Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
ni ngono zembe , ulevi na upupu woooote
hakuna kitu cha kuhatarisha maisha kama fiesta
watu wanabakana,wanalewa kupindulkia,wanaambukizwa ukimwi
hiviii hili zoezi lina maana na umuhimu gani haswa kwa vijana?
hakuna kitu cha kuhatarisha maisha kama fiesta
watu wanabakana,wanalewa kupindulkia,wanaambukizwa ukimwi
hiviii hili zoezi lina maana na umuhimu gani haswa kwa vijana?
kwenda kwenye fiesta ni ubitozi, ujanja, ushamba, ulimbukeni, usasa, umachi noo au ni nini? Kwanini twende fiesta