Kwanini unasambaza VVU kwa makusudi?

Kwanini unasambaza VVU kwa makusudi?

Bad thing alikuwa mke wa mtu then mtu wake ni mshikaji wangu ambaye aliniambia ashawaka- mi skujua kuwa ni mke wake🌚
Sasa nakuja kuambiwa yule kishaungua na bwana ake ni fulani ambaye alishawahi niambia amewaka baada ya vibe la gambe kupanda jamaa akanichana kuwa amewaka🥲
Bad thing naambiwa hapo walipo walikuwa wametoka kugombana na mshikaji wake mchana wake alikuwa na mwanaume town analiwa-kwa hiyo nilipewa show akiwa ametoka kutoa show🙌🙌💔
Kimbilio langu likawa BUTIMBA🙏🙏
😂😂😂😂😂,sijui kwanini wanakuwa na ujasiri wa kujisema kuwa wameungua,baadhi wanasema.
 
Bad thing alikuwa mke wa mtu then mtu wake ni mshikaji wangu ambaye aliniambia ashawaka- mi skujua kuwa ni mke wake🌚
Sasa nakuja kuambiwa yule kishaungua na bwana ake ni fulani ambaye alishawahi niambia amewaka baada ya vibe la gambe kupanda jamaa akanichana kuwa amewaka🥲
Bad thing naambiwa hapo walipo walikuwa wametoka kugombana na mshikaji wake mchana wake alikuwa na mwanaume town analiwa-kwa hiyo nilipewa show akiwa ametoka kutoa show🙌🙌💔
Kimbilio langu likawa BUTIMBA🙏🙏
What a fantastic 😁 haya maisha bana
 
Kutwa mara tatu, tungezika huyo mkali. 😊
Mimi na vidonge sipatani navyo kabisa, adhabu kubwa zaidi unipe panadol niiweke tu mdomoni nitatapika hadi chakula nilichokula juzi-ile harufu tu ya hospitali waga inanichefua mbaya waga inanichukua nusu saa au saa zima nateseka kuzoea ile harufu🙌🙌 ila mtu wangu ye anafanya kutafuna kabisa🤮🤮
 
Mimi na vidonge sipatani navyo kabisa, adhabu kubwa zaidi unipe panadol niiweke tu mdomoni nitatapika hadi chakula nilichokula juzi-ile harufu tu ya hospitali waga inanichefua mbaya waga inanichukua nusu saa au saa zima nateseka kuzoea ile harufu🙌🙌 ila mtu wangu ye anafanya kutafuna kabisa🤮🤮

Jitunze sasa! Piga tizi, moto, kisukari na presha zinaweza kukupeleka kwenye kidonge bila wewe kupenda.
 
Wakishalewa wanaropoka siri zote
Dadeq😂,nilikuwa znz Kuna mdada tulikuwa tuna share chumba,Sasa nilikuwa nashangaa usiku lazima aingie na kopo la maji chumbani,halafu anavizia nililala anaamka kunywa dawa,,Sasa Kuna siku likatokea shengesha la msako, si ananiambia kuwa ana ukimwi na anatumia dawa,kwahiyo amimine midonge afiche kopo nikamtupie kwenye polo la taka😂, aisee yule mdada alikuwa pisi kali hatari,akanielezea jinsi alivyojha kuwa ana ukimwi,
 
Dadeq😂,nilikuwa znz Kuna mdada tulikuwa tuna share chumba,Sasa nilikuwa nashangaa usiku lazima aingie na kopo la maji chumbani,halafu anavizia nililala anaamka kunywa dawa,,Sasa Kuna siku likatokea shengesha la msako, si ananiambia kuwa ana ukimwi na anatumia dawa,kwahiyo amimine midonge afiche kopo nikamtupie kwenye polo la taka😂, aisee yule mdada alikuwa pisi kali hatari,akanielezea jinsi alivyojha kuwa ana ukimwi,
Just imagine hio pis kali imewapa watu wangapi vvu daah
 
Mimi na vidonge sipatani navyo kabisa, adhabu kubwa zaidi unipe panadol niiweke tu mdomoni nitatapika hadi chakula nilichokula juzi-ile harufu tu ya hospitali waga inanichefua mbaya waga inanichukua nusu saa au saa zima nateseka kuzoea ile harufu🙌🙌 ila mtu wangu ye anafanya kutafuna kabisa🤮🤮
Nimecheka Kwa sauti,eti anavitafuna😂😂😂😂😂
 
Mtu hadi kawambie lazima awe comfortable nawewe nje na hivyo ni ngumu, mimi nishakutana na wawili walinialeza....
Binadamu wengi tunapenda kusikilizwa na kueleweka hata kama tumefanya makosa sisi
So penda mtu anapokueleza tatizo lake msikilize atafungua kdog kadri utakavyozidi kumsikiliza na kuonyesha kumuelewa atafunguka zaidi✨
Jaribu kufanya hivyo kwa watu wanaokuzunguka niamini mimi watakutafuta hata kama ni sita usiku walau useme neno tu juu ya kile atashare na wewe muda huo.
Speaking from experience 💯
 
Kama alikuwa anatumia dawa kwa usahihi na kuzingatia, uwezekano wa kukuambukiza ni mdogo au hakuna kabisa. Virusi hufubaa kabisa kupitia tiba sahihi ya ARV. Kinyume na hapo hata ukiingiza kichwa tuu, kwishnee.
Noma niliishi kwa hofu miaka karibu mitatu! But miaka kumi baadae nipo poa tu nimepima mara nyingi sana ikiwemo wakati wa uzazi
 
Jitunze sasa! Piga tizi, moto, kisukari na presha zinaweza kukupeleka kwenye kidonge bila wewe kupenda.
Bro yes Kuna magonjwa hatari zaidi ya ukimwi, ila ukimwi habari nyingine unakutesa au kukuaibisha kwanza before ukuue😂😂😂
Good things Saivi kila familia/ukoo Saivi mgonjwa hakosekani😋🚫
 
Mtu hadi kawambie lazima awe comfortable nawewe nje na hivyo ni ngumu, mimi nishakutana na wawili walinialeza....
Binadamu wengi tunapenda kusikilizwa na kueleweka hata kama tumefanya makosa sisi
So penda mtu anapokueleza tatizo lake msikilize atafungua kdog kadri utakavyozidi kumsikiliza na kuonyesha kumuelewa atafunguka zaidi✨
Jaribu kufanya hivyo kwa watu wanaokuzunguka niamini mimi watakutafuta hata kama ni sita usiku walau useme neno tu juu ya kile atashare na wewe muda huo.
Speaking from experience 💯
Sana,mtu anakuelezes na anakusihi nawe usijichanganye ukaupata.
 
Back
Top Bottom