399
Hivi ni kweli unachosema kwamba hujui cha kufanya au?!! Watu mna mioyo jamani, unawezaje kuvumilia huo upumbavu home kwako mwenyewe? Kwa nini mtu wa kuja akukoseshe amani nyumbani kwako? Cha kufanya, timua wote yeye pamoja na huyo wifi yako na watoto wake. Kubali lawama za kijinga lakini unusuru ndoa yako, we endelea kuwakumbatia kama familia haijasambaratika kwa uoga wako wa kijinga.