Makebo haya haya??
Makebo ni kitu noma sana. Huchanganya sana wanaume wengi.
Yaani unakuta mtu anajua kabisa ana UKIMWI, lakini anambaka mbuzi.Yani mtu unajua kama ana umeme lakini anasambazia wenzie kama hana akili timamu..
SwaliKwanini unasambaza VVU kwa makusudi??
#Ukimwi upo na unaua pima mapema jitambue chukua tahadhari.
Hatari!Yani mtu unajua kama ana umeme lakini anasambazia wenzie kama hana akili timamu..
SwaliKwanini unasambaza VVU kwa makusudi??
#Ukimwi upo na unaua pima mapema jitambue chukua tahadhari.
PointWengi wanasambaza kwa makusudi ndio maana wanakufa mapema.
Ukiwa mwathirika lazima uilinde afya yako kwa heshima kubwa
Unakuta waathirika wanapata maambukizi mapya baada ya kulala na mtu mwenye ukimwi. Baada ya hapo dawa haifanyi kazi anateseka sana.