Kwanini unasambaza VVU kwa makusudi?

Kwanini unasambaza VVU kwa makusudi?

Acheni umalaya. Msiwalalamikie wenye ngoma.
Nina ushuhuda, dada mmoja ana ngoma na anafanya kazi bar as a barmaid.......wakware wanamtaka sana.
Siku moja namuuliza sasa mbona unalala na watu? Anasema yeye pia ni binadamu ana upwiru, lakini pia wengine wanagoma kutumia kinga wenuewe😀 anahoji...nanukuu "mtu unamwambia vaa condom hataki, sasa mi nifanyeje?
 
🤣 Tatizo nawaza nikiwashwa kidogo mwili naanza kuwaza.leo nimejingalia nikasema eeh mbona kama nimekonda. Yani kama nitachepuka mimi Tena sijui. Mke wangu ananiuliza mbona kama una mawazo hajui ninachopitia mimi. Hii dhambi inanitesa.
Hii iliwahi nikuta,kondom ilivuka half dem mwenyewe bar maid.
Nikajisemea mwenyewe nikirudi home simpandi mke wangu bila kinga mpaka mwezi upite nikacheki afya.Masaa machache najiona nimekonda,mara nikaanza kukohoa.Halafu wife anataka mzigo tena kavukavu.Daa! ananiuliza kwa nini ule na kinga wakati sipo ktk danger,nikaona hapa nikizembea nitakaambukiza,nkamdanganya akakubali.Baada ya miezi mitatu nikaenda kupima ndio kupata amani ya moyo
 
Back
Top Bottom