HIV TEST app inafanya kazi? Au ni chai ya rangiNjoo nikupime,sitokupa majibu,itakuwa Siri yangu😂
Ipo siku utapima,Wala usijiwazishe,haujapata.,
Na siku hizi dalili sio kuhara eeeh,Wala mabega kupanda😂
Ukimwi wa zamani🙌🙌
Nasikia hivyo, mabega kupanda,kukojoa,kuhara,kukonda full shengesha,Ukimwi wa zamani??
Kwamba ulikua mkali sana eti
Unataka wakimbie majibu wakishatoa damuView attachment 3619322tumia hii😂
Mi naogopa sindano huwa nasisimka mwili mzimaView attachment 3619322tumia hii😂
🤣 Tatizo nawaza nikiwashwa kidogo mwili naanza kuwaza.leo nimejingalia nikasema eeh mbona kama nimekonda. Yani kama nitachepuka mimi Tena sijui. Mke wangu ananiuliza mbona kama una mawazo hajui ninachopitia mimi. Hii dhambi inanitesa.Njoo nikupime,sitokupa majibu,itakuwa Siri yangu😂
Ipo siku utapima,Wala usijiwazishe,haujapata.,
Na siku hizi dalili sio kuhara eeeh,Wala mabega kupanda😂
Ukimwi wa zamani🙌🙌
😂😂😂😂,wanaaga wanaenda chooni🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️Unataka wakimbie majibu wakishatoa damu
😂😂😂😂😂,daaah utaishi nao tu.Mi naogopa sindano huwa nasisimka mwili mzima
Daaah, unajishtukia sana utakonda,,wewe itakuua presha sio ukimwi😂,usichepuke kizembe aisee.🤣 Tatizo nawaza nikiwashwa kidogo mwili naanza kuwaza.leo nimejingalia nikasema eeh mbona kama nimekonda. Yani kama nitachepuka mimi Tena sijui. Mke wangu ananiuliza mbona kama una mawazo hajui ninachopitia mimi. Hii dhambi inanitesa.
Yeah.Nduki..hio result yakwako si0?
Nimekoma mimi.naomba mnisameheDaaah, unajishtukia sana utakonda,,wewe itakuua presha sio ukimwi😂,usichepuke kizembe aisee.
Min-me alishawahi kusema hivi"Ukimwi haupo na wala hauui kama wanavodai ukweli ni kwamba kinachoua ni Stress baada ya kupima, Kwahiyo dawa ya Ukimwi ni kutokupima tu.😂😂😂😂😂,daaah utaishi nao tu.
Hiv is real usijidanganye pima mapema jitambue chukua tahadhariMin-me alishawahi kusema hivi"Ukimwi haupo na wala hauui kama wanavodai ukweli ni kwamba kinachoua ni Stress baada ya kupima, Kwahiyo dawa ya Ukimwi ni kutokupima tu.
Ewaaah,ukijua unao unapata stress unakonda,unapata gonjwa moyo,mshtuko unakufa😂😂😂Min-me alishawahi kusema hivi"Ukimwi haupo na wala hauui kama wanavodai ukweli ni kwamba kinachoua ni Stress baada ya kupima, Kwahiyo dawa ya Ukimwi ni kutokupima tu.
Nataka ufe🤣🤣🤣Yani mtu unajua kama ana umeme lakini anasambazia wenzie kama hana akili timamu..
SwaliKwanini unasambaza VVU kwa makusudi??
#Ukimwi upo na unaua pima mapema jitambue chukua tahadhari.
Ukizoea unasahau hata kumeza dawa😂😂😂Hivi mtu unaweza kusahau ata dakika 3 kwamba una umeme?