Kwanini unasambaza VVU kwa makusudi?

Kwanini unasambaza VVU kwa makusudi?

😂😂😂Umenikumbusha mbali sana, nlikimbilia PReP haraka sana, yule dada nilichukua namba sa 12jion saa moja usiku anataka kunipa sema alikuwa amebanwa, kesho yake jioni nikapiga oyaaa🥲🥲💔kuulizia vizuri ni Grid kitambo😂😂🙌nilidata

Huu uzi utatembea sana natabiri

Dizaini PReP ukiwahi kabla ya saa 72, unachomoa pini, ila kwa mbinde sana.
 
Ulichomokaje kwenye hio trap
Vidonge siku 30 japo nilitumia siku 20 nkachoka nikaona liwalo na liwe😅😅 make usiku ndoto nkuwa naota napaa kila siku, ndoto za ajabu ajabu mara unakoswa mishale 😂😂😂aweee sitoisahau haloo, na ukitumia njaa kali knoma

Ukisex na mtu ukahisi au kujua ana maambukizi wahi hospitali ndani ya masaa 72(3 days) unaweza saidia nje na hapo subiri miujiza ya bwana.
 
Vidonge siku 30 japo nilitumia siku 20 nkachoka nikaona liwalo na liwe😅😅 make usiku ndoto nkuwa naota napaa kila siku, ndoto za ajabu ajabu mara unakoswa mishale 😂😂😂aweee sitoisahau haloo, na ukitumia njaa kali knoma

Ukisex na mtu ukahisi au kujua ana maambukizi wahi hospitali ndani ya masaa 72(3 days) unaweza saidia nje na hapo subiri miujiza ya bwana.
Et unakoswa na mishale 😂
 
Vidonge siku 30 japo nilitumia siku 20 nkachoka nikaona liwalo na liwe😅😅 make usiku ndoto nkuwa naota napaa kila siku, ndoto za ajabu ajabu mara unakoswa mishale 😂😂😂aweee sitoisahau haloo, na ukitumia njaa kali knoma

Ukisex na mtu ukahisi au kujua ana maambukizi wahi hospitali ndani ya masaa 72(3 days) unaweza saidia nje na hapo subiri miujiza ya bwana.
Siku 20 ukachoka,Sasa ungeuvaa kunywa midonge Kila siku ungeweza😂😂😂
 
Bad thing alikuwa mke wa mtu then mtu wake ni mshikaji wangu ambaye aliniambia ashawaka- mi skujua kuwa ni mke wake🌚
Sasa nakuja kuambiwa yule kishaungua na bwana ake ni fulani ambaye alishawahi niambia amewaka baada ya vibe la gambe kupanda jamaa akanichana kuwa amewaka🥲
Bad thing naambiwa hapo walipo walikuwa wametoka kugombana na mshikaji wake mchana wake alikuwa na mwanaume town analiwa-kwa hiyo nilipewa show akiwa ametoka kutoa show🙌🙌💔
Kimbilio langu likawa BUTIMBA🙏🙏
 
Back
Top Bottom